[emoji1545][emoji817] umeongea kiroho zaidi.. I wish haya masomo ya utambuzi wa kiroho yangekuwa yanafundishwa kwenye taasisi zetu za elimuAhsante mkuu.. bahati nzuri wewe umesoma yoga na meditation mkuu.
Tunaamini mtu yoyote anazaliwa akiwa na pure Consciousness,baada ya muda huanza kuwa contaminated na mambo ya kidunia.
Ndipo tunapo rudi kufanya Yoga,ili kurelease karmic energy zote ambazo mtu amekuwa contaminated nazo. Ambapo unarud tena upya ukiwa pure.
Hapa nimekuelewa vizuri sana mzee. Asante kwa kutuelimisha maana elimu ni pana mno. Je wale wanaonunua wanawake wanaojiuza madhara yake yapoje ukilinganisha na hawa wanao amua kudumu kwa muda mrefu na aina hii ya watu?Kinachowaponza wengi ni tamaa na kupenda short cut.. Yaani mtu humfahamu vizuri tayari ushamparamia.. Iwe hiyo moja basi.. Unanogewa na kuendelea halafu taratibu kuna vitu unaanza kuviona ambavyo si vya kawaida sana lakini unapuuzia
Kuna ndoto unaoteshwa lakini unapuuzia
Marafiki wanakuonya lakini unadhani wanakuonea gere
Ndugu wanakuhadharisha lakini unawaona hawapendi maendeleo yako
Haya mambo huwa hayaji kwa bahati mbaya, huwa na background
Ni kweli MshanaJr: uliwahi kuwa mganga/mtoa tiba za kiasili au ni kwa sababu tu ya kujua elimu ya mambo haya?[emoji3] trust me nimeacha ulozi na kumrudia Mungu mazima.. Si unajua kiza na nuru havikai pamoja? Niliamua kuchagua nuru na niko nuruni sasa[emoji173]
Mfanya biashara ya ngono anaanzaje kuzaa kirahisi namna hii asimjue mhusika? Labda kama mhusika alimkimbiaKama alikuwa anafanya biashara ya ngono, siyo rahisi kujua baba mzazi
Hizi ni imani tu mzee..kwamba kuna familia ambayo hakuna aliye zalia nyumbani bila NDOA? Kuna familia ambayo hakuna watu fukara?
Cc Robert Heriel Mtibeli tusaidie kuchanganua hili jambo
Nimejufunza kitu kikubwa hapaa.Asante sanaHapo kwenye dilution sasa ndo unatoka njiani.
Ni hivi.
Kila mtoto anapoingia duniani, mtoto ambaye ni pure human hajachanganya uzao na mapepo, hatma ya maisha yake Huwa Inajulikana, NDOA pia Huwa Inajulikana. Tena NDOA yenyewe ni ya mke mmoja na mme mmoja.
Wapo watakaohoji iweje wanawake wawe wengi Duniani kuliko wanaume, kwamba hao waliozidi wataolewa na nani?
Jibu ni Rahisi. Uzao wa WANADAMU wasiochanganya uzao na mapepo ni Wachache kuliko uzao wa mapepo ktk mwili wa mwanadamu.
Na wanawake nusu mtu nusu Pepo ndo wengi kuliko wanaume nusu mtu nusu Pepo.
Waliookoka Wana solution ya kudumu.
Waliookoka tuna uwezo wa kujua nani Hasa ni ubavu wa mtu mume au mtu mke kupitia maombi.
Binti mmoja aliyeokoka alikuwa katika maombi, alimuuliza Mungu amuonyeshe Mume wake aliyeumbiwa Yuko wapi na alijibiwa.
Jibu lilikuja katika maono, aliambiwa mumuwe yupo Mkoa mwingine tena watakuja kukutanishwa baada ya miaka miwili ijayo.
Binti yule baada ya hapo hakujisumbua kutafuta au kusikia offer za wachumba wengine Hadi mumewe alipoletwa baada ya muda huo kufika na wakaoana sawa na Neno la BWANA.
Binti mwingine alichumbiwa na mchumba tajiri, bt alipoingia ktk maombi, Mungu alimwambia huyo Si ubavu wako, na Hana maisha marefu sababu atafariki baada ya miezi kadhaa sababu ndiyo hatma yake, so what if angekubali kuolewa, angekuwa mjane baada ya muda mfupi.
Ushauri.
Kama wewe ni Mwana wa Mungu,Usitende kuuliza Kwa mganga akusomee nyota,
Waislamu wanaAMINI katika Mungu lakini wanafail Kwa kuamini Waganga pia.
Mganga ni agent wa Ufalme wa chini, kama mtu ni uzao wa kipepo,ruksa kwenda Kwa mganga kuuliza mkewe kinyota kama wanaendana.
Bt kama ni uzao Kutoka juu, Mungu ana majibu yote.
Nawasihi Binti za Mungu, msikate tamaa mnapoona ubavu wenu hatokei Kwa wakati, yaezakuwa mumeo ameenda kuoa Pepo bila kujua, hivyo UKIOMBA Mungu, Mungu ataingilia kati na kuvunja NDOA ya kipepo Ili mtu sahihi arudi kufunga NDOA ilokusudiwa tangu Kuzaliwa.
Ameen
Hapa nimekuelewa vizuri sana mzee. Asante kwa kutuelimisha maana elimu ni pana mno. Je wale wanaonunua wanawake wanaojiuza madhara yake yapoje ukilinganisha na hawa wanao amua kudumu kwa muda mrefu na aina hii ya watu?
Hili lilikuwa jepesi kwakuwa sehemu kubwa ya jamii ilikuwa inakaa pamoja. Siku hizi miingiliano mingi, kumtrace mtu historia inakuwa ngumu. Tunaoana juu Kwa juu mno. Wazazi wakikataa, tunasema tunaingiliwa.Hiki ndicho walichokuwa wanakifanya mababu zetu zamani.. Unaweza kukataliwa ndoa kwasababu ya background ya familia
Bila kuloweka maisha yatakuwa magumu sana Aisee.Kuloweka sio shida, shida ni kunogewa hadi kupandikiza kizaigoti [emoji23]
Hongera pia kwa kujifunza maisha, kila mtu anapitia mambo kadhaa katika maisha. Zote ni njia ila kujua njia sahihi ni neema tu na kila jambo linayo makusudi.[emoji3]kidogo nilijaribu kufanya kwa vitendo.. Kidogo sana lakini
Kuhusu DNA na mnyororo unaouongelea ni Kweli kabisa. Hiyo Iko kibinadamu.Umeiweka vizuri sana na umeongezea na mengine ya kujenga hasa hapo kwenye kuisikiliza sauti ya Mungu.. Na hili ni lazima litambulike kwamba sauti ya Mungu ni kati ya mhitaji na Mungu wake na si kupitia kwa madalali wa kiimani waitwao mitume na manabii
La pili ni hili ulilonipinga lakini kumbuka kuna hiki kitu kinaitwa kizalia (DNA) hiki ndio kiunganishi cha familia mpaka ukoo, ni mnyororo usiokatika mpaka upate kiunganishi na kutengeneza mwingine
Mkuu siyo wanadamu kivipi, sijaelewa hapa. Nitashukuru ukinifafanulia.wengine sio wanadamu mkuu tunaishi nao mbaya na wengine hawajijui kwamba udhao wao ni tofauti
Ni kweli, watu wa zamani zilizopita hawakuishi kihasara kama vizazi hivi vya karibuni hapaTena hawa ndio wazingativu hasa
Pepo la Umaskini
Pepo la mikosi
Pepo la kukosa ndoa
Pepo la kuzalia nyumbani
Pepo la ugumba
Pepo migogoro na mafarakano
Pepo la wizi, utapeli na udanganyifu
Pepo la madeni na mikopo isiyolipika nknk
Haya mapepo hutembea na vizazi mpaka cha tatu ama cha nne.. Unapoona kwenye familia yako kuna dalili za mojawapo kati ya hayo fanya hima lisisambae na kuathiri wengine.
Kuna ujumbe uliotoka Twitter unaoutaarifu uma kuhusu binti mmoja aliyefariki Morogoro na mwili wake uko mochwari. Hana ndugu ama kwa lugha nyingine ndugu zake hawajulikani ni akina nani.
Kilichonifanya niandike mada hii ni marehemu wakati wa ugonjwa wake akiwa kalazwa hospital kusema hana wazazi (haikufafanuliwa kama ni marehemu ama hajawahi kuwajua ama vinginevyo)
Cha kuumiza zaidi ni kwamba naye kafa kaacha watoto wadogo wawili.. Ni wazi hao watoto wana baba zao/yao lakini hawajulikani walipo. Inaumiza mno kwamba nao watakua katika mkondo wa mama yao.. Malezi na makuzi bila wazazi wote wawili. Mama akiwa marehemu lakini asiyejulikana! Inauma sana!
Ni maisha ya namna gani yanawasubiri hawa malaika? Mama kabla ya kifo kasema hana wazazi japo kataja alikotokea! Vipi kuhusu ndugu? Vipi kuhusu baba wa watoto?
Itakuwa faraja kubwa kama nduguze watajitokeza na kumchukua marehemu wakamzike na kuwachukua watoto wakawalee. Upendo hawatapata kama wa mama lakini at least watajulikana asili yao ili nao wasijekuja kusema huko ukubwani kwamba hawana wazazi wala ndugu[emoji25]
Kuna familia zina laana ya asili
Hili naliandika kwa uchungu mno kwakuwa waathirika ni wengi na hata pengine baadhi ya wana JF ni wahanga. Maisha yanatufunza mengi yanatuonyesha mengi na yanatufunulia mengi Kuna familia zimebarikiwa, hawa maisha yao ni full shangwe mafanikio na baraka kwao si kitu cha kuuliza , kwao ishu za...www.jamiiforums.com
Kuna familia zina laana ya asili
Upungufu wa kinga za kiroho
Wengi tunapoongelea neno KINGA tunapeleka mawazo yetu moja kwa moja kwenye mipira ya kufanyia ngono yaani kondomu. Lakini wengine watadhani ni kinga dhidi ya maradhi ama kinga dhidi ya ajali barabarani na wezi majumbani huku wachache wakiwaza kinga dhidi ya watoto nknk. Akitokea mmoja...www.jamiiforums.com
Upungufu wa kinga za kiroho
Hii kitu unayoisema nimepata uzoefu nayo kwa sehemu. Miaka ya nyuma huko nilipata girlfriend mzuri, anaakili ya kimaisha na ya ziada. Ila hiyo ya ziada ni ya gizani. Pia nilikuja kugundua ni mtu mwenye muunganiko mkubwa sana na mapepo/majini. Sababu aliwahi kuniambia mwenyewe baadhi ya matukio ya ndoto na linalokuja kutukia physically. Tulikuwa tukivutana sana kama wote ni wanaume na Kuna wakati alikuwa na utisho. Alikuwa ni mwanamke anayetaka kuniinamisha kitu ambacho sijawahi kuota katika maisha ya mume na mke. Nikaachana naye maisha yakaendelea, lakini Kuna matukio kadhaa yalikuwa yakinitokea kwenye ndoto hata baada ya muda wa miaka zaidi ya mitano tuliyoachana! Tangu hapo naheshimu sana mambo ya uhusiano wa mwanamke na mwanaume na hata mwingiliano wa kawaida tu wa wanaume wenzangu kama marafiki. Bila shaka naeleweka vizuri na watu wenye upeo wa ziada.Kinachowaponza wengi ni tamaa na kupenda short cut.. Yaani mtu humfahamu vizuri tayari ushamparamia.. Iwe hiyo moja basi.. Unanogewa na kuendelea halafu taratibu kuna vitu unaanza kuviona ambavyo si vya kawaida sana lakini unapuuzia
Kuna ndoto unaoteshwa lakini unapuuzia
Marafiki wanakuonya lakini unadhani wanakuonea gere
Ndugu wanakuhadharisha lakini unawaona hawapendi maendeleo yako
Haya mambo huwa hayaji kwa bahati mbaya, huwa na background
Ndiyomaana huwa namwomba sana Mungu kuniepusha na majanga ya kuendekeza vimada kila kona ya nchi maana mengine ndiyo hayo mapepo yenyeweHii kitu unayoisema nimepata uzoefu nayo kwa sehemu. Miaka ya nyuma huko nilipata girlfriend mzuri, anaakili ya kimaisha na ya ziada. Ila hiyo ya ziada ni ya gizani. Pia nilikuja kugundua ni mtu mwenye muunganiko mkubwa sana na mapepo/majini. Sababu aliwahi kuniambia mwenyewe baadhi ya matukio ya ndoto na linalokuja kutukia physically. Tulikuwa tukivutana sana kama wote ni wanaume na Kuna wakati alikuwa na utisho. Alikuwa ni mwanamke anayetaka kuniinamisha kitu ambacho sijawahi kuota katika maisha ya mume na mke. Nikaachana naye maisha yakaendelea, lakini Kuna matukio kadhaa yalikuwa yakinitokea kwenye ndoto hata baada ya muda wa miaka zaidi ya mitano tuliyoachana! Tangu hapo naheshimu sana mambo ya uhusiano wa mwanamke na mwanaume na hata mwingiliano wa kawaida tu wa wanaume wenzangu kama marafiki. Bila shaka naeleweka vizuri na watu wenye upeo wa ziada.