Tetesi: Kuna tetesi kuwa kuna mambo yatafanyika ili kuzima yanayojiri Sasa

Lakini Malasusa alikemea na kutoa rai kwa wachungaji kote nchini kuombea taifa na kukemea jambo hilo
 
Kayanunue kwa Tapeli wa Kiimani Mwamposa Tanganyika Packers Kawe.
Simply like that!
Forget about it
 
😀😀😀😀...kuna watu ni genius aisee, your among them, even before hayo kutokea, with a such kind of presentation ,have my salute brother
Asante sana Mkuu nimezipokea Credits zako zote kwa Mikono miwili. Haya akina Lucas Mwashambwa Mwanafunzi wangu na Chawa Dunduka ChoiceVariable ni lini na nyie Members hapa JamiiForums wawatambua kuwa mna Madini Vichwani na ni Great Thinkers kama GENTAMYCINE na wachache baadhi?
 
Tangu jana mnahangaika,kaongea mara moja tu,nyuzi kila baada ya robo saa..'zile sheria bado zipo'
 
Hapo kwenye think tank hapo ndiyo pamoto sana. GENTAMYCINE jiandae maana wewe ndiyo ulikuwa wa kwanza kimbelembele chako
 
Hivi na wewe una jiona upo sawa kichwani.
 
Unamuamini na unaliamini Kanisa la KKKT Mkuu?
Haeleweki yule dingi,na juzi alijikakamua baada ya kelele nyingi zingine zikisikika toka ndani ya Kanisa (vijana) kuhusiana na ukimya na ndiyo maana akajikaza kuongea na nadhani ilikuwa msibani......ila Malasusa alishasema kwa lolote lile yeye atakuwa upande wa gavamenti
 
Namba 6 = Jamiiforums. Wanataka kukata mkia wa JF siyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…