Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Afu wengi naona wakishapata hyo miili hawawez tena kurudisha mwili ule wa mwanzo,basi unakuta mtu na mashavu yake na likitambihalafu kila siku kutuuliza mbona mabro mko vile vile, nina kisa cha dogo mmoja tulienda nae ughaibuni mwezi tukawekwa apartment moja tunashare jiko, aisee dogo saa kumi na moja unasikia huko jikoni keshaliamsha, saa nne kaagiza tena, saa tisa anasema njaa kali, saa mbili usiku anamalizia, mvinyo usisema utafikiri vile vitu vinaisha, anahema kwa shida huyo
Kuna dogo nilimshangaa alikuwa anakula chips mchana na usikuWamebadili maisha unajua tena ugali wanaudharau wakati wameula miaka 30
Sasa kubadili maisha haraka kisa wanapata za wizi, rushwa, hongo, na hata utapeli basi hapo wanaanza kujiona watakulaje ugali tena
Mda wa manyama na chips kuku au mayai na juice zilizojaa sukari za bila viwango
Matokeo yake ni kufa kwa taabu sana wakiandamwa na kisukari, BP na mengine
mwingine viazi vya Mbeya vimempa tumbo na tako, bado T moja tu waseme si riziki😃Kuna dogo nilimshangaa alikuwa anakula chips mchana na usiku
Masikni daaKuna dogo nilimshangaa alikuwa anakula chips mchana na usiku
Punguza au acha utanikwaza ujue 😅Mimi huyo🙌
Sawa,ngoja niache 😔Punguza au acha utanikwaza ujue 😅
Usinune sasa ntakupiga, alaaah!Sawa,ngoja niache 😔
Najua unaoa soon,unampenda?Usinune sasa ntakupiga, alaaah!
Unataka ufanye nini mamy?Najua unaoa soon,unampenda?
Au unataka kumwoa tu ili uonekane umeoa?
Naomba nijibu kabla sijafanya maamuzi magumu😔
Mkuu umesema wanaopambana mtaani wakati hao wa serikali ana gari, akishuka anakaa kwenye kiti anazunguka full ac, analetewa mafaili kumi anachagua kupitia moja mengine anaacha. Anavuta pesa za serikali bure tu anaenda kula junk food anarudi home na usafiri. Mwili umetulia no mazoezi na havuji jasho.Samaleykum,
Hawa jamaa zetu hasa wa umri wa kuanzia 26 mpaka 35, hiyo miili mikubwa na mavitambi yasiyoeleweka mnavipata vipi haraka haraka, na ni juzi tu mmetoka shule mkiwa wembamba kama rula, yaani mtu mnafanya kazi sawa, dili za hapa na pale mnapiga wote fresh, lakin mwenzako anafutuka tu kama kifutu sababu ya kula kula ovyo kisa pesa ipo, Mbona wale wengine ambao ni wa age hizo na wanapambana mtaani miili yao iko fresh tu,
kuna uhusiano gani kati ya kula pesa ya serikali na kupenda kula kula kisha kunenepa ovyo.
Matataizo yao ni
1) kuonekana mzee ungali kijana,
2) kupumua kwa shida na
3) kukoroma ovyo
Acheni kula kula ovyo wazee, unene kupitiliza hasa katika umri mdogo ni hatari kwa afya
🤣🤣🤣🤣Hujajibu swali mkuuUnataka ufanye nini mamy?
Swali gani tena 😂🤣🤣🤣🤣Hujajibu swali mkuu
Hakika ni kuchaguaMtu akifanikiwa alafu akashindwa kubalance diet haimake sense.
Anyway maisha ni kuchagua
😔Haya bye,usimpige basi...Swali gani tena 😂
Nikiona kijana anakitambi huyo namuweka kundi la wazee kwasababu hata uwezo wake wa kufikiri unapunguaMtu akifanikiwa alafu akashindwa kubalance diet haimake sense.
Anyway maisha ni kuchagua
Na nafua kweli ukiniletea habari sizo😔Haya bye,usimpige basi...
Maana wa kupigwa ilikuwa Mimi chautundu