Mashindano ya Qur-an ni bora zaidi ya huo upuuzi wa mpira wa simba na orlando,Uwanja ni wa taifa na unatumika kwa watanzania wote wawe waislamu au wakristo...mleta mada una chuki na uislamu na bado uislamu utazidi kupaa juu zaidi na mtabaki mnashangaa kama kule Times Square,Hoja za hovyo eti watu watatokaje uwanjani baada ya mashindano kuisha,hakuna muislam anayeweza kujaribu kujificha eti aangalie mpira bure..ilhali kaenda kwa dhati kabisa ya moyo wake kusikiliza maneno matukufu ya Mola wa ulimwengu huyo atakuwa kafiri na sio muislam..naamini baada ya shughuli kuisha watatoka wote ili kupisha wapenda mpira kuingia...uislamu ni dini ya haki hivyo hatuwezi kudhulumu haki ya mtu siku hiyo.