Kuna ulazima hayo mashindano ya Quran yafanyike Mkapa Stadium? Siku ya mchezo Simba vs Orlando!?

Hayo mashindano ya quran yangepelekwa kufanyikia uwanja wa uhuru

Uwanja wa Uhuru ni Mdogo hauwezi kutosha kwa Watu wanaohudhuria.
Kumbuka kwa Mkapa wamelipia Watu wote waingie Bure ndiyomana umeona Serikali imemute hawawezi hamisha Mashindano ya Qur-an
 
Acha mashindano ya Quran yafanyike hapo, wakimamaliza muda wa maandalizi ya mechi ya Simba yatakuepo.atutaki timu yetu ya Simba iwe na mikwaruzano na dini yeyote ile.
Mkuu umeandika kwa uoga ssna unaogopa tumu yenu kupigwa al-badir
 
Ratiba yaashindano ya Qur-an yapo kwenye Kalenda ya kila Mwaka hivyo ndiyo ipo mwanzo! Hiyo ya mechi ya Simba imepangwa juzi tu baada ya Simba kushinda mechi na USGN na kufuzu hatua ya Makundi.
Sijaelewa hapa yalihamaje kutoka tarehe 10 hadi kwenda tarehe 17 April 2022..

 
Aaah sheikh wangu mbona hata sio kitu cha kuficha??Kila pasaka/Xmas lazima waislam watatafuta tukio la kiki
 

Hapo umeulizia Uzi wa Uknown person na sio chanzo rasmi cha Taarifa.

ZBC2 hawajawahi kukitangaza hicho kilichoandikwa kwenye huo uzi.

Taatisisi zote zinazotangaza haya mashindano hazijawahi kulizungumza hicho kilichoandikwa kwenye huo uzi.

Hivyo siwezi kujibia huo uzi.

Nitajibu utakaponiuliza kutoka chanzo Rasmi
 
Ohooo,
Nilijua tu
 
Kuna sehemu kwenye bandiko langu nimesema hivyo?
Au wewe ndio unaamua kwa makusudi kupindisha?
 
Hakuna ulazima ila hayo mashindano yameanza mda mrefu hata kabla ya hizo mechi za kimataifa na hayo mashindano walishapewa kibali hata kabla simba haijulikani itacheza lini na Orlando pirates kwa hyo wanayo haki ya mashindano kufanyika taifa na uzuri hilo swala ni rahisi sana kukubalika na hata CAF wangeweza kukubali kufanyika,

tuheshimaiane jamani hizi dini tumezikuta tu hakuna aliyechagua kuwa muislamu au mkristo tumerithi tu kutoka kwa wazazi wetu hvyo tusijitoe ufahamu kiasi hicho.

Hence shown.
 
Kwanza mpira wa miguu ni haramu kwa Waislamu, vp watumie eneo lenye haramu.?
Ule sio uwanja wa mpira wa miguu tu, ule ni uwanja wa shughuli zote za kijamii, michezo na kisiasa pia ndio maana hata sherehe za uhuru zinafanyikia uwanjani
 
watu wa simba hakikishen jamaa wakiingia kwa ajili ya mashindano watumieni hao hao waombe dua kwa ajili ya mechi yenu
 
halafu lakini yanafanyika kwenye uwanja wa mpira! 😂
Usikariri, Ule sio uwanja wa mpira tu, pale kuna sehemu ya riadha pia lakini kuna sherehe za kumbukumbu za uhuru na muungano zinafanyikaga pale
 
Ule sio uwanja wa mpira wa miguu tu, ule ni uwanja wa shughuli zote za kijamii, michezo na kisiasa pia ndio maana hata sherehe za uhuru zinafanyikia uwanjani
Sherehe za uhuru wa nchi gani zishawahifanyikia hapo? Acha mihemko bro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…