Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,482
- 27,182
Hayo mashindano ya quran yangepelekwa kufanyikia uwanja wa uhuru
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Dini Ni kifupi Cha "Dunia Ina nongwa iache"
Watumie uwanja wa UhuuNaamini hakuna uwanja wa Dini,
Wanaweza kutumia hata huo wa Mkapa ila sasa kwanini siku hiyo ya game?
Mkuu umeandika kwa uoga ssna unaogopa tumu yenu kupigwa al-badirAcha mashindano ya Quran yafanyike hapo, wakimamaliza muda wa maandalizi ya mechi ya Simba yatakuepo.atutaki timu yetu ya Simba iwe na mikwaruzano na dini yeyote ile.
Sijaelewa hapa yalihamaje kutoka tarehe 10 hadi kwenda tarehe 17 April 2022..Ratiba yaashindano ya Qur-an yapo kwenye Kalenda ya kila Mwaka hivyo ndiyo ipo mwanzo! Hiyo ya mechi ya Simba imepangwa juzi tu baada ya Simba kushinda mechi na USGN na kufuzu hatua ya Makundi.
[emoji23][emoji2][emoji28]Mkuu umeandika kwa uoga ssna unaogopa tumu yenu kupigwa al-badir
kumbe haupo darHapo dar si kuna viwanja viwili wangetumia usiohusika na mechi
Aaah sheikh wangu mbona hata sio kitu cha kuficha??Kila pasaka/Xmas lazima waislam watatafuta tukio la kikiHayo mashindano yanakuwaga hapo miaka yote...Japo mimi siyafagilii mashindano yanayoendeshwa na huyu kishki...Labda ya huyu mama aisha sururu...
Kishki amekaa kisanii sanii sana...Na ndio maana Allaah kampa mtihani yamegongana na mechi...
Wakati wanapanga hayo mashindano...Caf walikuwa hawajapanga tarehe ya mechi ya simba ya robo fainali...Kwahiyo hapo kishki na uongozi wa uwanja hauna kosa...Caf ndio wameingilia ratiba ya uwanja...
Na kuna mpuuzi mmoja hapo juu...Eti waislam na wakristo wanazimiana kiki kama sijui monaizi na nani sijui...
Nikupe tu taarifa...Waislaam tunapopanga mambo yetu huwa hatuangalii wakristo wamepanga nini watasema nini...Hayatuhusu ya wakristo...Kuwa na akili ya kiutu uzima...
Sijaelewa hapa yalihamaje kutoka tarehe 10 hadi kwenda tarehe 17 April 2022..
Mashindano ya kuhifadhi Quran kuanza Aprili 10
Mashindayo ya Quran ya kitaifa na kimataifa yanatarajia kuanza Aprili kumi ya mwaka katika viwanja vitatu tofauti Mkapa, Mnazi mmoja pamoja na Diamond Jubilee. Mashindano hayo ambayo hufanyika kila mwaka na kushirikisha watu kutoka maeneo mbalimbali ya ndani ya nchi na nje ya nchi yameandaliwa...www.jamiiforums.com
kumbe haupo dar
Sio wote..ila nyie wajanja wajanja tunajuaga mpo dar au abroadKumbe kila mwana JF yupo dar
Ohooo,Mashindano ya Qur-an ni bora zaidi ya huo upuuzi wa mpira wa simba na orlando,Uwanja ni wa taifa na unatumika kwa watanzania wote wawe waislamu au wakristo...mleta mada una chuki na uislamu na bado uislamu utazidi kupaa juu zaidi na mtabaki mnashangaa kama kule Times Square,Hoja za hovyo eti watu watatokaje uwanjani baada ya mashindano kuisha,hakuna muislam anayeweza kujaribu kujificha eti aangalie mpira bure..ilhali kaenda kwa dhati kabisa ya moyo wake kusikiliza maneno matukufu ya Mola wa ulimwengu huyo atakuwa kafiri na sio muislam..naamini baada ya shughuli kuisha watatoka wote ili kupisha wapenda mpira kuingia...uislamu ni dini ya haki hivyo hatuwezi kudhulumu haki ya mtu siku hiyo.
Kuna sehemu kwenye bandiko langu nimesema hivyo?Utakua hujui au kuna Kitu unafichwa:
Miongoni mwa mambo yanayofanywa viwanja vya Mpira ambayo sio mpira wa Miguu Dunia Nzima na si Tanzania tu.
1) Michezo ya Rugby
2) Sherehe za Kitaifa (Uhuru, Muungano n.k.)
3) Matamasha ya Muziki
4) Ngumi za kulipwa
5) Mashindano ya Riadha/Mbio
6) Kufanya maonesho ya Silaha za Kivita na Gwaride.
7) Mashindano mbali mbali yakiwemo hayo ya Qur-an.
SWALI KWAKO: Ni kweli hujawahi kuona popote uwanja wa Mpira kufanyiwa shuhuli yoyote isiyokuwa ya Kimpira au umeamua kuficha ukweli hata ukasema ule ni uwanja wa mpira na sio wa Dini?
halafu lakini yanafanyika kwenye uwanja wa mpira! 😂Mashindano ya Quran ni muhimu zaidi kuliko mpira
Ule sio uwanja wa mpira wa miguu tu, ule ni uwanja wa shughuli zote za kijamii, michezo na kisiasa pia ndio maana hata sherehe za uhuru zinafanyikia uwanjaniKwanza mpira wa miguu ni haramu kwa Waislamu, vp watumie eneo lenye haramu.?
Usikariri, Ule sio uwanja wa mpira tu, pale kuna sehemu ya riadha pia lakini kuna sherehe za kumbukumbu za uhuru na muungano zinafanyikaga palehalafu lakini yanafanyika kwenye uwanja wa mpira! 😂
Sherehe za uhuru wa nchi gani zishawahifanyikia hapo? Acha mihemko broUle sio uwanja wa mpira wa miguu tu, ule ni uwanja wa shughuli zote za kijamii, michezo na kisiasa pia ndio maana hata sherehe za uhuru zinafanyikia uwanjani