Marine creature
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 2,259
- 2,971
Kwa hyo nyie wavaa kanzu nyeupe mnajikuta malaika eh?Hapana mkuu, niambie mvaa suti mambo vipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hyo nyie wavaa kanzu nyeupe mnajikuta malaika eh?Hapana mkuu, niambie mvaa suti mambo vipi?
Dini n nn ??maana mm cjui??
Basi wafanyie msikitini au msikiti ambao una eneo kubwa la wazi ,au wangeomba hata ufanyike Azam complex au kwa BibiHayo mashindano ya Quran ni ya msingi kuliko mchezo wa mpira, ni jambo jema kuliko hata maadhimisho ya kitaifa yanayofanyika hapo.Takbiiiir
Binafsi ni mkatoliki kindaki ndaki lakini napingana na mtoa mada, huwezi kulinganisha mchezo na jambo jema linalomhusisha Mwenyezi Mungu na kuwaongoza watu ktk njia ya haki na unyoofu.
Tumsifu yesu kristo...
Kanisa la kisinodi.....
Mwana kondoo ameshinda...
Salam aleykum...
Mwaka ulioisha walifanya kwa bibi na lupaso sasa Azam complex watatoshea ?Basi wafanyie msikitini au msikiti ambao una eneo kubwa la wazi ,au wangeomba hata ufanyike Azam complex au kwa Bibi
Hapana, zetu rangi ya maziwa kama za mapadiriKwa hyo nyie wavaa kanzu nyeupe mnajikuta malaika eh?
Rangi ya maziwa ni nyeusi sio?Hapana, zetu rangi ya maziwa kama za mapadiri
Hapana ni buluuRangi ya maziwa ni nyeusi sio?
Hayo mashindano ya Quran ni ya msingi kuliko mchezo wa mpira, ni jambo jema kuliko hata maadhimisho ya kitaifa yanayofanyika hapo.Takbiiiir
Binafsi ni mkatoliki kindaki ndaki lakini napingana na mtoa mada, huwezi kulinganisha mchezo na jambo jema linalomhusisha Mwenyezi Mungu na kuwaongoza watu ktk njia ya haki na unyoofu.
Tumsifu yesu kristo...
Kanisa la kisinodi.....
Mwana kondoo ameshinda...
Salam aleykum...
simbasc.co.tz
Kuna sehemu kwenye bandiko langu nimesema hivyo?
Au wewe ndio unaamua kwa makusudi kupindisha?
Lakini Uwanja ni kwa ajili ya Mpira,
Hata huko FIFA inajulikana ni uwanja wa mpira sio Dini..
Kwahiyo Busara hapo ingetumika walau yafanyike siku moja kabla au baada,
Lakini siku ya mechi hapa Kuna lawama zinaenda kutokea..
Takbiiir
Nimesema hivi tutafanya hapahapa LUPASO kwani wewe unasemaje,kama unaweza njoo unipige.....Kwani kuna mtu kasema lisifanyike? Suala ni mahali linapofanyikia kwa siku hiyo sio mahali sahihi sababu hiyo sehemu kwanza ni kwa ajili ya michezo na siku hiyo kuna mchezo. Je utaunga mkono ikiamuliwa wakafanyie shuleni na masomo yaahilishwe?
Kwani mechi itasubiri watu waingie uwanjani?umeona wapi?wengine wataingia huku game inaendeleaHii mechi haitaanza muda husika, lazima itasogezwa mbele. Watu 60,000 kuingia ndani ya muda huo uliobaki ni kilio
Labda katika kusherehekea Pasaka.Naamini hakuna uwanja wa Dini,
Wanaweza kutumia hata huo wa Mkapa ila sasa kwanini siku hiyo ya game?
Sasa 'pre match' itafanyika vipi?Kama shughuli yao inaisha saa 7 sioni shida kwasababu kuna masaa matano mbele kufikia muda wa mchezo
Jiheshimu mkuu....Mleta mada anajitambua kweli?
Qur'an na limpira lake ni mbingu na ardhi. Tena akae kimya na lisimba lake hilo
Moderator
Maxence Melo
Futeni huu uzi