Kuna umuhimu wa kuripoti JKT kwa wahitimu wa Form 6?

Kama unawish kuajiriwa siku moja na serikali ya Tanzania.. nenda kimbia fasta... Ila Kama unandoto tofauti jeshini haina haja
 
Usiongee kama mwakilishi wa jumuiya, sema wewe umeona hakija kusaidia usiseme watu
Hakina mchango wowote mambo ya kutesa watoto Bure tuu, jkt waende wa kujitolea wanaotaka na wenye uhakika wa kuajiriwa jeshini, vinginevyo ni porojoo tuu havisaidii lolote
 
Kwa kizazi hiki JKT muhimu,watoto wamelegea,uzalendo hawana
 
Kila niktaka kukuacha naona unajaa kwenye 18 [emoji23][emoji23][emoji23]

Njoo wewe na huyo cocastic, nawafumua mishono yote hiyo tena situmii mundende
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeshindwaaa kumkaza mama zuriii, ndo uniwezeee mie??
Hebu nipishee mie mxxxxieeeew
 
Hakika
 
Umechafua sana watu ukaona hujachoka, umeanza kuchafua na jeshi. Kuna kitu naamini unakitafuta. Basi subiri
Wee mjinga nn, sasa Kupita JKT kwa mujibu ni ajabu? Hivi wee uko timamuuu??

Ndo maana unachapiwaa, na kusoma kwako kotee ndo akili zimeishia hapoo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeh
 
Nimeipenda hii!
 
Njoo na cheti chako cha JKT na mimi na hiki kitambi changu lakini ntakuponda vbya mno.

Hakuna faida yyte kwend JKT,Usimtishe dogo
Jumbe una kitambi?[emoji38][emoji38][emoji38] mkeo inaoneana unamuonea mno na yeye anakuendekeza sana... anatakiwa akupasue kabisa
 
Ndio maana mnaitwa wajinga na wapumbavu.
Hayo yote ulitakiwa fundishwa na waliokuzaa
Sehem niliyokulia kwa bahat mbaya hatukua na shamba, na muda wangu mwingi niliutumia katika masomo nyumban ilkua ni muda likizo tu.
 
Nawashangaa sana wanaosema jkt ni kupoteza muda, je mwanafunzi akibaki nyumbani ana kitu chochote muhimu cha kufanya?? Ni familia chache tu ambazo zinawapeleka hata short course za computer watoto wao katika huo muda, Na ni wanafunzi wachache wanaojishughulisha na uzalishaji mali katika muda huo.
Asilimia kubwa wengi huwa ni wazurulaji tu mtaani na familia ikijitahid sana itampa nauli akatembelee ndugu zake.
Je huko sio kupoteza muda napo kama hafanyi shughuli za msingi??
Tatizo mnaweka matarajio makubwa kua kwenda jkt kutakupatia ajira,hapana.
Kama mwanafunzi ana jambo la msingi analofanya nyumbani ni heri aende.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…