Dodoma leo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,336
- 1,658
Kama unawish kuajiriwa siku moja na serikali ya Tanzania.. nenda kimbia fasta... Ila Kama unandoto tofauti jeshini haina hajaHabari zenu Wana JF,
Naomba msaada kufahamu madhara ya kuacha kuripoti wito wa kujiunga na JKT kwa wale waliomaliza A level.
Je, cheti cha kumaliza mafunzo ya JKT huwa kinahitajika kwa ambaye anataka kufanya maombi vyuo vikuu vya Serikali kama UDSM, Tanzania Institute of Accountancy na IFM, kwa mfano?
Lakini la ziada: kama mhusika hatafanya maombi ya mkopo kupitia HESLB ataathirika namna gani?
Asanteni kwa msaada.
Nawashauri wakulima ndo waende huko wakaongeze skills za kilimo ila wengine wasirnde wala hakuna maana yyte. Huo ukakamavu hauna faida yeyoteWatoto wa siku hizi mayai sana, waende huko wakalime wawe wakakamavu
Hakina mchango wowote mambo ya kutesa watoto Bure tuu, jkt waende wa kujitolea wanaotaka na wenye uhakika wa kuajiriwa jeshini, vinginevyo ni porojoo tuu havisaidii loloteUsiongee kama mwakilishi wa jumuiya, sema wewe umeona hakija kusaidia usiseme watu
Hushindwi kitu?Kama kipi?Au ni kwamba utapata ujuzi/uzoefu/uvumilivu wa mazingira magumu na yenye utata kiasi tu?Ukiweza kuishi maisha ya jeshi na ukatoboa...![emoji125]basi mtaani hushindwi kitu
Kwa kizazi hiki JKT muhimu,watoto wamelegea,uzalendo hawanaJKT kupoteza muda tu na kutesa vijana wetu wameshachoka na mitihani hata hawajapumzika waend tena kulima huko na kukimbiakimbia, hao wa kujitolea tu hawawaajiri wanazeekea makambini na kurejea mitaani.
Binafsi sioni faida ya kwenda huko, labda kama una ndoto na jeshi unaweza kwenda ukapata connection otherwise piga chini, chuo utaenda tu.
Comment ya kitoooooooto kabisa. I guess you are below 25!Umasikini tu kijana wa kidato Cha sita kwenda huko ni umasikini tu Kama Mzazi upo vizuri mwandalie mtoto future Mapema..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeshindwaaa kumkaza mama zuriii, ndo uniwezeee mie??Kila niktaka kukuacha naona unajaa kwenye 18 [emoji23][emoji23][emoji23]
Njoo wewe na huyo cocastic, nawafumua mishono yote hiyo tena situmii mundende
HakikaWatoto wa sasa hivi ni lonyolonyo sana, nashauri mbunge litunge sheria iwe ni lazima kwenda JKT.
Kiukweli mnatusikitisha sana Toto lipo high school bado linasimamiwa na wazazi hawezi hata kujisimamia.
Kizazi hiki bila kukipitisha jeshini tunaandaa msiba mkubwa kwa Taifa.
Wee mjinga nn, sasa Kupita JKT kwa mujibu ni ajabu? Hivi wee uko timamuuu??Umechafua sana watu ukaona hujachoka, umeanza kuchafua na jeshi. Kuna kitu naamini unakitafuta. Basi subiri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliiiiiKwa iko kibamia chako kilicholendemuka kibaya km cha pig [emoji1787][emoji1787]
Halafu hana hata aibu macho makavuuuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndo mnavyo danganyanaaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeipenda hii!Nakubaliana na wewe kabisa mkuu, pia kama utaratibu huu ni kuwajengea vijana uwezo wa kizalendo pamoja na utambuzi wa skills mbalimbali za maisha basi nashauri usiwe na mazingira ya kiubaguzi kwani sio wote wanaomaliza huenda bali wengi wao huwa ni school candidates na sio PC. Unawezaje kuona SC anafaa kujiunga na JKT halafu PC asifae ilihali wote ni vijana wa kitanzania. Pili napata tabu kujua ni utaratibu upi ulitumika kutambua kuwa wanaostahili kwenda jkt kwa mujibu wa sheria ni hawa waliomaliza six pekee? Kwa nini kama lengo ni jema serikali isiweke utaratibu unaogusa kundi kubwa la vijana na iwe ni lazima labda mtu mwenye matatizo? Naomba nimalizie kwa kusema kwamba binafsi naliona kundi linalofaa kujiunga jkt kwa mujibu wa sheria ni hawa wanaomaliza kidato cha nne na iwe hivyo kwa wote kabisa kabisa.
Sababu ni kama zifuatazo:-
1/. Utagusa kundi kubwa sana la vijana.
2/. Kutokana na mazingira ya sasa, utakuwa umeokoa vijana wengi kwa kuwafanya wakakamavu na kuwaondolea hali ya urojourojo ikumbukwe kwamba siku hizi mfumo wa maisha umebadilika vijana wengi wamezoeshwa maisha mwendokasi kwa hiyo kusubiria wamalize kidato cha sita wanakuwa wameshakubuhu.
3/. Ni kundi ambalo lina muda mrefu wa kukaa jkt bila kuwaza mambo mengine kwani huwa kuna gap kubwa kutoka kumaliza shule, matokeo kutoka, selection na kujiunga na ngazi nyingine za elimu. Na hapa utakuwa umeokoa au umenusuru watoto wengi dhidi ya mambo kurupushi ya mtaani mfano kuolewa kabla ya kufikia malengo, na mengine yenye kufanana na hayo.
4/. Kundi hili kubwa mara baada ya kumaliza mafunzo hayo, nina imani vijana wetu hawatabaki kama walivyoingia na hatimae nchi itakuwa ina vijana wengi wanaojitambua.
NB. SERIKALI ISIOGOPE GHARAMA.
Jumbe una kitambi?[emoji38][emoji38][emoji38] mkeo inaoneana unamuonea mno na yeye anakuendekeza sana... anatakiwa akupasue kabisaNjoo na cheti chako cha JKT na mimi na hiki kitambi changu lakini ntakuponda vbya mno.
Hakuna faida yyte kwend JKT,Usimtishe dogo
Wangefanya JKT iwe mandatory kwa wanaume tu kama nchi nyingi za Ulaya. Kwa wanawake iwe hiyari. Sababu huko kuna changamoto nyingi ambazo siyo rafiki kwa wasichana.
Sehem niliyokulia kwa bahat mbaya hatukua na shamba, na muda wangu mwingi niliutumia katika masomo nyumban ilkua ni muda likizo tu.Ndio maana mnaitwa wajinga na wapumbavu.
Hayo yote ulitakiwa fundishwa na waliokuzaa
Sio nchi za ulaya, lakin israel na south korea wanafanya hiyo,Nchi gani ya ulaya
Sio nchi za ulaya, lakin israel na south korea wanafanya hiyo,
Mpaka wa matajiri wanakwenda...Huko wapelekwe watoto wa masikini
Just google au uliza internet, i am 100% sure.Weka reference