Kuna viashiria vikubwa vya uvunjifu wa amani siku zijazo…

Me mwenyewe nimechoka na ujinga wa viongozi wa CCM. Bora kibanda kiungue tuanze kukijenga upya
Kibanda kikiungua na wewe huna jeuri hata ya kufika hapo Kenya utakufa kwa mateso makubwa wakati viongozi waliokujaza ujinga kichwani wakiwa Ulaya wanakula kuku kwa mrija.
 
Wao wanajali mishahara yao 15m na maposho juu
 
Serikali ndio ufanya maisha ya watu yawe magumu,
Serikali ndio uleta tatizo la ajira nchini, kuvuna mabua ni kitu kisichokwepeka
Wewe usisomeshe watoto wako utegemee kuilaumu serikali.

Usitafute ajira kulingana na elimu yako uishie kuilaumu serikali.

Ufuge ujinga kichwani mwako uishie kuilaumu serikali!, tunateketea kwa ukosefu wa maarifa.
 
Hoja mfu kabisa 🚮🚮🚮
 
Nondo ambazo zinaweza kuwa msaada mkubwa kwa serikali.

Lakini mzee Wambura na wenzake wameshajiwekea tafsiri moja tu kwamba kukosoa mienendo isiyofaa ya watawala ni UHAINI.

Wanapaswa kuangalia taathira za kauli na maamuzi yao yasije kuleta donda lisiloponyeka kwa muda mrefu
 
Acha upuuzi wewe,nyie wachochezi ndio mnatakiwa kushughulikiwa.

Hiyo lugha Huwa unasikia wewe tuu? Mbona Mimi sijawahi sikia wakiongea?

Serikali msiwakalie kimya watu dizaini ya huyu mtoa mada.
Mnaomzunguka Hangaya na kumhadaa ndo mnasababisha hizi sintofahamu kushamiri.

Mtaani yanasemwa mengi. Mimi nayasikia na kuyaona.
 
Kwa ground mambo ni tofauti sana.

Maisha yanakuchapa mpaka huoni umuhimu ata wa siasa
Kama ndiyo wewe umepigika na maisha mpaka huoni umuhimu wa siasa basi huna akili kabisa
Ungekuwa na akili japo kidogo basi ungegundua kuwa siasa ndiyo inaathiri maisha

Niko na wanangu hapa wa bodaboda wanalalamika mambo magumu kila ukifanya kazi unaishia tu kununua mafuta,
Mafuta ya elfu 5 hupati hata lita mbili

Nusu ya hela inayopatikana inaishia kwenye mafuta
 
Mtanzania wa kawaida kama mm siasa haina msaada zaidi ya kunitengenezea mazingira magumu kila sector. Kuanzia elimu, hospitali mpaka Uchumi

Ni basi huwez ku opt. Kutojihusisha nazo
 
Wazanzibari ndio wa kwanza kupigia kelele muungano,cha ajabu wabara wakawa vinara wa kuwapinga.
Basi mmepata bahati kwa sababu ya ccm inayoamini katika Fikra sahihi za Mwenyekiti wa CCM hata kama anaiuza nchi kwao sawa maana wanadumisha Chama cha Mapinduzi na wala hawana uchungu na Watanzania.
 
B
Bora akili za kimaskini zinazoamini katika utu na haki ya urithi kuliko akili za kitajiri zinazoamini katika utegemezi,rushwa na ujinga wa kumilikiwa na mwenye pesa.
 
Mnaomzunguka Hangaya na kumhadaa ndo mnasababisha hizi sintofahamu kushamiri.

Mtaani yanasemwa mengi. Mimi nayasikia na kuyaona.
Kama yapi hayo yanayosemwa mengi? Unadhani chuki zako ndio zitabadili nini labda?
 
Wewe usisomeshe watoto wako utegemee kuilaumu serikali.

Usitafute ajira kulingana na elimu yako uishie kuilaumu serikali.

Ufuge ujinga kichwani mwako uishie kuilaumu serikali!, tunateketea kwa ukosefu wa maarifa.
Kwa majority waliosoma na hawana ajira vipi,na Hilo rundo la watu wanaojaa kwenye interview dodoma unasemaje kosa ni la nani.

Kodi komozi, kuzuia watu kwenda nje kufanya kazi,rushwa ufisadi, mipango miji mibovu, kuingia mikataba mibovu, matumizi mabaya ya kodi haya yanafanywa na nani.
 
Hakuna Kodi komozi labda uzitaje

Kujaa watu kwenda kwenye usaili inatokana na Fikra finyu ambazo watu wamekaririshwa kwamba kazi ni lazima za serikali maana humo unakuta watu wanaofanya Private Kwa kujiajiri au kuajiriwa wanataka kuja Serikalini.

Matumizi mabaya ya Kodi ni kama yapi?
Kuna Nchi Haina Rushwa Dunia hii?
Mikataba mibovu ni ipi?

I acknowledge kwenye mipango Miji tuu
 
Kama yapi hayo yanayosemwa mengi? Unadhani chuki zako ndio zitabadili nini labda?
Udhaifu wako ktk mjadala upo too personal.

Mimi napanda daladala, naendq sokoni na pia nakunywa kahawa huku nikiangalia soka la timu za mtaani.

Thubutu kuwa kama mimi kwanza ili uyafehemu ya wananzengo.

Itisheni kura ya maoni leo uone mziki wake. Hata wewe haupo wima na Hangaya unajikosha tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…