Kuna viongozi wengi ni Usalama wa Taifa!?

Kuna viongozi wengi sana ambao ni usalama wa taifa. Mmoja ambaye nina uhakika naye kwa 💯 ni Professor Mkumbo ambaye ni waziri kwa sasa. Miaka yote hata kabla ya kuingia Chadema alikuwa usalama wa taifa.
Wengine ni akina nani?
Kwangu , watanzania wote ni Usalama wa Taifa, sema kuna wachache wanalipwa mshahara na sisi hatulipwi lakini tukiona uhalifu ama mtu anataka kutenda uhalifu tunatoa taarifa Polisi, kwahiyo sote ni usalama.
 
Wengine ni akina nani?
Kwangu , watanzania wote ni Usalama wa Taifa, sema kuna wachache wanalipwa mshahara na sisi hatulipwi lakini tukiona uhalifu ama mtu anataka kutenda uhalifu tunatoa taarifa Polisi, kwahiyo sote ni usalama.
Ila mara nyingine unaweza kutoa taarifa halafu................
 
Ingekuwa enzi zetu.......kijiweni kwetu ningesema....mama tupimie pombe nyingine.....
 
Hata Wewe ni usalama wa Taifa

Kuwa Mzalendo 😀
Kila raia au mwananchi anayejielewa lazima alinde usalama wa taifa lake iwe directly au indirectly.
Hii ni muhimu kwa sababu kuna wakati mwingine wanaoitwa usalama wa taifa hugeuka kuwa maadui wa taifa na hivyo kulazimika kuondoshwa kwa gharama yoyote.
 
Kuna viongozi wengi sana ambao ni usalama wa taifa. Mmoja ambaye nina uhakika naye kwa 💯 ni Professor Mkumbo ambaye ni waziri kwa sasa. Miaka yote hata kabla ya kuingia Chadema alikuwa usalama wa taifa.

Tanzania Usalama wa Taifa wapo kila kona. Kuanzia kwenye Vyama, Makanisani, Misikitini, Vyuoni, Mashuleni, Machinga, Bodaboda ..... Kila eneo wamekaba.
 
Hivi mbona mnautukuza sana huo usalama wa Taifa?
Wangekuwa wa maana kwa rasilimali hizi tusingekuwa nà raia waonalala nyumba moja na mbuzi.
TISS is overrated, nothing more.
Tiss wetu mentally wapo kutulinda na ndicho wanachojitahidi(usalama nje na ndani)

Lakini jukumu la kutafuta fursa wamechemka, au sijui wanaona labda sio jukumu Lao.

Mf: ishu ya Rwanda kuitupa bandari yetu na kuhamia kenya ilibidi waijue mapema na kufanya Well calculated move.

Wameshindwa kuupenyeza mziki wetu globally, tumeishia kupata mtu mmoja(Diamond) ambae na yeye anachechemea, tiss walishindwa vipi kuupenyeza mxiki wetu kimataifa kama wanigeria? Kazi hii tiss walitakiwa waifanye kipindi wanigeria wanaanza kutoboa ingebidi watoboe na wabongo kwa pamoja coz kipindi kile mziki wetu na wao tulikua sawa tu.
 
Njaa itakuua na hawakuoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…