Bando la wiki
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 911
- 3,017
Kwenye serikali kufanya hafla ya kumkabidhi bandari DP WORLD, serikali ya ccm ilimpa mualiko wa uongo Fr. Kitima ili ashiriki hafla hiyo. Mbona hapo hawakumchafua kwamba anatumia jukwaa la kanisa kusapoti serikali ya ccm!Ila hao wachunga kondoo wakishiriki vikao vya machizi ccm ni halali. Shame on you
Kazi ya kanisa ni kupatanishaKanisa linatakiwa kuwa neutral, lisiwe na mlengo wowote wa kisiasa.
Hili suala la Kitima kuwa mpanga mikakati wa Chadema na hata kushiriki vikao vyao vya siri, linatia shaka sana na kupunguza heshima ya kanisa.
Nashauri Kanisa limuondoe katika nafasi hiyo ili heshima yake, japo ni kidogo, ibakie
Naijua tangu ikiwa chinja chinja enzi za RumiTulia Mkuu huijui taasisi ya Katoliki
Kwa chuki alizoonyesha kisa dp world tulijua kuwa ni kirusiKanisa linatakiwa kuwa neutral, lisiwe na mlengo wowote wa kisiasa.
Hili suala la Kitima kuwa mpanga mikakati wa Chadema na hata kushiriki vikao vyao vya siri, linatia shaka sana na kupunguza heshima ya kanisa.
Nashauri Kanisa limuondoe katika nafasi hiyo ili heshima yake, japo ni kidogo, ibakie
TEC sio SHURA YA MAIMAMU BRAZA.Kanisa linatakiwa kuwa neutral, lisiwe na mlengo wowote wa kisiasa.
Hili suala la Kitima kuwa mpanga mikakati wa Chadema na hata kushiriki vikao vyao vya siri, linatia shaka sana na kupunguza heshima ya kanisa.
Nashauri Kanisa limuondoe katika nafasi hiyo ili heshima yake, japo ni kidogo, ibakie
na ikiwezekana hata avuliwe upadre kabisa,Kanisa linatakiwa kuwa neutral, lisiwe na mlengo wowote wa kisiasa.
Hili suala la Kitima kuwa mpanga mikakati wa Chadema na hata kushiriki vikao vyao vya siri, linatia shaka sana na kupunguza heshima ya kanisa.
Nashauri Kanisa limuondoe katika nafasi hiyo ili heshima yake, japo ni kidogo, ibakie
Nani kasema ni sawa?TEC sio SHURA YA MAIMAMU BRAZA.
Umeandika ujinga mtupu!na ikiwezekana hata avuliwe upadre kabisa,
kwasababu hawezi kuaminika tena katika kuhubiri neno la Mungu kwa waamini hususani wa vyama vingine, ili hali moyoni mwake pamejaa chadema na mgombea uongozi wa chadema Taifa ambae ni wa kabila lake.
Infact,
huyo katibu mkuu wa Baraza la maaskofu katoliki Tanzania hana tena uhalali wa kua kiongozi wa Baraza la maaskofu katoliki Tanzania lakini pia haufai tena kua padre au kiongozi wa waamini wa kanisa katoliki 🐒
Umeandika ujinga mtupu!
sasa si ungeandika uerevu gentleman?Umeandika ujinga mtupu!
nadhan ni wakati muafaka sasa hilo likafanyika baada ya mtu huyo mnafiki kujaribu kuipenyeza chadema ndani ya kanisa katoliki kinyemela 🐒Alitakiwa avuliwe upadri muda mrefu sana, ukipata skendo zake na wanawake wa Chuo Kikuu -SAUT, Mwanza, utashika kichwa kwa mshangao
Nilidhani angependekeza Fr Kitima hata apewe Uaskofu kwa kazi nzuri sana anayofanya. Katika uongozi wa Kanisa hapo alipo kawekwa na Maaskofu. Wamemuamini. Taasisi hii ya Maaskofu Katoliki Tanzania TEC ni nyeti sana haikurupuki kumuweka Katibu Mkuu pale alipo. Yeye kama Katibu Mkuu ndiye Mratibu wa kila kitu katika Baraza la Maaskofu na ndiye Msemaji Mkuu refer wakati wa sakata la D P WORLD. Hadi sasa hatujapata majibu ya D P WORLD lakini kuna siku sisi wote tutakubaliana na ukweli uliosemwa kwamba kuna mapungufu makubwa. Sasa tuwasubiri wachina laki tatu.Jina lako Chiembe, yaani kisukuma ni Kichembe, vile viazi vinavyokaushwa juani... sasa wewe sikushangai, badala ya kukaushwa Juani umekaushwa ubongo.
Unadhani kanisa katoliki ni pango la wahuni eeh. Hiyo ndio taasisi inayoongoza dunia.
Gademaralasta
Nina wasiwasi na jambo baya mwaka huu..Nilidhani angependekeza Fr Kitima hata apewe Uaskofu kwa kazi nzuri sana anayofanya. Katika uongozi wa Kanisa hapo alipo kawekwa na Maaskofu. Wamemuamini. Taasisi hii ya Maaskofu Katoliki Tanzania TEC ni nyeti sana haikurupuki kumuweka Katibu Mkuu pale alipo. Yeye kama Katibu Mkuu ndiye Mratibu wa kila kitu katika Baraza la Maaskofu na ndiye Msemaji Mkuu refer wakati wa sakata la D P WORLD. Hadi sasa hatujapata majibu ya D P WORLD lakini kuna siku sisi wote tutakubaliana na ukweli uliosemwa kwamba kuna mapungufu makubwa. Sasa tuwasubiri wachina laki tatu.
Kanisa linatakiwa kuwa neutral, lisiwe na mlengo wowote wa kisiasa.
Hili suala la Kitima kuwa mpanga mikakati wa Chadema na hata kushiriki vikao vyao vya siri, linatia shaka sana na kupunguza heshima ya kanisa.
Nashauri Kanisa limuondoe katika nafasi hiyo ili heshima yake, japo ni kidogo, ibakie
Limevuliwaje nguo? Hivi nyie humo vichwani mwenu mmejaza makopo nini?Haya sio mambo binafsi! Ni mambo ya taasisi..Ndiyo maana wenyewe wamefanya Siri!
Haijakaa Sawa! Na kanisa limevuliwa nguo kwenye hili!
Bado hujasemaKwani watu kupatanishwa ni kosa. Kama walimfuata awapatanishe yeye ana kisa gsni?
Mbona Maza aliwatuma Mashehe na Mapadri kuongea na Mbowe gerezani. Tofauti yake ipo wapi?
Bado hujasema