chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Yaani mtahenyeshwa sana mpaka mshangaeSema wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani mtahenyeshwa sana mpaka mshangaeSema wewe.
Yaani mtahenyeshwa sana mpaka mshangae
Kitengwe nae si ndiyo walewale uchawa tu.Kitenge ndiye amezusha habari za Dr. Kitima lakini Lissu hakumtaja Kitima.
Lakini huwa hapayukipayuki kama hao niliyowataja...Na Kardinali Pengo ni chawa wa Ccm.
Lakini huwa hapayukipayuki kama hao niliyowataja.
Nyie jamaa ni wote huwa mnakuwa hamna akili? Kazi ya viongozi wa Dini na wasio wenye busara ni kupatanisha. Ningefurahi sana kama Maalim na Lipumba wangepatanishwa. Iwe na Sheikh au asiye. Ana Kheri anayepatanisha. Na Upatanisho huwa so wa Public. Watu wanakalishwa kila mmoja anaongea machungu yake.Acha kujitia upofu makusudi. Hivi ingekuwa Lipumba na Maalim Seif wameenda kushiriki vikao vya siri Msikiti wa Umar AlFarouq BAKWATA Kinondoni I ungechukulia poa?
Labda Ikulu ya nyumbani kwako! Mropokaji na msaliti wa nchi hawezi kura Rais wa JMT fullstop!!Padri alimuomba Mbowe amuachie Lissu. Lissu akipewa tiketi ataingia ikulu asubuhi na mapema.
Kama nyie tu mnaobadu sanamu!Nyie jamaa ni wote huwa mnakuwa hamna akili? Kazi ya viongozi wa Dini na wasio wenye busara ni kupatanisha. Ningefurahi sana kama Maalim na Lipumba wangepatanishwa. Iwe na Sheikh au asiye. Ana Kheri anayepatanisha. Na Upatanisho huwa so wa Public. Watu wanakalishwa kila mmoja anaongea machungu yake.
Mnaabudu sanamu? Kwa nini? Ukiwa na akili unagundua kuwa upatanishi ni jambo jema. Wewe hupendi? Unataka wakatane mapanga? 😁Kama nyie tu mnaobadu sanamu!
Tunaijua NCHI hii kuwezi kutudanganya kitu! Udini ukihusu Uislam ila ukihusu ukafiri ni upatinishi!
Shenzy typ!
Maaskofu watatu na Mufti walimuona FAM kabla ya kuachiliwa na kufutiwa mashtaka ya uhainiKwanini wanapotosha, kwanini hakuna anayeweka uthibitisho wa video habari hii ya madai kuwa Tundu Lissu amethibitisha Padre Dkt. Charles Kitima kushiriki vikao vya siri vya CHADEMA?
Katika video ya mahojiano na Waandishi wa Habari pale Uwanja wa Ndege hakuna mahali Lissu amemtaja Kitima lakini namna imeripotiwa ni kama viongozi wa dini hawapaswi kufanya upatanishi.
Hata hivyo ukifuatilia wote waliotoa habari hii maelezo yao ni copy and paste mwanzo mwisho kuonesha script waliyopewa ni moja.
Halafu kama kikao walichoshiriki ni kikao cha upatanisho kuna ubaya gani wao kushiriki? Maana yeyote waliyemuona na busara za kuwapatanisha ndiye aliyealikwa kwanini wahusishe na kuiponda serikali?
Lakini pia kama wanakemea uovu unaofanywa na viongozi serikalini kuna tatizo gani? Kwani kazi ya vyombo vya dini ni kusifia tu viongozi na serikali na siyo kukosoa pale wanapoona mambo hayaendi vizuri?
Hiki ndicho Lissu alizungumza
View attachment 3196312
==
View attachment 3195838
Katika tukio lililotokea jana katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Tundu Lissu, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, amethibitisha hadharani kuwa Fr. Charles Kitima, Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), alihudhuria vikao vya siri vya chama hicho vilivyofanyika katika ukumbi mdogo wa Macapuchino ulioko eneo la kanisa, Msimbazi Centre, jijini Dar es Salaam.
Mwanzoni mwa mwezi Desemba, taarifa za ndani zilisambaa zikidai kuwa Fr. Kitima, Kiongozi wa juu wa Kanisa Katoliki, alihusishwa moja kwa moja na vikao vya CHADEMA.
Taarifa hizo zilizua mijadala mitandaoni, huku baadhi ya wadau wakitilia shaka ukweli wake na wengine wakihoji nafasi ya kiongozi huyo wa kidini katika siasa za vyama.
Hata hivyo, jana Lissu amekiri waziwazi ushiriki huo, akiondoa shaka kuhusu madai hayo ambayo awali yalionekana kama uzushi.
Ukaribu wake na Fr. Kitima unatokana na ukweli kwamba wote wanatoka kijiji kimoja mkoani Singida. Ukaribu huu, kulingana na vyanzo vya karibu, umesababisha Fr. Kitima kuwa mmoja wa wapangaji wakuu wa mikakati ya kampeni za Lissu na hatua za kuipinga serikali.
Uthibitisho huu umetajwa kama "kuvuliwa nguo kwa kanisa," huku baadhi ya wadau wakidai kuwa hatua ya Lissu kufichua ushiriki wa Katibu wa TEC katika siasa za vyama imeweka wazi mgongano wa maadili unaohusiana na nafasi ya viongozi wa dini katika masuala ya kisiasa.
Uthibitisho huu umetajwa kama "kuvuliwa nguo kwa kanisa," huku baadhi ya wadau wakidai kuwa hatua ya Lissu kufichua ushiriki wa Katibu wa TEC katika siasa za vyama imeweka wazi mgongano wa maadili unaohusiana na nafasi ya viongozi wa dini katika masuala ya kisiasa.
Kanisa Katoliki linatakiwa kutoa tamko rasmi kufuatia kauli ya Lissu, ingawa mjadala mkubwa umeibuka mitandaoni, huku waumini na wadau wa siasa wanakosoa hatua hiyo kama kinyume na maadili ya kidini.
Tukio hili linaongeza mvutano kuhusu nafasi ya viongozi wa dini katika siasa za Tanzania.View attachment 3195839
Wewe mtu wa CCM una masilahi gani Mbowe?Hata ashinde huyo Msaliti wa nchi hawezi ongoza nchi yetu huyo Mbelgiji huyo labda aongoze hiyo Saccos yenu.
Kitenge ni mmoja wa wanufaika wa dola za DP World.Kitengwe nae si ndiyo walewale uchawa tu.
Wazoee watanzania na hasa chamudomozzzzAcha kujitia upofu makusudi. Hivi ingekuwa Lipumba na Maalim Seif wameenda kushiriki vikao vya siri Msikiti wa Umar AlFarouq BAKWATA Kinondoni I ungechukulia poa?
Na kuna uzi humu jana unasema Waziri amesikika akimtaka mwanae alitekwa arejeshweLakini pia kama wanakemea uovu unaofanywa na viongozi serikalini kuna tatizo gani? Kwani kazi ya vyombo vya dini ni kusifia tu viongozi na serikali na siyo kukosoa pale wanapoona mambo hayaendi vizuri?
Kama cardinal pengo alivyokuw anawapatanisha jiwe na kikweteWazoee watanzania na hasa chamudomozzzz
They twist and turn like hell
Fr. Kitima is too biased