Pre GE2025 Kuna vita ya chinichini inaendelea dhidi ya viongozi wa dini wanaokosoa Serikali
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Heri weny
Kwanini wanapotosha, kwanini hakuna anayeweka uthibitisho wa video habari hii ya madai kuwa Tundu Lissu amethibitisha Padre Dkt. Charles Kitima kushiriki vikao vya siri vya CHADEMA?

Katika video ya mahojiano na Waandishi wa Habari pale Uwanja wa Ndege hakuna mahali Lissu amemtaja Kitima lakini namna imeripotiwa ni kama viongozi wa dini hawapaswi kufanya upatanishi.

==

View attachment 3195838
Katika tukio lililotokea jana katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Tundu Lissu, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, amethibitisha hadharani kuwa Fr. Charles Kitima, Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), alihudhuria vikao vya siri vya chama hicho vilivyofanyika katika ukumbi mdogo wa Macapuchino ulioko eneo la kanisa, Msimbazi Centre, jijini Dar es Salaam.

Mwanzoni mwa mwezi Desemba, taarifa za ndani zilisambaa zikidai kuwa Fr. Kitima, Kiongozi wa juu wa Kanisa Katoliki, alihusishwa moja kwa moja na vikao vya CHADEMA.

Taarifa hizo zilizua mijadala mitandaoni, huku baadhi ya wadau wakitilia shaka ukweli wake na wengine wakihoji nafasi ya kiongozi huyo wa kidini katika siasa za vyama.

Hata hivyo, jana Lissu amekiri waziwazi ushiriki huo, akiondoa shaka kuhusu madai hayo ambayo awali yalionekana kama uzushi.

Ukaribu wake na Fr. Kitima unatokana na ukweli kwamba wote wanatoka kijiji kimoja mkoani Singida. Ukaribu huu, kulingana na vyanzo vya karibu, umesababisha Fr. Kitima kuwa mmoja wa wapangaji wakuu wa mikakati ya kampeni za Lissu na hatua za kuipinga serikali.

Uthibitisho huu umetajwa kama "kuvuliwa nguo kwa kanisa," huku baadhi ya wadau wakidai kuwa hatua ya Lissu kufichua ushiriki wa Katibu wa TEC katika siasa za vyama imeweka wazi mgongano wa maadili unaohusiana na nafasi ya viongozi wa dini katika masuala ya kisiasa.

Uthibitisho huu umetajwa kama "kuvuliwa nguo kwa kanisa," huku baadhi ya wadau wakidai kuwa hatua ya Lissu kufichua ushiriki wa Katibu wa TEC katika siasa za vyama imeweka wazi mgongano wa maadili unaohusiana na nafasi ya viongozi wa dini katika masuala ya kisiasa.

Kanisa Katoliki linatakiwa kutoa tamko rasmi kufuatia kauli ya Lissu, ingawa mjadala mkubwa umeibuka mitandaoni, huku waumini na wadau wa siasa wanakosoa hatua hiyo kama kinyume na maadili ya kidini.

Tukio hili linaongeza mvutano kuhusu nafasi ya viongozi wa dini katika siasa za Tanzania.View attachment 3195839
Mathayo 5:9
Heri walio wapatanishi maana hao wataitwa wana wa Mungu.
 
Padre kitima apongezwe endapo kama kweli alihusika kwenye suala hili. kupatanisha watu ni ibada takatifu ya kumtukuza Mungu, na kufarakanisha watu ni ibada ya Shetani. Padre kitima amefanya kazi ya Mungu, apongezwe, viongozi wengine wa kiroho waige mfano huu mzuri kutoka kwa Padre kitima
Mwaka huu mmeshikwa pabaya na mmedhihirisha kwamba hilo siyo kanisa bali genge la wahuni
 
Padre Kitima ni Kada wa Chadema na kwa sasa ni mpambe wa Lissu inajulikana siku nyingi sawa na Askofu wa sasa wa Dar kwa hiyo ni sawa tu ila waache kuwa wanatusemea waumini wote wa RC as if wote ni wafuasi wa Chadema.

..Na Kardinali Pengo ni chawa wa Ccm.
 
RC ni zimwi kuubwa ambalo ata mtawala awe mvaa kobazi lazima ali rambe miguu
 
Kwa nini mapadri Kitima na Dk. Slaa ndio wanaendesha crusade dhidi ya Mbowe?

Padri Kitima, pole sana, ulidhani mwenzako ana siri. Japo unataka wa dhehebu letu ndio akamate, lakini ndio hivyo sasa hana siri. Hii imetusaidia kujua kumbe upadri ni geresha tu, wewe ni kada mzuri wa chadema kwa hiyo inatakiwa uchukuliwe hivyo.

SSH unamshambulia sana, na hata Mbowe, kumbe siri kubwa ni kwamba hao sio wa Vatican.

Sasa hivi umemuachia padri mwenzako Dk. Slaa amshambulie Samia na Mbowe m-KKKT, nyuma ya pazia katumwa na kanisa kwa sababu Lissu ni mvatican, na mnataka Vatican ikamate chama
 
Kitenge ndiye amezusha habari za Dr. Kitima lakini Lissu hakumtaja Kitima.
Nami niliona kwa Kitenge kwamba Lissu amemtaja Padri Kitima kama aliyehusika na vikao vya siku 3.
Yeyote anayemjua Kitenge, amwambie atupatie video ya Lissu akitamka kuwa Kitima ndiye aliyekuwa nao kwa siku tatu.
Kama hakuna video,basi Kitenge na wote walioeneza habari hii ni wazushi na waongo wakubwa.
 
Kwa nini mapadri Kitima na Dk. Slaa ndio wanaendesha crusade dhidi ya Mbowe?

Padri Kitima, pole sana, ulidhani mwenzako ana siri. Japo unataka wa dhehebu letu ndio akamate, lakini ndio hivyo sasa hana siri. Hii imetusaidia kujua kumbe upadri ni geresha tu, wewe ni kada mzuri wa chadema kwa hiyo inatakiwa uchukuliwe hivyo.

SSH unamshambulia sana, na hata Mbowe, kumbe siri kubwa ni kwamba hao sio wa Vatican.

Sasa hivi umemuachia padri mwenzako Dk. Slaa amshambulie Samia na Mbowe m-KKKT, nyuma ya pazia katumwa na kanisa kwa sababu Lissu ni mvatican, na mnataka Vatican ikamate chama
Daaaah!!!
Kweli umasikini wa akili + umasikini wa kipato ni = utumwa.
Pole mtumwa.
 
Kwanini wanapotosha, kwanini hakuna anayeweka uthibitisho wa video habari hii ya madai kuwa Tundu Lissu amethibitisha Padre Dkt. Charles Kitima kushiriki vikao vya siri vya CHADEMA?

Katika video ya mahojiano na Waandishi wa Habari pale Uwanja wa Ndege hakuna mahali Lissu amemtaja Kitima lakini namna imeripotiwa ni kama viongozi wa dini hawapaswi kufanya upatanishi.

Hata hivyo ukifuatilia wote waliotoa habari hii maelezo yao ni copy and paste mwanzo mwisho kuonesha script waliyopewa ni moja.

Halafu kama kikao walichoshiriki ni kikao cha upatanisho kuna ubaya gani wao kushiriki? Maana yeyote waliyemuona na busara za kuwapatanisha ndiye aliyealikwa kwanini wahusishe na kuiponda serikali?

Lakini pia kama wanakemea uovu unaofanywa na viongozi serikalini kuna tatizo gani? Kwani kazi ya vyombo vya dini ni kusifia tu viongozi na serikali na siyo kukosoa pale wanapoona mambo hayaendi vizuri?

Hiki ndicho Lissu alizungumza

View attachment 3196312

==

View attachment 3195838
Katika tukio lililotokea jana katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Tundu Lissu, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, amethibitisha hadharani kuwa Fr. Charles Kitima, Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), alihudhuria vikao vya siri vya chama hicho vilivyofanyika katika ukumbi mdogo wa Macapuchino ulioko eneo la kanisa, Msimbazi Centre, jijini Dar es Salaam.

Mwanzoni mwa mwezi Desemba, taarifa za ndani zilisambaa zikidai kuwa Fr. Kitima, Kiongozi wa juu wa Kanisa Katoliki, alihusishwa moja kwa moja na vikao vya CHADEMA.

Taarifa hizo zilizua mijadala mitandaoni, huku baadhi ya wadau wakitilia shaka ukweli wake na wengine wakihoji nafasi ya kiongozi huyo wa kidini katika siasa za vyama.

Hata hivyo, jana Lissu amekiri waziwazi ushiriki huo, akiondoa shaka kuhusu madai hayo ambayo awali yalionekana kama uzushi.

Ukaribu wake na Fr. Kitima unatokana na ukweli kwamba wote wanatoka kijiji kimoja mkoani Singida. Ukaribu huu, kulingana na vyanzo vya karibu, umesababisha Fr. Kitima kuwa mmoja wa wapangaji wakuu wa mikakati ya kampeni za Lissu na hatua za kuipinga serikali.

Uthibitisho huu umetajwa kama "kuvuliwa nguo kwa kanisa," huku baadhi ya wadau wakidai kuwa hatua ya Lissu kufichua ushiriki wa Katibu wa TEC katika siasa za vyama imeweka wazi mgongano wa maadili unaohusiana na nafasi ya viongozi wa dini katika masuala ya kisiasa.

Uthibitisho huu umetajwa kama "kuvuliwa nguo kwa kanisa," huku baadhi ya wadau wakidai kuwa hatua ya Lissu kufichua ushiriki wa Katibu wa TEC katika siasa za vyama imeweka wazi mgongano wa maadili unaohusiana na nafasi ya viongozi wa dini katika masuala ya kisiasa.

Kanisa Katoliki linatakiwa kutoa tamko rasmi kufuatia kauli ya Lissu, ingawa mjadala mkubwa umeibuka mitandaoni, huku waumini na wadau wa siasa wanakosoa hatua hiyo kama kinyume na maadili ya kidini.

Tukio hili linaongeza mvutano kuhusu nafasi ya viongozi wa dini katika siasa za Tanzania.View attachment 3195839
Kitima kama mtanzania ana-haki ya kuchagua upande
 
Kanisa linatakiwa kuwa neutral, lisiwe na mlengo wowote wa kisiasa.

Hili suala la Kitima kuwa mpanga mikakati wa Chadema na hata kushiriki vikao vyao vya siri, linatia shaka sana na kupunguza heshima ya kanisa.

Nashauri Kanisa limuondoe katika nafasi hiyo ili heshima yake, japo ni kidogo, ibakie
 
Kanisa linatakiwa kuwa neutral, lisiwe na mlengo wowote wa kisiasa.

Hili suala la Kitima kuwa mpanga mikakati wa Chadema na hata kushiriki vikao vyao vya siri, linatia shaka sana na kupunguza heshima ya kanisa.

Nashauri Kanisa limuondoe katika nafasi hiyo ili heshima yake, japo ni kidogo, ibakie
Jina lako Chiembe, yaani kisukuma ni Kichembe, vile viazi vinavyokaushwa juani... sasa wewe sikushangai, badala ya kukaushwa Juani umekaushwa ubongo.

Unadhani kanisa katoliki ni pango la wahuni eeh. Hiyo ndio taasisi inayoongoza dunia.

Gademaralasta
 
Jina lako Chiembe, yaani kisukuma ni Kichembe, vile viazi vinavyokaushwa juani... sasa wewe sikushangai, badala ya kukaushwa Juani umekaushwa ubongo.

Unadhani kanisa katoliki ni pango la wahuni eeh. Hiyo ndio taasisi inayoongoza dunia.

Gademaralasta
Kitima atafukuzwa tu, subiri uone,ole mshamba wa ng'wamagigisi bhebhe
 
Kanisa linatakiwa kuwa neutral, lisiwe na mlengo wowote wa kisiasa.

Hili suala la Kitima kuwa mpanga mikakati wa Chadema na hata kushiriki vikao vyao vya siri, linatia shaka sana na kupunguza heshima ya kanisa.

Nashauri Kanisa limuondoe katika nafasi hiyo ili heshima yake, japo ni kidogo, ibakie

unajisumbua sanaa, katoliki sio kanisa hilo unalolifikiria moyoni mwako.
katoliki sio moto wala vuguvugu.
mungu alishalitapika zamani
 
Kanisa linatakiwa kuwa neutral, lisiwe na mlengo wowote wa kisiasa.

Hili suala la Kitima kuwa mpanga mikakati wa Chadema na hata kushiriki vikao vyao vya siri, linatia shaka sana na kupunguza heshima ya kanisa.

Nashauri Kanisa limuondoe katika nafasi hiyo ili heshima yake, japo ni kidogo, ibakie
Ila hao wachunga kondoo wakishiriki vikao vya ccm ni halali. Shame on you
 
Kanisa la Katoliki wengi wao ni wasomi pale na maamuzi yao sio ya kukurupuka au kuchukua mawazo kwa wahuni na wayafanyie kazi.
 
Back
Top Bottom