Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Acha kujitia upofu makusudi. Hivi ingekuwa Lipumba na Maalim Seif wameenda kushiriki vikao vya siri Msikiti wa Umar AlFarouq BAKWATA Kinondoni I ungechukulia poa?
Nyie jamaa ni wote huwa mnakuwa hamna akili? Kazi ya viongozi wa Dini na wasio wenye busara ni kupatanisha. Ningefurahi sana kama Maalim na Lipumba wangepatanishwa. Iwe na Sheikh au asiye. Ana Kheri anayepatanisha. Na Upatanisho huwa so wa Public. Watu wanakalishwa kila mmoja anaongea machungu yake.
 
Padri alimuomba Mbowe amuachie Lissu. Lissu akipewa tiketi ataingia ikulu asubuhi na mapema.
 
Padri alimuomba Mbowe amuachie Lissu. Lissu akipewa tiketi ataingia ikulu asubuhi na mapema.
Labda Ikulu ya nyumbani kwako! Mropokaji na msaliti wa nchi hawezi kura Rais wa JMT fullstop!!
 
Kama nyie tu mnaobadu sanamu!

Tunaijua NCHI hii kuwezi kutudanganya kitu! Udini ukihusu Uislam ila ukihusu ukafiri ni upatinishi!

Shenzy typ!
 
Kama nyie tu mnaobadu sanamu!

Tunaijua NCHI hii kuwezi kutudanganya kitu! Udini ukihusu Uislam ila ukihusu ukafiri ni upatinishi!

Shenzy typ!
Mnaabudu sanamu? Kwa nini? Ukiwa na akili unagundua kuwa upatanishi ni jambo jema. Wewe hupendi? Unataka wakatane mapanga? 😁
 
Ingawa video haioneshi kama Lissu kamtaja Kitima but let's assume ni yeye; hao wengine sijui kwanini Maulid Kitenge na Efm hawakua na interest ya kuwajua, kama ni Kitima, then anatembelea maagizo ya Bwana wake Yesu aliyesema, "Heri wapatanishi maana wataitwa WANA wa Mungu" Hongera sana Fr. Kitima or yeyote aliyehusika kuwakutanisha hawa watu 2.
 
Maaskofu watatu na Mufti walimuona FAM kabla ya kuachiliwa na kufutiwa mashtaka ya uhaini
 
Cha muhimu ni hoja zenye kujenga mustakabali mwema wa taifa zaidi ya dini, kutoka kijiji ki moja, katika, kanda, chama,.....
Hoja za kujenga taifa, zenye mashiko hatutakiwi kuhoji zinatoka kwa nani.
 
Acha kujitia upofu makusudi. Hivi ingekuwa Lipumba na Maalim Seif wameenda kushiriki vikao vya siri Msikiti wa Umar AlFarouq BAKWATA Kinondoni I ungechukulia poa?
Wazoee watanzania na hasa chamudomozzzz

They twist and turn like hell

Fr. Kitima is too biased
 
Lakini pia kama wanakemea uovu unaofanywa na viongozi serikalini kuna tatizo gani? Kwani kazi ya vyombo vya dini ni kusifia tu viongozi na serikali na siyo kukosoa pale wanapoona mambo hayaendi vizuri?
Na kuna uzi humu jana unasema Waziri amesikika akimtaka mwanae alitekwa arejeshwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…