Sasa si uchizi huo! Kama unaweza kulea mtoto wa mtu kwanini usizae wako sasa ulee kabisa!😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikianza kuzaa sizai mmoja,
Nataka watatu tu.
Ila napambana bila hata mtoto[emoji6]
Napambania sana watoto wa watu,kiasi kwamba unaweza dhani wangu wa kuwazaa.
Labda hawajampata mtu wa kupata nae mtoto.Sasa mwambie binti abebe mimba uone ila kwenda kwenye baby shower za wenzao wameulamba na kupiga mapicha ni balaa 😂😂😅 abebe mimba sasa!
Kutwa ni kubugia ma P2 kwa kwenda mbele wanaogopa kuwa wazazi!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 KakaJambazi hii mada sio ya kumwaga mboga, ugali wala chai. Hiyo itakuja siku nyingine....🙂Ila mi heading sijaielewa, kosa gani ulifanya? Hamkutumia kinga au umezaa na mume wa mtu?!
KabisaInatakiwa nawe uwe na mmoja ili upambane
Ungefafanua hapo kwenye "kufanya kosa" ili umtendee haki Malaika wa Mungu na kumwaibisha shetani.🤣🤣🤣🤣🤣🤣 KakaJambazi hii mada sio ya kumwaga mboga, ugali wala chai. Hiyo itakuja siku nyingine....🙂
Ila mume wa mtu hapana...unadhani siogopi kesi mie???🤔🤔
Karibu kwangu mtumishi mwenzangu.Wengine hata hizo janja hatuna[emoji16]
Sijui tunaingia kundi gani.
I hope sio single Maza.
Hahahahah sio rahisi kama una mentality ya “mwanaume lazma anihudumie” ila wapo wanawake ambao they have managed themselves and raised their kids vyema kabisa without their first guys. Yote ni kwa sababu they have independent kind of life.Labda hawajampata mtu wa kupata nae mtoto.
Basta si rahisi sana kuwa singo mama ujue
Yani hujui mtoto unampataje toka la 6 umefundisha form 3 ukafundishwa tena hujui tu mtoto anapatikanaje? 😂😂😂Mtoto natamani sana
Ila nampataje?ndio tatizo lipo hapo[emoji38].
Ndezi United!Wengine hata hizo janja hatuna[emoji16]
Sijui tunaingia kundi gani.
Kuna vitu vingi sana vya kuangalia katika malezi ya mtoto basta..Hahahahah sio rahisi kama una mentality ya “mwanaume lazma anihudumie” ila wapo wanawake ambao they have managed themselves and raised their kids vyema kabisa without their first guys. Yote ni kwa sababu they have independent kind of life.
Dunia inapoenda we will have alot of single mothers sababu ya utandawazi huu! Watu hawataki ku behave responsibly na ndio mana we will have alot of single mothers so kizuri ni kwa watoto wa kike kujiandaa tu!
Ni kichekesho ee🤣🤣Yani hujui mtoto unampataje toka la 6 umefundisha form 3 ukafundishwa tena hujui tu mtoto anapatikanaje? 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ndezi United!
Sio single mothers tu....hata single fathers!!Hahahahah sio rahisi kama una mentality ya “mwanaume lazma anihudumie” ila wapo wanawake ambao they have managed themselves and raised their kids vyema kabisa without their first guys. Yote ni kwa sababu they have independent kind of life.
Dunia inapoenda we will have alot of single mothers sababu ya utandawazi huu! Watu hawataki ku behave responsibly na ndio mana we will have alot of single mothers so kizuri ni kwa watoto wa kike kujiandaa tu!
Eeh watoto wako Curious sana kuna maswali ambayo faza of the nation angeweza yajibu ila mama inakuacha katika tafakuri nzito!Kuna vitu vingi sana vya kuangalia katika malezi ya mtoto basta..
Nafikiri kila kitu hutokea kwa sababu lakini trust me ningepewa nafasi ya kuchagua basi nisingechagua kuwa singo mama.
Hawa watoto wetu wanamaswali mno aiseh..kuna wakati vijana wanaweza kukuuliza swali ukajikuta unakuna kichwa una mjibu nini🙃