Kuna wakati kufanya kosa sio kosa....Happiest Birthday to my 1st love πŸ€—

Yes that’s my intention Lizzy. I am waiting.
πŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎ

Thanks BAK πŸ˜ŠπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎ Means a lot....

😁😁😁 Unataka kutuchorea portrait kwaajili ya birthday???
 
Hakuna baba asiye na umuhimu.

Baba ni muhimu sana nasisitiza zaidi hasa kwa mtoto wa kiume πŸ₯Ί
 
Hakuna baba asiye na umuhimu.

Baba ni muhimu sana nasisitiza zaidi hasa kwa mtoto wa kiume πŸ₯Ί
Yani akiwepo mtu tu wa kutoa kauli we acha hio! Wewe usirudie hilo ntakutandika sasa hivi. Kwanini hujafika shule siku 2, makwenzi koh koh!

Mtoto anakuwa na nidhamu maana anajua mshua hana masihara. Ila kwa mama mtoto wa kiume akiwa mtukutu tu basi ujue ana haribika! Japo kuna watoto wanazaliwa wana busara toka wadogo ila ukipata toto bange bange utaisoma namba!
 
Asante..na wewe utafute mtoto sasa umri unaenda hivyoo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mweeee,ngoja tufanye jambo na shem darling wako,sijui ataniweza[emoji16][emoji13]
 
Heri ya siku ya kuzaliwa kwa dogo. Hongera kwa kulea.

It's a good thing that you accepted that you were irresponsible but decided to be a responsible parent.

I wish you all, the best of luck.
 
ukimwaga ugali na mboga no worries!

ukimwaga chai tafadhali ni-tag. Chai sio ya kukosa!
 
Happy Birthday to your Lil Man beautiful lovely Lizzy.

We do our best and God does the rest.

Waiting eagerly for your threads, tag me in each of them.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…