Kuna wanawake wana nguvu sana; Marilyn Monroe aliwezaje kuwachanganya JFK & RFK mtu na kaka yake kwa wakati mmoja

Nguvu gani Sasa hapo,kwani wee hujawahi kula mtu na mdogo wake au mama na mwana?
 
Sana mkuu, kuna documentary ya Netflix Ila bado sijaiangalia ambayo inaongelea mazingira ya kifo chake

Marlyn ndio socialite mkubwa of all time na hawa kina Kim K, sepetu na wengine wote wanafuata tu footstep zake Ila bado hawajafikia level yake. Imagine mchepuko unaitwa kumuimbia Rais "happy birthday" Kwenye party yake na bado kwenye shughuli zake anaitwa kutoa salamu.

Ila kama ulivyosema, yawezekana CIA waliona wamuondoe
 
Alikuwa na uzuri wa asili.
Hapana mkuu, nilifuatilia documentary yake wanasema ni moja ya celebrities wa mwanzo kujua kutumia power of make up kujiongezea uzuri (angalia iconic pics zote yupo na make up), hata hivyo bado kuna fununu pia alifanya cosmetic surgery za "enzi hizo"..

Kingine wengi hawafahamu kuwa alilelewa kwa single parent tena katika mazingira magumu kiasi na pia alikuwa ni shy girl kwa hiyo, wanaume wengi walikuwa wanamuogopa kwa uzuri na umaarufu aliokuwa nao Ila wakimkaribia alikuwa submissive sana, kwa hiyo hadi hapo unaelewa kwa nini aliwachanganya..

Ila yote kwa yote ni moja ya watu waliopata exceptional fame lakini hadi leo watu hawaelewi ilikuwaje 🤣🤣, waswahili tunasema ni nyota
 
Asante sana mkuu kwa detailed info.
 
The Mystery of Marilyn Monroe: The unheard Tapes

Mimi huwa namfananisha na Maddona na Sharon Stone
 
Wanasema alikuwa anaogea maji yenye barafu ili ku-keep ujana asizeeke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…