fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
- Thread starter
- #41
ok asante kunipa ujuzi mpyaRedio inamatukio ya haraka zaidi kulikon tv, we wakati unatazama move ya mpira yeye kashashangilia tayar.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ok asante kunipa ujuzi mpyaRedio inamatukio ya haraka zaidi kulikon tv, we wakati unatazama move ya mpira yeye kashashangilia tayar.
ok sawaUkiingia taifa, KMC.AZAM complex etc, watu wanavaa headphones ili kuwajua wachezaji wanapotajwa majina na watangazaji wa redio
ok,asante kwa kuipanua hoja hii kwamba redio pia husikilzwa kwakuwa watu wanataka vionjo fulani fulanisijui ni kwanini umewaza hivi ila kujaa kwa television na mabanda umiza haiezi kuwa sababu ya kujiuliza pia why watu wanasikiliza mpira kwa redio leo.
Watu tumetofautiana sana kuanzia tabia,mazoea,mood,kazi,vipato.........
sorry mkuu hata nyumbani nikiamua kusikiliza mpira kwa redio kutokana na mood yangu ya siku iyo bado Kuna mtu atakuja kunishangaa kwamba uyu jamaa vipi matelevisio yapo kibao ila jamaa anasikiliza mpira kwa redio??🤔Kwahiyo ukiwa safarini na gari yako upo njiani utaangalia TV?
ok sawa kabisa,ila wewe redio unaisikiliza kwa vionjo vingine na utashi wakosorry mkuu hata nyumbani nikiamua kusikiliza mpira kwa redio kutokana na mood yangu ya siku iyo bado Kuna mtu atakuja kunishangaa kwamba uyu jamaa vipi matelevisio yapo kibao ila jamaa anasikiliza mpira kwa redio??🤔
inawezekana ikawa ni vionjo pia au hata mood ya mtu kwa iyo sikuok,asante kwa kuipanua hoja hii kwamba redio pia husikilzwa kwakuwa watu wanataka vionjo fulani fulani
utashi kama umeitumia kwa kumaanisha akili jibu ni ndiyo nasikiliza kwa utashi wanguok sawa kabisa,ila wewe redio unaisikiliza kwa vionjo vingine na utashi wako
Kawaida tu, ni sawa na kusoma gazeti wakati smartphone unayo???Tbctaifa wanatangaza mpira wa ligi kuu na ile ya championship,hivi kuna watu bado,wanasikiliza mpira kupitia redio wakati Tv zimetapakaa kila kona?
Tbctaifa wanatangaza mpira wa ligi kuu na ile ya championship,hivi kuna watu bado,wanasikiliza mpira kupitia redio wakati Tv zimetapakaa kila kona?
Kwani kutizama mechi kwenye TV siyo utashi? Kusikiliza mechi kupitia radio kuna sababu nyingi, wala siyo issue ya kumshangaa msikilizaji. Kuna wengine TV wanazo ila kin'gamuzi kimekata, muda huo mfukoni hana kitu na hapendi kelele za vibandani lazima atafuatilia mechi radioni hata kupitia simu yake.utashi kama umeitumia kwa kumaanisha akili jibu ni ndiyo nasikiliza kwa utashi wangu
Mkikaa hapo mitaa ya msimbazi na jangwani mnafikiri nchi yote internet imefika viumbe dhaifu nyie. Maana ili uweze kuona mpira wa picha mjongeo ni either utumie tv au app za simu ambazo zinataka internet.Tbctaifa wanatangaza mpira wa ligi kuu na ile ya championship,hivi kuna watu bado,wanasikiliza mpira kupitia redio wakati Tv zimetapakaa kila kona?
Ukiwa unachunga ng'ombe kule kijijini utafanyaje?Tbctaifa wanatangaza mpira wa ligi kuu na ile ya championship,hivi kuna watu bado,wanasikiliza mpira kupitia redio wakati Tv zimetapakaa kila kona?
upo sahihi mkuu.Kwani kutizama mechi kwenye TV siyo utashi? Kusikiliza mechi kupitia radio kuna sababu nyingi, wala siyo issue ya kumshangaa msikilizaji. Kuna wengine TV wanazo ila kin'gamuzi kimekata, muda huo mfukoni hana kitu na hapendi kelele za vibandani lazima atafuatilia mechi radioni hata kupitia simu yake.
Shida ni uwezo wako wa kuelewa hoja,mimi nimetembea nchi hiii kika mkoa na vijiji vingi tu,sasa unapovimbiwa mihogo ya juzi unavuka vuupu na kuandika,tafakari kwanzaMkikaa hapo mitaa ya msimbazi na jangwani mnafikiri nchi yote internet imefika viumbe dhaifu nyie. Maana ili uweze kuona mpira wa picha mjongeo ni either utumie tv au app za simu ambazo zinataka internet.
Wewe ni muhaya? Taarifa ya habari unaenda kusikilizia studio ya chanel husika?tatizo sio wewe,ni makuzi uliokulia,hivyo nakuangalia tu
Pambafff...unamsema mwenzio kuhusu mihogo? Wewe unachambia asali? Jinga kabisaShida ni uwezo wako wa kuelewa hoja,mimi nimetembea nchi hiii kika mkoa na vijiji vingi tu,sasa unapovimbiwa mihogo ya juzi unavuka vuupu na kuandika,tafakari kwanza