Kuoa mwanamke bikira hakuwezi kuifanya ndoa yako kuwa bora

Wanawake wote walikuwa bikra lkn 89% ni janga la dunia
 
Nakazia...mbumbumbu
 
Siku hizi ukipata mwenye tabia njema shukuru Mungu, mambo ya bikra ni bahati nasibu kama ilivyo shape na rangi.

Kuna demu ana watoto 3 lakini mume aliemuoa kamkuta na bikra.
Upo sahihi kijana hii na ushahidi ninao mwenyewe kuna mdada niliwahikudate naye alikuwa kipindi ndoa yake imevunjika na huyo mumewe aliyembikiri aliolewa wakati amemaliza form iv
 
Mimi nilioa mke bikra mpaka leo sijawahi kuona chembe chembe za kutoka nje, mke bikra ana uzuri wake asikuambie mtu.
utaonaje km ana akil kubwa? kwan we ujawah kucheat tangu umeoa? ye alijua? izo siri za mtungi wenye ndoa wanalika sana tu ten jiran jiran umo umo na wa2 mnaoeshmian nao sem kwa akil kubwa tu
 
nilitaka niwatetee lakini nikikumbuka nilivyoitwa mchimba chumvi enzi nabeba tofali sina hamu. mpambane na hali zenu. sisi mnatubagua na sisi wacha tuje na masharti na vigezo kuzingatiwa
Ulitaka uwatete kina nani?
 
utaonaje km ana akil kubwa? kwan we ujawah kucheat tangu umeoa? ye alijua? izo siri za mtungi wenye ndoa wanalika sana tu ten jiran jiran umo umo na wa2 mnaoeshmian nao sem kwa akil kubwa tu
Hayo ni mawazo yako wewe, mimi nakuambia ninao ona kwangu, buana ni cheat na tafuta nini tena wakati naridhika 95%
 
Wewe utakuwa umeishazibuliwa mtaro ndo maana hujui thamani ya bikra!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…