Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Hii ni kwa mujibu ya uoni wangu hafifu,kuoa Mke mmoja ilikuwa ni aina Fulani ya "uzazi wa mpango duniani"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni tamaa tu, penzi haligawanyika.Na hio ndio nature ya wanaume tulivyo..sio mwanamke akibleed na ww uko likizo..najua wafia dini watakuja na hoja zao dhaifu.
Mmmh kweli?Hiyo ni tamaa tu,penzi haligawanyika.
Sio tamaa mkuu ni nature inatutaka ivyo wanaume,,, na kwa mwanaume penzi linagawanyika vizuri tu kwa wanawake wanne sio mbaya uzuri ni wote tu waelewane maisha yanakua mazuri sana mkuu.Hiyo ni tamaa tu,penzi haligawanyika.
Lazima kuna mmoja anakuwa moyoni zaidi ila kwa wengine zinakuwa tamaa za Mzee fisiSio tamaa mkuu ni nature inatutaka ivyo wanaume,,, na kwa mwanaume penzi linagawanyika vizuri tu kwa wanawake wanne sio mbaya uzuri ni wote tu waelewane maisha yanakua mazuri sana mkuu.
Hapana Mkuu wanaume tunajua kugawanya upendo wa dhati kwa wanawake ata wanne mbon kawaida sana tu,,, ila kama wanakua michepuko iyo nd tamaa ila kama unaoa m noana ni sawa ingawa RC tunanyimwa iyo haki ila ikinipendeza nitaoa wawili lakini kwa makubaliano na mke wa Kwanza and i know ntahandle wote vizur tu.Lazima kuna mmoja anakuwa moyoni zaidi ila kwa wengine zinakuwa tamaa za Mzee fisi
Hiyo nyingine sasa kila siku wababa wanabaka watoto majumbani na kulawiti huku wanawake zao nyumbani hapo hapo, kuoa au kutokuoa sio sababu yakulawiti watoto wa watu ni tabia tu kama vile mendeKuna PUMBA wengine eti? hawaoi kabisa shida yao sijui ni nini? Nautasikia wamelawiti watoto huko sasa si waoe tu .. mpaka wanalawiti watoto kwa nini? Sasa
😂😂😂 Kila la heri Mkuu utimize hitaji la moyo wako,Natarajia kuongeza mchepuko wa sita baraka zenu wakuu
Hiyo na kataa mtu hawezi sema ila anakuwepo anayemkuna zaidiHapana Mkuu wanaume tunajua kugawanya upendo wa dhati kwa wanawake ata wanne mbon kawaida sana tu,,, ila kama wanakua michepuko iyo nd tamaa ila kama unaoa m noana ni sawa ingawa RC tunanyimwa iyo haki ila ikinipendeza nitaoa wawili lakini kwa makubaliano na mke wa Kwanza and i know ntahandle wote vizur tu.
Yaaah ni sahihi Mkuu iyo ni hulka ya mtu binafsi ata akiwa ameoa anaweza kulawiti ata mwanae.Hiyo nyingine sasa kila siku wababa wanabaka watoto majumbani na kulawiti huku wanawake zao nyumbani hapo hapo, kuoa au kutokuoa sio sababu yakulawiti watoto wa watu ni tabia tu kama vile membe
Mwanamume hatoi penzi, ye kazi kutoa mashine tuuuu...Hiyo ni tamaa tu,penzi haligawanyika.
Mfuko wako tu hapo nikupasua tu wallet kila raheri.Natarajia kuongeza mchepuko wa sita baraka zenu wakuu
Ndiyo kabisa eti kusema wale wasio oa hasa mafather wetu wakiroho nakataa kabisa.Yaaah ni sahihi Mkuu iyo ni hulka ya mtu binafsi ata akiwa ameoa anaweza kulawiti ata mwanae.