Kuoa wake wawili mpaka wanne kuna mantiki zaidi kuliko kuoa mke mmoja

Kuoa wake wawili mpaka wanne kuna mantiki zaidi kuliko kuoa mke mmoja

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Hii ni kwa mujibu ya uoni wangu hafifu,kuoa Mke mmoja ilikuwa ni aina Fulani ya "uzazi wa mpango duniani"

FB_IMG_16434455836202120.jpg


FB_IMG_16434455911686260.jpg


FB_IMG_16434456349418249.jpg


FB_IMG_16434456541506678.jpg


FB_IMG_16434457296422916.jpg


FB_IMG_16434456594662937.jpg


FB_IMG_16434457462962045.jpg


FB_IMG_16434457371750884.jpg
 
Kuna PUMBA wengine eti? hawaoi kabisa shida yao sijui ni nini? Nautasikia wamelawiti watoto huko sasa si waoe tu .. mpaka wanalawiti watoto kwa nini? Sasa
 
Lazima kuna mmoja anakuwa moyoni zaidi ila kwa wengine zinakuwa tamaa za Mzee fisi
Hapana Mkuu wanaume tunajua kugawanya upendo wa dhati kwa wanawake ata wanne mbon kawaida sana tu,,, ila kama wanakua michepuko iyo nd tamaa ila kama unaoa m noana ni sawa ingawa RC tunanyimwa iyo haki ila ikinipendeza nitaoa wawili lakini kwa makubaliano na mke wa Kwanza and i know ntahandle wote vizur tu.
 
Kuna PUMBA wengine eti? hawaoi kabisa shida yao sijui ni nini? Nautasikia wamelawiti watoto huko sasa si waoe tu .. mpaka wanalawiti watoto kwa nini? Sasa
Hiyo nyingine sasa kila siku wababa wanabaka watoto majumbani na kulawiti huku wanawake zao nyumbani hapo hapo, kuoa au kutokuoa sio sababu yakulawiti watoto wa watu ni tabia tu kama vile mende
 
Hapana Mkuu wanaume tunajua kugawanya upendo wa dhati kwa wanawake ata wanne mbon kawaida sana tu,,, ila kama wanakua michepuko iyo nd tamaa ila kama unaoa m noana ni sawa ingawa RC tunanyimwa iyo haki ila ikinipendeza nitaoa wawili lakini kwa makubaliano na mke wa Kwanza and i know ntahandle wote vizur tu.
Hiyo na kataa mtu hawezi sema ila anakuwepo anayemkuna zaidi
 
Hiyo nyingine sasa kila siku wababa wanabaka watoto majumbani na kulawiti huku wanawake zao nyumbani hapo hapo, kuoa au kutokuoa sio sababu yakulawiti watoto wa watu ni tabia tu kama vile membe
Yaaah ni sahihi Mkuu iyo ni hulka ya mtu binafsi ata akiwa ameoa anaweza kulawiti ata mwanae.
 
Back
Top Bottom