Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Bi mkubwa huyo.Mama Zuma aliyevaa miwani mbona Kama kanunaa[emoji16].
Hyo NI Sunnah ya mtume..
Mimi Nina watatu japo sijaoa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bi mkubwa huyo.Mama Zuma aliyevaa miwani mbona Kama kanunaa[emoji16].
Hyo NI Sunnah ya mtume..
Mimi Nina watatu japo sijaoa.
Roho mbaya za wake wakubwa ni shida huwa na viburi na kutaka kukudhibiti huku huduma nyeti za ndoa zikiwa mbovu.Hakuna chochote zaidi ya ubinafsi wa sisi wanaume.
Sina hamu na hamu na mauzauza yanayoendelea kwenye familia mbili za ndugu yangu mmoja. Mke mkubwa na mke mdogo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mama Zuma aliyevaa miwani mbona Kama kanunaa[emoji16].
Hyo NI Sunnah ya mtume..
Mimi Nina watatu japo sijaoa.
Ukiitwa mke wa fulani yatosha,Penzi haligawanyiki kuna mmoja anayependwa zaidi ya wengine!
Huo ubabe wala si mapenziUkiitwa mke wa fulani yatosha,
hayo mengine atajua mwenyewe.
Kukubali kunioa ni mapenzi hayo
raha sana, ni vile watu hawajui tuu, ni mwendo wa kujipigia three some tuu.Hii ni kwa mujibu ya uoni wangu hafifu,kuoa Mke mmoja ilikuwa ni aina Fulani ya "uzazi wa mpango duniani"
View attachment 2099400
View attachment 2099404
View attachment 2099405
View attachment 2099407
View attachment 2099408
View attachment 2099410
View attachment 2099411
View attachment 2099412
Sawa kabisaPenzi haligawanyiki kuna mmoja anayependwa zaidi ya wengine!
hata wanne bado ni wachache. Hiyo ndio iwe kiwango cha chini.
[emoji3][emoji3][emoji3] upo sawa nasie tupange safu!Umenena mkuu,waturuhusu nasi wanawake kutest radha mbalimbali.
Hivi wote wanao olewa wanapendwa eeee nilikuwa sijuiKukubali kunioa ni mapenzi hayo
Yanini kujiuliza napendwa au sipendwi wakati kashakuoa.
Ngoja tuangalie kama itaandikwa kwenye katiba mpya
Kwahiyo mke akishakuwa mke mkubwa anakuwa na roho mbaya?Roho mbaya za wake wakubwa ni shida huwa na viburi na kutaka kukudhibiti huku huduma nyeti za ndoa zikiwa mbovu.
Haa haa haa [emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja tuangalie kama itaandikwa kwenye katiba mpya