mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
Unawezaje muoa mtu ambaye humpendi????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawezaje muoa mtu ambaye humpendi????
Umeolewa bibie ?Kukubali kunioa ni mapenzi hayo
Yanini kujiuliza napendwa au sipendwi wakati kashakuoa.
Sijaolewa
Siwezi kuolewa na muumin wa kula tunda kimasikhara
Sasa nikioa mambo hayo si naweka kando nakuwa baba wa familiaSiwezi kuolewa na muumin wa kula tunda kimasikhara
Yaan wewe,endelea kula kimasikhara.Sasa nikioa mambo hayo si naweka kando nakuwa baba wa familia
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sitaki kula kimasihara tena bibie ukumbuki kwenye ule uzi nilisema nimebadilikaYaan wewe,endelea kula kimasikhara.
Watakwambia mzinzi wwMama Zuma aliyevaa miwani mbona Kama kanunaa[emoji16].
Hyo NI Sunnah ya mtume..
Mimi Nina watatu japo sijaoa.
Wanawake wanaopenda hivyo ni wachache sana...
Kama ni kiongozi -popote pale- lazima kugawa mapenzi kwa wote waliopo pamoja nawe.Hiyo ni tamaa tu,penzi haligawanyika.
Mimi ni nani hata nipingane na mitume ya Mungu.
Uwe unajaribu kufikiria hata kwa bahati mbaya.Hiyo ni tamaa tu,penzi haligawanyika.
Kwani nani alikwambia msingi wa mitala ni kugawa penzi sawa kwa wote ? Yaani huwezi kuwapenda wake zako upendo wa sawa ila lazima tuwapende wake zetu.Penzi haligawanyiki kuna mmoja anayependwa zaidi ya wengine!
Hii si kweli sisi wanaume tunaweza tukawapenda wote na nyote mkawa moyoni ila hatuwezi kuwapenda sawa wote sababu mnatofautiana na upendo huendana na anae pendwa. Wanawake mnatofautiana sana.Lazima kuna mmoja anakuwa moyoni zaidi ila kwa wengine zinakuwa tamaa za Mzee fisi
Yaani unakataa penzi haligawanyiki muda huo unajua fika watu wanatofautiana.
Kumbe Zuma ana wake 4, sikuwahi kufahamuJacob Zuma yupo vizuri
Zuma habari nyingine. Zile dola alizoambiwa arudishe naona aliiba ili amudu gharama za kulea wake zakeKumbe Zuma ana wake 4, sikuwahi kufahamu