Mczigga
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 722
- 1,272
Hapana mkuu kama ukioa kwa tamaa ya kitu flani ndio unaweza ukashindw kubalance upendo kwa wake zako fauka na hayo ni kawaida kabisa MkuuHiyo na kataa mtu hawezi sema ila anakuwepo anayemkuna zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuu kama ukioa kwa tamaa ya kitu flani ndio unaweza ukashindw kubalance upendo kwa wake zako fauka na hayo ni kawaida kabisa MkuuHiyo na kataa mtu hawezi sema ila anakuwepo anayemkuna zaidi
Hiyo wanne iliwekwa kama limit na sio kwamba ndiyo utatosheka.hata wanne bado ni wachache. Hiyo ndio iwe kiwango cha chini.
Kubalance unaweza lakini moyoni yupo mmoja ambaye ni namba moja kwakoHapana mkuu kama ukioa kwa tamaa ya kitu flani ndio unaweza ukashindw kubalance upendo kwa wake zako fauka na hayo ni kawaida kabisa Mkuu
Hapo sawa,,,,,,,,,wenye uwezo hata wa kuwa na ishirini ni wao tuHiyo wanne iliwekwa kama limit na sio kwamba ndiyo utatosheka.
Nature inasema mwanamke hawezi kugawa upendo,(ni lazima ataelemea upande mmoja) lakini sisi wanaume tuna uwezo huo!,note that!Hiyo ni tamaa tu,penzi haligawanyika.
Hapana mkuu yan hadi moyoni wote wanakua sawa kabisa iyo tunaweza wanaume ila wanawake hawawezi nd nature ilivyo mkuuKubalance unaweza lakini moyoni yupo mmoja ambaye ni namba moja kwako
Hapana kuwa mkweli tu oa tu wanne lakini kuna mmoja mmmmHapana mkuu yan hadi moyoni wote wanakua sawa kabisa iyo tunaweza wanaume ila wanawake hawawezi nd nature ilivyo mkuu
Barbalic religionHii ni kwa mujibu ya uoni wangu hafifu,kuoa Mke mmoja ilikuwa ni aina Fulani ya "uzazi wa mpango duniani"
View attachment 2099400
View attachment 2099404
View attachment 2099405
View attachment 2099407
View attachment 2099408
View attachment 2099410
View attachment 2099411
View attachment 2099412
Kwani nilazima kuoa wake wengi ?[emoji16]unakuta jamaa halitaki kuoa wake wengi na linashupaza shingo kweli kupinga, huku lina mke na vimada nane permanent bado wale wa kupiga na kuacha....
Vijeba ndio vikoje[emoji16][emoji16]Vijana oeni mapambo ya dunia, mle raha.. tena unaoa type uzitakazo... misambwanda, vimodo, waliokatika viuno, vijeba.... wewe tu..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hata wanne bado ni wachache. Hiyo ndio iwe kiwango cha chini.
...Mama Zuma alitaka akate keki peke yake.Mama Zuma aliyevaa miwani mbona Kama kanunaa[emoji16].
Hyo NI Sunnah ya mtume..
Mimi Nina watatu japo sijaoa.
Hakuna chochote zaidi ya ubinafsi wa sisi wanaume.Hii ni kwa mujibu ya uoni wangu hafifu,kuoa Mke mmoja ilikuwa ni aina Fulani ya "uzazi wa mpango duniani"
View attachment 2099400
View attachment 2099404
View attachment 2099405
View attachment 2099407
View attachment 2099408
View attachment 2099410
View attachment 2099411
View attachment 2099412