Kuona Maiti ikizikwa na Manispaa kumenitafakarisha sana maisha yetu hapa duniani

Umeniwahi nilitaka kusema hivyo hivyo ilipaswa aambatane nao mpaka huko wanapowafukia
 
Ulipotoa Mwenyez Mungu atarejesha...humanity!
 
Sijui kama kuna sheria ya nchi ya ya kidini inayosema maiti izikwe na sanda, kwenye jeneza na shimo moja kila maiti.

Wahindi huzika kwa kuchoma moto ambavyo kwako wewe sio sahihi, kuna wazungu huchoma moto mwili na kuzika mabaki sehemu tofauti, wengine huchoma na majivu kuyapeperusha hewani na wengine majini. Sasa sijui imani yako inasemaje ambavyo hao wengine hawajulikani wana imani gani.

Kwangu mimi haina mantiki, nikifa nikazikwa kwenye sanduku la dhahabu au mkeka sitajua
 
Pole.
Lakini haijalishi umezikwaje kama mtu akifa ameshakufa. Hizo taratibu ni kwaajili yetu sisi tuliobaki...kujifariji tu lakini haina maana yoyote kwa marehemu.
Ahsante ma'am!
Ni kweli hazina maana kwa marehemu lakini kwa sisi ndugu tuliofiwa ndio zinatufariji kwamba angalau ndugu yetu yupo salama kutokana na kile tunachoamini/imani yetu.
Inauma sana nduguyo akizikwa kama mzoga!
Sisi ni binaadamu thamani yetu haiishii tunapokufa
 
Mkiwa vitani comrade akafa si lazima mbebe mwili kurudisha nyumbani kama logistics haziruhusu. Yani tuhangaike kubeba majeruhi kutoka frontline kisha tuhangaike kubeba miili ya waliokufa?
Kuna mataifa huwa hawaachi maiti zao tena wana vikosi maalumu vya kufanya hayo yaani kuhakikisha wanarudishwa wafu wao mf.Israel, hata USA..

Kama hakuna ceasefire ya kuchukua deceased mnachukua dogtags na vitambulisho ila miili mnazika ukouko frontline.
Tumeshuhudia hili huko Ukraine kwa mamia ya Warusi waliozikwa huko...

Upo sahihi lakini, waliokufa hawana fungu kwa walio hai.
 
No I don't believe in it sir. Why??
Then why do u say "living in africa is ur punishment,a hell from your past life (meaning that u were living befor n now u r living again to pay for ur previous life?.")
 
Pole sana na hongera sana.
Ila hili neno la mwisho kila topc linaniudhi mimi hata sielewi kwa nini!
Eti TUNACHOKIJUA.
 
Then why do u say "living in africa is ur punishment,a hell from your past life (meaning that u were living befor n now u r living again to pay for ur previous life?.")
I don't believe in incarnation but I do in Afterlife.
Well my pitch is pinpointed to the logic that if there's is hell and heaven when we die then Africa is our hell.
 
Acha kuamini umizimu.
Mtu akifa amekufa. Umzike usimzike hakuna kinachoongezeka wala Kupungua. Yaani workdone is equal to Zero.
Kwa kifupi hakuna ulichofanya.
Hiyo pesa uliyonunulia majeneza ungeenda kuwasaidia wagonjwa kama ilivyodesturi yako.

Lakini kusaidia miili ya wafu tena usiyoijua ni kutokuwa na Uelewa wa mambo kuhusu ulimwengu WA rohoni
 
Lakini kusaidia miili ya wafu tena usiyoijua ni kutokuwa na Uelewa wa mambo kuhusu ulimwengu WA rohoni
Imani yako juu ya mambo hayo ya rohoni tunatofautiana katika mapokeo.

Ni wewe kuamini unachokiamini nami niamini kile ninachokiamini. Siku mama yako akifariki, simjui ila nikimkuta katika hali ya aibu, nitamsitiri.

Sifanyi kwa ajili ya maiti au mtu yeyote. Nafanya kwa ajili ya nafsi yangu mwenyewe. Amani ya moyo wangu.
 
Una bwabwaja tu mkiamka mswaki kwanza
 
Sio kwa maana ya kuwa rude ama vip ila nachoamini mm ni bora kuwasaidia walio hai cos hakuna ibada wala baraka kwa kuwatendea mema waliotangulia,Najua hawakufanya kwa uwazi ila we uliona baada ya kupata view flan..

Mwisho;Ndugu tuwe responsible na miili ya marehemu wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…