Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
Soma taratibu Mkuu utanielewa...nimeandika virusi vya Corona vinaathiri kinga ya mwili kama ukimwi unavyoathiri pia (this is the core).Ni Kwa vipi Stress zinachangia?
Na Stress zenyewe ni zipi? Za Uchimi,kukosa kazi?...
Sehemu mbali mbali Duniani kumezuka mijadala ya watu wengi sana wakijadili tatizo la upotevu au ukosefu wa uwezo wa kunusa na kuhisi ladha ya chakula( Loss of taste and smell)
Kwa hapa Tanzania mimi ni mmoja wao na kuna rafiki yangu ni Dkt amenambia amekumbana na kesi nyingi hivi karibuni za wagonjwa wengi kulalamikia tatizo hilo...
Me bado pia, na ladha ya chakula imeanza kupotea ni stress sasaMe nanusa kitunguu maji, muda wote nipo nacho,
Siku ya 5 sasa leo, mambo bado
Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
Nimejifunza ngoj nilishughulikieVitunguu swaumu, tangawizi, castor oil, malimao, asali, apple cider vinega n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu wangu mbona hatariMpaka sasa watu milioni 2 duniani kote kwa wiki 3 hizi wameripoti hili tatizo,
Kuna kitu hakipo sawa kwenye hewa tunayovuta.
Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
Mkuu vipi hiyo hali imeisha? if yes ulitumia njia gani?Sehemu mbali mbali Duniani kumezuka mijadala ya watu wengi sana wakijadili tatizo la upotevu au ukosefu wa uwezo wa kunusa na kuhisi ladha ya chakula( Loss of taste and smell)
Kwa hapa Tanzania mimi ni mmoja wao na kuna rafiki yangu ni Dkt amenambia amekumbana na kesi nyingi hivi karibuni za wagonjwa wengi kulalamikia tatizo hilo...
Duuh hi hatr sasaMe nanusa kitunguu maji, muda wote nipo nacho,
Siku ya 5 sasa leo, mambo bado
Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
Mkuu nimepiga kvant jana,siisikii radha kabisa kwenye ulimi,ila kwenye koo unaisikia.Kwahiyo hata radha ya konyagi mtu hauhisi..??
Kama ni hivyo basi mwezi January niliugua corona.
Ukiachana na hii clip, soma comments za wachangiaji utaelewa wanachoongelea.
Tatizo ni kubwa mno!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hospital uliambiwa nini?Mkuu STUNTER unaendeaje hv sasa? Mimi hali bado ni ile ile na mda huu nipo njiani kuelekea hospitali. Na vyakula vya kuboost uwezo wa sense ni kama vipi?
Hongera mkuu STUNTER kwa kufikisha 80%. Unaweza kushea namna ulivofanya mchanganyiko wake? Naamini itatusaidia wengi.Vitunguu swaumu, tangawizi, castor oil, malimao, asali, apple cider vinega n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
Waliniambia katika list ya dalili hii haimo, kwa io walinipa dawa ya mafua, kifua na aleji nitumie nione itakuwaje.
Please, self Isolate... likely ni Corona.. symptoms zinavyokuja huwa hazina formula.. kama umetembelea areas zenye local transmission, especially Europe na una flu like symptoms.. Isolate yourself to protect your loved ones.Kama ni hivyo WAKUU TUMEKWISHA...Mimi Nina mwezi na nusu sasa tangu nirudi NYUMBANI toka FRANCE...nilipotoka sijapimwa chochote,,, na hata hapa AIRPORT HAKUNA NILICHOPIMWA..kibaya zaidi siku nipo NJIANI TRANSIT ADDIS ABABA ,,,NILIJISIKIA VIBAYA SN,,BAADAE HALI IKARUDI KAWAIDA,,,lakini sasa nimepoteza hamu ya kula na Nina MAFUA yasiyokwisha,,,SIJAJUWA TATIZO NINI...
So now unaendeleaje?Waliniambia katika list ya dalili hii haimo, kwa io walinipa dawa ya mafua, kifua na aleji nitumie nione itakuwaje.
Shukran mkuuPlease, self Isolate... likely ni Corona.. symptoms zinavyokuja huwa hazina formula.. kama umetembelea areas zenye local transmission, especially Europe na una flu like symptoms.. Isolate yourself to protect your loved ones..
Jitibu dalili: maji ya uvugu yenye chumvi kusafisha koo.. Kula vizuri, tumia dawa za mafua(anthistamine)...
Bado napambana mkuu. Nimerecover kama 30% hivi.
Jamani tupeane taarifa mimi Leo siku ya 5 nimepoteza uwezo wa kunusa na taste.Mkuu STUNTER unaendeaje hv sasa? Mimi hali bado ni ile ile na mda huu nipo njiani kuelekea hospitali. Na vyakula vya kuboost uwezo wa sense ni kama vipi?
Mimi siku ya 5 Leo sisikii harufu yoyote na sina mafua Wala kikohoziMmmh hii shida kumbe sio mimi peke yangu, ila namshukuru Mungu leo nimeanza kuhisi baadhi ya vitu kwa mbali na ladha ya vyakula.
Ila kinachonishangaza nilipoteza ladha na kuhisi harufu japo sikuwa na mafua makali sana, nilikuwa napumua kawaida tu . Kitu kilichonisaidia mpaka mda huu ni Malio na tangawizi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app