Kupoteza uwezo wa kunusa yaweza kuwa/ni dalili za mwazo za COVID19

Huyo ni wa kumsamehe tu , huwa analazimika kuchagia hata pasipostahili, ilimradi tu amuambatanishe na mchuchu wake ,!

honestly jamaa ni mmoja wa watu wanaonifanya niamini kuwa huenda limbwata lipo.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16] mkuu, huko mimi tena sipo
 
Siyo kweli! It is normal kupoteza kunusa, kuonja unapokuwa na mafua... hivi you can not associate it with Corona that much simple! Of course ukiona hivyo n vema kuchukua tahadhali! lkn siyo dalili specifically for corona
Mkuu nimejaribu kugugo ni kweli inasemekana ni dalili mojawapo japo haijathibitishwa. Ukiwa na mafua unakuwa uwezo wa kunusa unapungua ndio lakini sio unapotea kabisa na kadri mafua yanavyopungua unakuwa unanusa kama kawaida, hii ni tofauti kabisa...mimi mafua yamepona lakini bado siwezi kusikia harufu
 
Jamani tusisahau tabia ya mafua. Ukiwa na mafua unakosa kunusa, kuonja, homa, kukosa nguvu mwilini, kuumwa na kichwa, kukosa hamu ya kula (because you can not smell) muda mwingine hata masikio yanakuwa yanaunguruma.Actually, hata kupumua inakuwaga shida kwa mbali! Unasikia kifua kizito kidogo. Ni dalili za mafua miaka nenda miaka rudi!

Hapa kwangu wote tulikuwa na hali hiyo lkn we are now OK, tumetumia dawa za siku zote kabla ya ujio wa corona, maana tulipo corona bado kuenea na hivyo hatukuwa na sababu ya kuwa na wasiwasi. Ndugu yangu Dar had the same problem lkn yuko OK now na familia nzima haikuambukizwa mafua. Hivyo tunaweza kusema dalili za common colds ni sawa na za corona!
 
Hata mimi sijasema ni corona, nimesema ni dalili mojawapo ya korona. Dalili mojawapo ya VVU ni kupungua uzito, the fact kwamba si kila anayepungua uzito ana virus hivyo haiondoi ukweli kuwa ni dalili mojawapo. Sijui kama unanielewa...nimeugua mafua mara nyingi pia lakini hii hali haijawahi kunitokea, huwa sipotezi kabisa uwezo wa kunusa na mafua yakipotea narudi kunusa kama kawaida but this is different. Hebu acha kukataza watu kuchukua tahadhari
 
Ninachosema siyo kweli kukosa kunusa is a new feature in virus infection of the nose! Mimi ni kawaida yangu kukosa kunusa ninapokuwa na mafua. Unajua virus mutation rate ni high, hivyo unaweza kuwa infected na new strain of more virulence and disease features!

Basi wapigie simu wahusika waje wakupime! Kama unahisi you might have Corona virus infection, then call the authority for clarification and tests!
 
Nimekuelewa, asante!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Okey
 
Siyo kweli! It is normal kupoteza kunusa, kuonja unapokuwa na mafua... hivi you can not associate it with Corona that much simple! Of course ukiona hivyo n vema kuchukua tahadhali! lkn siyo dalili specifically for corona
Nchi nyingi sana duniani zimethibitisha kuwa wagonjwa wengi sana waliokutwa na ugonjwa wa COVID-19 walikua na hizo dalili za kutoweza kunusa ama kusikia ladha ya chakula na hivi sasa zimekua updated kuwa ni dalili za huo ugonjwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninachosema ni kuwa: Dalili kama hizo hata kwenye common colds zipi! These are not new! Afterall mimi sishangai maana wote ni virus wa nasal cavity hivyo na coronavirus kutoa dalili hizo is expected!
 
Nieleze wewe mkuu malaika wa duniani.
 
We had the same problem here, lakini kuna dawa tumetumia now it is Ok. Nipe dakika nitakuwekea ni dawa gani, nkumbushe inbox nikisahau maana niko mbali na nyumbani.
Mkuu weka hapa isaidie wengine mana hili suala limewapata wengi cjui ni kwnn aisee
 
Unakumbuka msemo huu!...... "hata nikifa Mungu anifanye kiongozi wa malaika mbinguni"
Utakufa kwa stress mkuu bado miaka mingine mitano! Na uzee huo ulionao very soon utachanganyikiwa!!
 
Habari watanzania? Wiki iliyopita nilipata homa kali ghafla na nikapoteza hali ya kuweza kunusa harufu yoyote ile (Sense of Smell). Nilipata hofu sana na kwenda hospital kupima Malaria na UTI, vipimo vyote vikasoma negative basi ikanibidi nikae tu nyumbani na kuendelea kutumia malimao na machungwa baada ya kupata ushauri toka kwa watu mbali mbali huku nikisikilizia hali kwani huku nilipo mpaka kupata kipimo cha Corona ni process ndefu.

Baada ya wiki sasa ile hali imepotea na ninapata mafua na kikohozi kwa mbali. Jambo lilonifanya kuleta taarifa hii kwenu nimeona watu wengi mtandaoni hasa Facebook na Twitter wakilalamika hali hiyo na wengi wanasema iliwapata wiki iliyopita kwa kutumia tiba ya malimao wamepata nafuu.

Maswali yangu ni Je hiyo inaweza kuwa Corona? Maana napata hofu kwani mke wangu na watu wengine wa familia tangu siku hiyo mpaka leo yupo vizuri na hajapatwa na tatizo lolote wakati bado tunashare kila kitu.

Rai yangu serikali na taasisi zote za afya ziendelee na uchunguzi wa bidhaa zote hasa Sanitizers kuona kwamba zinakidhi vigezo na zisije zikawa Chanzo cha matatizo mengine mapya tukadhani ni Corona.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vitu vingine ni matokeo ya hofu,kuogopa kitu kupitiliza kunaumba taswira ya kitu hicho.hayo maradhi ya mafua makali mpaka kukosa ladha na mara nyingine homa yalikuwepo kitambo sana na hata mimi huwa naugua mara kadhaa,siyo lazima ihusike na corona.

By the way corona ni ugonjwa kama magonjwa mengine utakapougua na kuthibitika utajua jinsi utakavyopambana nao.usiku mwema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…