[emoji16][emoji16] mkuu, huko mimi tena sipoHuyo ni wa kumsamehe tu , huwa analazimika kuchagia hata pasipostahili, ilimradi tu amuambatanishe na mchuchu wake ,!
honestly jamaa ni mmoja wa watu wanaonifanya niamini kuwa huenda limbwata lipo.
Sent using Jamii Forums mobile app
angalia #43
Mkuu nimejaribu kugugo ni kweli inasemekana ni dalili mojawapo japo haijathibitishwa. Ukiwa na mafua unakuwa uwezo wa kunusa unapungua ndio lakini sio unapotea kabisa na kadri mafua yanavyopungua unakuwa unanusa kama kawaida, hii ni tofauti kabisa...mimi mafua yamepona lakini bado siwezi kusikia harufuSiyo kweli! It is normal kupoteza kunusa, kuonja unapokuwa na mafua... hivi you can not associate it with Corona that much simple! Of course ukiona hivyo n vema kuchukua tahadhali! lkn siyo dalili specifically for corona
Hahahaaaa we jamaa vipi mbona unalazimisha hisia zako ndio ziwe sahihi pamoja na maelezo yote ya jamaa!!.
Kwa hiyo limepona? Maana una tatizo halafu tena unasikia harufu ya kukeraMimi pia hili tatizo limenikumba na pia kuna harufu Fulani hivi ya kukera unaisikia na inabaki hadi kwenye nguo nazovaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani tusisahau tabia ya mafua. Ukiwa na mafua unakosa kunusa, kuonja, homa, kukosa nguvu mwilini, kuumwa na kichwa, kukosa hamu ya kula (because you can not smell) muda mwingine hata masikio yanakuwa yanaunguruma.Actually, hata kupumua inakuwaga shida kwa mbali! Unasikia kifua kizito kidogo. Ni dalili za mafua miaka nenda miaka rudi!Mkuu nimejaribu kugugo ni kweli inasemekana ni dalili mojawapo japo haijathibitishwa. Ukiwa na mafua unakuwa uwezo wa kunusa unapungua ndio lakini sio unapotea kabisa na kadri mafua yanavyopungua unakuwa unanusa kama kawaida, hii ni tofauti kabisa...mimi mafua yamepona lakini bado siwezi kusikia harufu
analazimisha koronaHahahaaaa we jamaa vipi mbona unalazimisha hisia zako ndio ziwe sahihi pamoja na maelezo yote ya jamaa!!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi sijasema ni corona, nimesema ni dalili mojawapo ya korona. Dalili mojawapo ya VVU ni kupungua uzito, the fact kwamba si kila anayepungua uzito ana virus hivyo haiondoi ukweli kuwa ni dalili mojawapo. Sijui kama unanielewa...nimeugua mafua mara nyingi pia lakini hii hali haijawahi kunitokea, huwa sipotezi kabisa uwezo wa kunusa na mafua yakipotea narudi kunusa kama kawaida but this is different. Hebu acha kukataza watu kuchukua tahadhariJamani tusisahau tabia ya mafua. Ukiwa na mafua unakosa kunusa, kuonja, homa, kukosa nguvu mwilini, kuumwa na kichwa, kukosa hamu ya kula (because you can not smell) muda mwingine hata masikio yanakuwa yanaunguruma.
Hapa kwangu wote tulikuwa na hali hiyo lkn we are now OK, tumetumia dawa za siku zote kabla ya ujio wa corona, maana tulipo corona bado kuenea na hivyo hatukuwa na sababu ya kuwa na wasiwasi. Hivyo tunaweza kusema dalili za common colds ni sawa na za corona!
Ninachosema siyo kweli kukosa kunusa is a new feature in virus infection of the nose! Mimi ni kawaida yangu kukosa kunusa ninapokuwa na mafua. Unajua virus mutation rate ni high, hivyo unaweza kuwa infected na new strain of more virulence and disease features!Hata mimi sijasema ni corona, nimesema ni dalili mojawapo ya korona. Dalili mojawapo ya VVU ni kupungua uzito, the fact kwamba si kila anayepungua uzito ana virus hivyo haiondoi ukweli kuwa ni dalili mojawapo. Sijui kama unanielewa...nimeugua mafua mara nyingi pia lakini hii hali haijawahi kunitokea, huwa sipotezi kabisa uwezo wa kunusa na mafua yakipotea narudi kunusa kama kawaida but this is different. Hebu acha kukataza watu kuchukua tahadhari
Nimekuelewa, asante!Mbona anayoyaonyesha mama Tibaijuka ni kawaida kwa wahaya! Ni tiba from time immemorial kwa wahaya na haina msaada mkubwa , watu wameponea modern medicines. Anayoyaonyesha kwenye clip yanafanywa miaka nenda miaka rudi na mafua yako pale pale na hayaponi.
OkeyNinachosema siyo kweli kukosa kunusa is a new feature in virus infection of the nose! Mimi ni kawaida yangu kukosa kunusa ninapokuwa na mafua. Unajua virus mutation rate ni high, hivyo unaweza kuwa infected na new strain of more virulence and disease features!
Basi wapigie simu wahusika waje wakupime! Kama unahisi you might have Corona virus infection, then call the authority for clarification and tests!
Nchi nyingi sana duniani zimethibitisha kuwa wagonjwa wengi sana waliokutwa na ugonjwa wa COVID-19 walikua na hizo dalili za kutoweza kunusa ama kusikia ladha ya chakula na hivi sasa zimekua updated kuwa ni dalili za huo ugonjwaSiyo kweli! It is normal kupoteza kunusa, kuonja unapokuwa na mafua... hivi you can not associate it with Corona that much simple! Of course ukiona hivyo n vema kuchukua tahadhali! lkn siyo dalili specifically for corona
Ninachosema ni kuwa: Dalili kama hizo hata kwenye common colds zipi! These are not new! Afterall mimi sishangai maana wote ni virus wa nasal cavity hivyo na coronavirus kutoa dalili hizo is expected!Nchi nyingi sana duniani zimethibitisha kuwa wagonjwa wengi sana waliokutwa na ugonjwa wa COVID-19 walikua na hizo dalili za kutoweza kunusa ama kusikia ladha ya chakula na hivi sasa zimekua updated kuwa ni dalili za huo ugonjwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nieleze wewe mkuu malaika wa duniani.Sijapata corona lakini mimi sioni tatizo kupata corona as long as natibiwa na kupona/kufa. Ni kawaida kuwa na tatizo la kunusa unapokuwa na mafua. Ni kwa vile hujui kitu.
Mbona Jiwe ameweka karantini Chato, total lockdown kama haogopi kufa. Polisi wamemwagwa lundo kuzuia watu kutoka nje.. nenda twita kasome
Majariwa alipeana mkono na Shah wa Mafia aliyekufa. Unasemaje?
Nieleze wewe mkuu malaika wa duniani.
Mkuu weka hapa isaidie wengine mana hili suala limewapata wengi cjui ni kwnn aiseeWe had the same problem here, lakini kuna dawa tumetumia now it is Ok. Nipe dakika nitakuwekea ni dawa gani, nkumbushe inbox nikisahau maana niko mbali na nyumbani.
Utakufa kwa stress mkuu bado miaka mingine mitano! Na uzee huo ulionao very soon utachanganyikiwa!!Unakumbuka msemo huu!...... "hata nikifa Mungu anifanye kiongozi wa malaika mbinguni"
Vitu vingine ni matokeo ya hofu,kuogopa kitu kupitiliza kunaumba taswira ya kitu hicho.hayo maradhi ya mafua makali mpaka kukosa ladha na mara nyingine homa yalikuwepo kitambo sana na hata mimi huwa naugua mara kadhaa,siyo lazima ihusike na corona.Habari watanzania? Wiki iliyopita nilipata homa kali ghafla na nikapoteza hali ya kuweza kunusa harufu yoyote ile (Sense of Smell). Nilipata hofu sana na kwenda hospital kupima Malaria na UTI, vipimo vyote vikasoma negative basi ikanibidi nikae tu nyumbani na kuendelea kutumia malimao na machungwa baada ya kupata ushauri toka kwa watu mbali mbali huku nikisikilizia hali kwani huku nilipo mpaka kupata kipimo cha Corona ni process ndefu.
Baada ya wiki sasa ile hali imepotea na ninapata mafua na kikohozi kwa mbali. Jambo lilonifanya kuleta taarifa hii kwenu nimeona watu wengi mtandaoni hasa Facebook na Twitter wakilalamika hali hiyo na wengi wanasema iliwapata wiki iliyopita kwa kutumia tiba ya malimao wamepata nafuu.
Maswali yangu ni Je hiyo inaweza kuwa Corona? Maana napata hofu kwani mke wangu na watu wengine wa familia tangu siku hiyo mpaka leo yupo vizuri na hajapatwa na tatizo lolote wakati bado tunashare kila kitu.
Rai yangu serikali na taasisi zote za afya ziendelee na uchunguzi wa bidhaa zote hasa Sanitizers kuona kwamba zinakidhi vigezo na zisije zikawa Chanzo cha matatizo mengine mapya tukadhani ni Corona.
Sent using Jamii Forums mobile app