Kupoteza uwezo wa kunusa yaweza kuwa/ni dalili za mwazo za COVID19

Kupoteza uwezo wa kunusa yaweza kuwa/ni dalili za mwazo za COVID19

Wazee mi nimewaambia wasitoke ndani na wasiruhu mtu mgeni kuwatembelea kipindi hiki ,nimewawekea stoke ya vitu mhimu
Mkuu corona ni clinical finisher,Kama haupo ndani ya kumi na nane haina shida sana,Ila jisikie hivyo harafu kasalimie wazee wako Kama wanaumwa umwa,ndo utajua Covid- 19.Wewe unadhani magu haipendi Dar?
 
Duh ulicho andika ndivyo ninavyo hisi nina mafua ambayo mtu hawezi juwa leo ni siku ya 3 nimesogelea mafuta ya taa sihisi arufu kabisa asubuhi nimetafuna tangawizi siku hisi ukali wa tangawizi kabisa! MUNGU NI MWEMA LITAPITA!
mkuu Nini hii?
 
mkuu Nini hii?
Wana sema ni dadili za corona mkuu! Nilikuwa nikimeza mate kuna kitu nina hisi kipo kwenye Koo naona kimepungua!

Ila pua kuna mdaa zinauma kama sekunde 4 na kuacha Ila bado sihisi ladha wala harufu!
 
Habari,

Me nilipata kupitia mkasa wa kukosa ladha na kushindwa kunusa, lakini nilipambana nikatoka huko pia kichwa kuuma bila sababu maalumu na makamas ya kuganda puan kwa muda mrefu. Hivi sasa nina dalili mpya siumwi kabisa kabisa sina mafua wala kikohozi wala kichwa kuuma ila ndani ya koo langu nasikia vitu kama wadudu wantembea hata nikijaribu kukohoa kama kutoa kohozi yanatoka mate, pia napata hali kama ya kutafuta hewa kwa tabu kidogo lakini sio sana na kifua kama kubana.

Sasa napata mashaka labda virus vimekuja na aina mpya ya ku-attack ndo maana inapeleka hivi vifo vya gafla tunavovisikia kuwa gafla alibanwa na kifua kushindwa kupumua hatimae akafariki. Pia, jana mtaani kwetu kuna mama mjamzito kafariki na mimba ya miezi 8 tatizo ni kubanwa gafla na kushindwa kupumua. Alikua hana shida yoyote hali imem- attack fasta ikapelekea umauti wake.

Hivyo napenda kutoa wito tuombe Mungu katika hili vita dhidi ya corona ni kubwa na tujilinde kadri iwezekanavo. Mimi hatua nilioichukua kuanzia jana nimekamua juisi ya majani ya Madagaska ambapo kwetu Machame tunatumia kama dawa ya kfua nikanywa jana usiku; suddenly ile hali ya wadudu kutembea katika koo ikakata. Pia, leo asubuhi nikatengeneza tena nikanywa sasa hapa iliobakia ni kama naitafuta hewa lkn kwa mbaali sana hainitesi ila nafanya kazi zangu nikiwa naongea niko safi ila nikikaa mwenyewe nahisi hali hiyo kama ya kukosa hewa.

Nirudi kwenye dawa nilioitumia maarufu kama Dawa ya Madagaska, hii dawa ukiinywa ina muwasho ambao unaanzia kwenye koo pia ni chungu. Ukiiweka katika ulimi hupati uwasho wowote ila ikifika katika koo ndo unaanza kusika muwasho usio isha unaokaa kwa muda kidg uklinganisha na na muwasho wa tangawizi ambao unapita mithili ya moshi au mvuke.

Napenda kuwaacha na maneno haya

Death is so final, yet life is full of possibilities

Hivo pambania maisha ili hali uko hai.
 
Habari,

Me nilipata kupitia mkasa wa kukosa ladha na kushindwa kunusa, lakini nilipambana nikatoka huko pia kichwa kuuma bila sababu maalumu na makamas ya kuganda puan kwa muda mrefu. Hivi sasa nina dalili mpya siumwi kabisa kabisa sina mafua wala kikohozi wala kichwa kuuma ila ndani ya koo langu nasikia vitu kama wadudu wantembea hata nikijaribu kukohoa kama kutoa kohozi yanatoka mate, pia napata hali kama ya kutafuta hewa kwa tabu kidogo lakini sio sana na kifua kama kubana...
Mkuu ulivyoongea hapo yani kama waniongelea mimi kabisaaa,hii vitu kupita pita kooni ni nn?
 
mkuuu ulivyoongea hapo yani kama waniongelea mimi kabisaaa,hii vitu kupita pita kooni ni nn?
kwakweli nadhani ni virus hao wa covid 19 ila mkuu tumia dawa mimi hapa mduu nackia vitu vitu vinatembea kwenye koo ila kutokana nilikunywa dawa asubuh mda huu nackia kwa mbali vinatembea tembea
 
kwakweli nadhani ni virus hao wa covid 19 ila mkuu tumia dawa mimi hapa mduu nackia vitu vitu vinatembea kwenye koo ila kutokana nilikunywa dawa asubuh mda huu nackia kwa mbali vinatembea tembea
Dawa gani kamanda, hebu nipe mwanga
 
ooh shukrani,ktk ile miti ipo miwili ni upi haswa

NDO HUU NIMEKUTUMIA NYINGI HIZ PICHA ILI UWEZE KUUTAMBUA KIRAHISI.HAYO MAJANI YAKE UKIYAKAMUA UNAPATA RANGI YAKE KAMA YA KAHAWA HIVI..

Tetradenia_riparia403.jpg
EXE_wByXgAAojcj.jpg
unnamed.jpg
 
Unreported Covid19 cases
Wapendwa wenu(family) mmewakingaje? Baada ya nyie hawakuugua pia

Mkuu nipo alone home nimekuwa nikiji isolate kama mwezi hivi ila now nimekaa sawa na nlivyokuwa najiisolate nilikuwa nazingatia zile precaution zote za kuenda sawa na corona ni ngumu ila nilienda nazo sawa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu kupoteza kunusa kwa kutumia pua ni dalili ya Maradhi ya Corona Virus.Soma hapa chini utaona maelezo yake.


COVID-19'S DAMAGING AFFECTS ON THE BODY:::: DALILI 6 MPYA ZA MARADHI YA CORONA VIRUS:::

Growing evidence suggests that the coronavirus, mostly known to cause
respiratory illness, can also affect many of the body's primary organs.

BRAIN:::
People with COVID-19 have had strokes and sizures. Some have reported confusion or delirium.
Not directly involving the brain but a central nervous issue. Many patients have reported losing theirsense smell.


HEART::::
Doctors have reorted inflammation to the heart and damageto the muscle.
Some patients have diead from severe heart attacks.

LUNGS:::

The Virus can cause Pneumonia, in which the lungs become inflamed
and fill with fluid.Patients may require ventilation .As the infection
progresses, the virus can cause serious lung damage,which can be fatal.


BLOOD VASSELS::

Blood clotting in major arteries and veins has been reported . Clots can break off
and damage multiple organs by stooping blood flow.


KIDNEYS:::
Many COVID-19 patients suffer serious kidney damages
and require dialysis.


INTESTINES::::

Roughly 20% of patients report diarrhea as an early symptom.
The virus has been found in the lower intestinal tract of some patients.


COVID-19 IS DAMIGING ERRECTS ON THE BODY.jpg
 
Yap ila corona sio mafua kama watu wanavyosema, mwili unakuwa unauma yan ngozi inakuwa kama inataka kutoka , pua linakuwa lamoto koo linakuwa kavu yan ni tafran aisee aisee acha


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mafua ni kidogo sana na kiukweli mwili unauma na asa joint za mikono na miguu yani kama umepigwa mawe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi mchanganyiko wa hizo dawa zitatuacha salama kweli...mtu unaweza ukapona lakin zikaacha madhara kwenye figo
+1
Figo zinaumia kweli na madawa yasiyo na vipimo , tuombe salama tu

Sent
 
Back
Top Bottom