Buyuni Kwetu
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 2,120
- 2,153
Naomba niulize kwa ufahamu tu. Hivi Wayahudi ni Wakristo?Okoka na Mpokee Yesu Kristo aliye Mwisrael OG, Ili uwe Raia wa Mbinguni.
Yeye ndiye AMANI, mfalme wa HAKI, BWANA wa mabwana, Ufalme wake Hauna mwisho,
Ni wa Milele na milele.
Ukimkataa Yesu, vita IPO malangoni.
Amen
Hivi wakati unaandika hivi unakuwa na akili timamu kabisa?! Kweli kuna watu wanaishi sababu sheria zinabana kufanya mambo mengine.Wewe endelea kubisha lakini huo ndio ukweli, kama Israel sio taifa teule mngekuwa mmeshalifuta kwenye ramani ya dunia muda mrefu sana,ila kwakuwa Mungu yupo na Israel hamuwezi kumfanya chochote kama umesahau nakukumbusha kidogo tu,rejea six days war,mliungana waarabu wote lakini mlipigwa na kataifa kachanga kabisa,utasema alisaidiwa na marekani mbona marekani mwenyewe kashindwa vita nyingi tu,na sio kila taifa linalosaidiwa na marekani linashinda kama unaakili timamu utaanza kujiuliza hii nchi inapataje ushindi, na kwanini mataifa yote duniani yanaitetemekea Israel na habari za Israel zinagusa dunia nzima, jibu Mungu yupo kazini na Israel vyovyote vile ya yanayoendelea ipo sababu ambayo yeye Mungu anajua kwanini ipo hivyo.
Hebu tupe sababu au chanzo cha wao kupiga hiyo hospitali?Taifa teule,nikikumbuka ile habari wanavyowahasi wanawake wa kiafrica walio Israël ili wasizae.Jews ni wabaguzi tena ni wauaji.Imagine kuwahasi wanawake kisa tu hao wanawake ni weusi.Hivi kuna jew kawahi oa mwanamke mweusi kweli?
Taifa teule waongo wakubwa ,juzi wamebomb hospital na afisa wao alatweet kabisa ingawa ile ujembe twitter aliufuta baade.Sasa wanabisha si wao.Yaani anaetetea Jews haijielewi kabisa.
Uwepo wa Mungu hautokani na maelezo ya dini.Kwasababu imani ya uwepo wa Mungu ilianza kuwepo ata kabla ya dini.Mungu yupo kwasababu ya matendo yaliyopo duniani,Ikiwepo uwepo wa wewe na mimi.Hakuna fumbo lolote.
Mungu hayupo.
Mungu ni fiction character invented by religion.
Wateule nowadays wanaf*rana na kusagana..... Na Hitler wakati anawapa shurba sijui Mungu wao alikuwa wapi....!!?Mimi ni mkristo makini ninayesoma sana biblia lakini huwa hainiingii akilini ninaposoma stori za kwenye biblia. Kama Israel ni taifa teule mbona Mungu mwenyewe amekuwa akiwasotesha sana? Kwa mfano kulikuwa na sababu gani za kusafiri miaka 40 jangwani kutoka Misri hado Caanan? Na ilikuwaje taifa teule liwe watumwa kwa wamisri? Kwenye biblia kuna stori za mtu anaitwa Hamani aliyetaka waisrael wote wauwawe, inakuwaje wateule wasiwe na ulinzi? Hata miaka ya Yesu bado Israel ilikuwa koloni la warumi. Hata kwenye hii miaka yetu kuna Hitler ambaye aliwaangamiza vibaya. Ninadhani huu uteule wao una walakini. Watafakari upya. Ni wateule wanaoishi kwa mashaka miaka yote tangu enzi za Musa.
Ina maana wewe unaijua historia ya Israel kuliko wa-Israel wenyewe... I mean Netanyahu.But Christianity has roots from Jews, because Jesus Christ our Lord is a king of Jews.......ni sawasawa na mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa, hata kama watoto wa ndoa watamnyanyapaa bado huyo atabaki kuwa baba yake na ni sehemu ya familia na atajitambulisha hivyo, huo ndo ukweli mchungu mzee......hizo parody za twitter zisikutie wenge.
Kama matendo ya duniani ni sababu ya uwepo wa Mungu huyo.Uwepo wa Mungu hautokani na maelezo ya dini.Kwasababu imani ya uwepo wa Mungu ilianza kuwepo ata kabla ya dini.Mungu yupo kwasababu ya matendo yaliyopo duniani,Ikiwepo uwepo wa wewe na mimi.
Halafu pata picha mnaahidiwa kutoka Misri kwenda Canaan halafu wote mnafia Jangwani na wanaofanikiwa kufika ni watoto waliozaliwa kwenye hiyo miaka 40 na watu wazima wawili tu Joshua na Kalebu. Je, waliingizwa chaka? Na hata hao watoto hawakufika wote wengine walifia njiani kutokana na vita.Kwanza umbali wa Misri mpaka ilipo Israel sio umbali wa kutumia miaka 40 kufika..
Biblia ni kitabu chenye stori za Uongo sana.
Wewe K nimeanza kuisoma biblia kiundani kuanzia darasa la nne. Hakuna kitu utaniambia wewe na mchungaji wako.Ugekuwa Mkristo sababu ungekuwa unaifahamu na Bible iko wazi sababu ya wana Waisrael kutembea miaka 40 jangwani! Na hiyo ya kwenda utumwani aliambiwa Ibrahim
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Acha kujidanganya kipuuzi. Wangekuwa wateule wasingekuwa wanatangatanga hovyo. Hawa viumbe hata kwenye biblia stori zao nyingi ni za mahangaiko. Kiufupi hawana uteule bali laana.Ukiwa mteule wa Mungu, ni lazima uende kwenye njia yake...
Wateule wa Mungu wanapitia vita kubwa sana, ila wanashinda...
Mungu akiahidi kuwa atakulinda ni kweli ahadi za Mungu ni za kweli...
Israel wao ni Unabii ulishaandikwa ni lazima utimie...
Tafakari... Chukua Hatua..Unatafakari nini?? Acha kujipa umuhimu huna cha kutafakari iwapo hata huwez kuongeza kimo 1 ft ya urefu wako.
We worship the superior, for real and spiritual side you're the inferior brother.
Mungu yuko juu ya fikra zako, usijipe umuhimu kwenye vitu vya kiroho na ilihali vya kimwili na CCM yetu vinakutoa jasho
I imagine if colonialist religions never came to africa...Hakuna fumbo lolote.
Mungu hayupo.
Mungu ni fiction character invented by religion.
Je wao walivyouawa na magaidi ya hammas Mungu alipenda?Hii dhana inaitesa sana dunia, mpaka karne hii kuna wapumbavu wanamini Israel ni taifa Mungu!! [emoji848] ni uongo mkubwa sana.
Mungu gani mbaguzi? Je, Mungu anapenda wanavyoua raia wasio na hatia? Mungu anawachukia wapalestina?
Kama sio wazungu Israel isingekuepo leo hii. Hata Misri tu inatosha kuipiga, ila kwa msaada wa Marekani Uingereza na nchi nyingine ndio mana wanaoea majirani zao. Huyo Mungu wa Israel labda atakuwa mzungu.
Dhana hii inatilia shaka kama kuna Mungu ndio maana watu wengi wanaona haiwezekani kuwe na Mungu anaegemea upande mmoja.
Kwa hakika Mungu hana ubaguzi.
Matendo 10:34
Ndiyo hayo matusi ndiyo ulikuwa unayasoma kuanzia darasa la nne? Mtu anajua na kuisoma Bible hawezi kutukana matusi.Wewe K nimeanza kuisoma biblia kiundani kuanzia darasa la nne. Hakuna kitu utaniambia wewe na mchungaji wako.
Usifananishe neno la Mungu na vitu vya kipuuzi, upumbavu wako usikufanye ukavuka mipaka kiasi hicho.Nakwambia hivi Biblia ni Hekaya za Abunuwasi.
Sawa na stori za udaku.
Ukijibiwa nitag nduguNaomba niulize kwa ufahamu tu. Hivi Wayahudi ni Wakristo?
Acha upumbavu. Mimi sio mkristo wa kupigwa kofi shavu la kushoto kisha nikugeuzie la kulia.. ukinipiga kofi shavuni basi nakurudishia ngumi ya usoni. Ulivyosema mimi sio mkristo ulikuwa unafikiria nitakujibu kwa kukubembeleza? Pumbavu sana.Ndiyo hayo matusi ndiyo ulikuwa unayasoma kuanzia darasa la nne? Mtu anajua na kuisoma Bible hawezi kutukana matusi.
Halafu sijui wewe una nini maana kama unavyovitaja nawewe unavyo au aliyekuzaa anavyo napata mashaka nawewe !
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Neno gani la Mungu limejaa uongo!Usifananishe neno la Mungu na vitu vya kipuuzi, upumbavu wako usikufanye ukavuka mipaka kiasi hicho
We could be worshipping in caves, trees or big stones just as it was.I imagine if colonialist religions never came to africa...