Kutoka kwenye familia tuliyosomeshwa kwa gharama kubwa kumeniathiri kiuchumi, Kupeleka watoto kayumba ni aibu, Napambana kukwepa aibu

Mtoto kama ana akili hata akisoma kayumba anafaulu vizuri tu. Kama kilaza hata ukimpeleka English Medium bado atakuwa na ufaulu hafifu.
Kupeleka mtoto Private ni zaidi ya kufaulu kwenye mitihani, Hata vijijini kwenye shule wanazokaa chini wapo vipanga wanaofaulu zaidi.

Ni suala la kumrahishia maisha mtoto, kuhusu kufaulu hilo ni jambo lingine.

soma uzi mzima.
 
Kila la kheri, Ila nafikiri uandae tuu saikolojia yako kuwa wanaosomesha watoto serekalini sio wote ni masikini au kuaomesha watoto kayumba sio fedheha.
Kama umewahi kusoma kayumba hata ukija kuwa tajiri ni kawaida kusomesha mtoto kayumba, uzoefu wako wa hizo shule unaweza kumsaidia mtoto kwenye kumpa ushauri mtoto, sasa mimi sijasoma kayumba wala siyajui mazingira yapoje nitamshauri nini mtoto ?
 
Dogo umezaa mapema sana,anyway pambana na hali yako.
Sisi wenzako 36 tuna watoto 2 hawajaanza shule serious za mahela makubwa makubwa. Tunatumia muda huu kujenga. Wakishaanza kuwa serious, ujenzi hakuna ni kusomesha tu.
Wakimaliza kusoma ni mwendo wa bata na mama yao, labda na mtoto mmoja wa mwisho.
 
Mkuu kama umepitia Kayumba naweza kutamani niwe wewe maana hata nikipeleka mtoto huko hakuna cha kujutia.

Ishu inakuja wewe baba ulisomeshwa shule za private english medium, Kusomesha watoto Kayumba roho itauma
Kwahiyo unasomesha English Schools kwa presha/hofu tu ila sio matakwa yako, kwa maana ungekuwa uko huru wanao wangesoma Kayumba?
 
Its all about mindset, watoto wata adopt. It you mwenye ego and pride. Drop them na utaona ni kawaida mkuu. Haya ni maisha yanabadilika mno kwa kasi
 
36 una mtoto hajaanza shule ni kwamba wa kwanza umempata ukiwa na miaka takribani 33

muda wote hadi 32 ni kwamba hakuna mwanamke alienasa mimba yako ?

ungejitahidi at least uwe na mtoto ambae ukifika 50 yeye nae kaanza harakati za kukutaftia wajukuu ๐Ÿ™‚ ๐Ÿ™‚
 
36 una mtoto hajaanza shule ni kwamba wa kwanza umempata ukiwa na miaka takribani 32

unafika 50 mtoto wako hata 20 hajafika
Sasa cha ajabu nini hapo?
Kwanza sio hajaanza shule, hajaanza shule za serious sana mi ada mikubwa mikubwa. Halafu haya ni maisha, kupanga ni kuchagua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ