ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Sio kazi ya Rais kukulimia tena nasikiyika saizi imeshuka kidogo ilitakiwa ipande zaidi Ili tupige pesa.Bei ya vyakula imepanda juu
Tupo vizuri kiuchumi
Kila post yake ni kusifia ujinga TuHuyo kapaniki.
Tunamuelewa. Leo analala na viatu
Ndio ,inaonekana umejaa USAA kichwani.Mgao wa Sasa ni maji kuoungua kwenye mabwawa Sasa povu la nini?Mpuuzi x 190
Mvua zikinyesha ndo tunapata umeme.
Polee ndugu
Makosa ya kimkakati ya Wana ccm,saizi tungekuwa mbali sana ndio maana haturudii makosaAlijiweka madarakani?
Au ndo tuamini indoor plumbing mliyoifanya na sasa mnapongezana?
Neno galasa ama garasa linavunja moyo sana.Makosa ya kimkakati ya Wana ccm,saizi tungekuwa mbali sana ndio maana haturudii makosa
View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1714293414764872170?t=VnLHoNfGYsFLGtISgOeFeQ&s=19
Garasa ni wewe hapo kubwa la ma idiot 😂😂Neno galasa ama garasa linavunja moyo sana.
Are you okay pal?
Akili ndogo bwana shida sana😕😕😕😕😕Umeme ni swala dogo mwisho wake January mvua ikinyesha na baada ya June hutosikia tena Kuna mgao Hadi 2100
Sasa ndiyo umeeandika nini?Kabla Shujaa Mwendazake hajatuaga, tuliambiwa nchi imepaa na sasa tupo uchumi wa kati.
Baada ya ziara zenye tija za Mama, ambazo hakika zimefungua nchi na uchumi kupaa sana tumefkia hapa leo nchi kuwa gizani
Nyerere alitufundisha na kutuasa kuwakataa hawa wapuuzi wanaolizamisha Taifa bila soni wala aibu
Lucas mwashambwa ChoiceVariable johnthebaptist Mshana Jr
Onyesha akili Yako kubwa kwanzaAkili ndogo bwana shida sana😕😕😕😕😕
Nawe pia mkuu🤣Garasa ni wewe hapo kubwa la ma idiot 😂😂View attachment 2784756
Rudi shule ukapate akiliSasa ndiyo umeeandika nini?
Kikwete katutowa chini ya Dollar moja kwa siku, umesahau hilo? mwendazake lifanya nini zaidi ya porojo na kuturudisha nyuma? Ili wote tuishi kama mashetani?
Lengo la mama ni kutupaisha mpaka 2025 twende juu ya diollar 2 kwa siku, barabara zote zinaeleke huk, tena kwa kasi sana.
Karne ya 21 unaongelea habari za kunyesha mvua,akili kisoda weOnyesha akili Yako kubwa kwanza View attachment 2784757
Uchumi ambao mnauona nyinyi tu... Huku mtaani hauonekani? Umeme kukatika, vitu kupanda bei, mafuta ya petroli bei na mambo kadha wa kadha.Huyu takataka ameandika nini zaidi ya pumba?
Mama wa Uchumi ni Samia hao wengine ni wazee wa propaganda.
View: https://twitter.com/FMzaramu/status/1714245296140472798?t=vcM2Et6bQykjlkBJme8pOw&s=19
Kwa kweli tumepaa.....Tumepaa kuelekea chini.
Hata 6 haifiki,ikinyesha tuu utasema huooo!Naona marangirangi hapo 😄
Anyway ngoja miezi 6 iishe tuone
Hali ya umeme itakuwaje
Ova
Umeme wa.maji bila mvua hakuna ,hata iwe Karne ya 100.Karne ya 21 unaongelea habari za kunyesha mvua,akili kisoda we
China gani hiyo ambayo ukame ulitokea ukasababisha mgao wa umeme?Umeme wa.maji bila mvua hakuna ,hata iwe Karne ya 100.
Mwaka juzi China ilikuwa na ukame na kukapatikana na shida ya umeme ,ilikuwa Karne ya ngapi?
Bichwa kubwa akili za mtaroni