The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Kingereza hakikwepeki kufanya nini?Mkuu sio kwamba kujua kingereza ndo kuwa na akili, bali kujua kingereza kunasaidia sana kwenye elimu na maisha ya kawaida.
Inshort hakikwepeki
Jamani swala elimu si la kuchezea. Hakikisha "mwanao" anapata kilicho bora. Usibeti na elimu.IT IS A SIMPLE STORY BUT VERY MEANINGFUL....
Kile kipindi cha shule za EM zimeanza kuingia bongo kiliwakuta wazazi wangu wamejaliwa na Mungu uwezo. Wakaamua wanitoe kayumba na kunipeleka EM.
Kufika kule wale walimu walishangaa ni namna gani napaswa kuwa darasa la sita, wakati hakuna ninachokijua cha msingi. Kwa hio nikawa recommended nirudie la tano.
Aisee nilipigwa msasa, nakumbuka nilikuwa the slowest kid in class lakini nakuja kumaliza darasa la saba, ndio nilikuwa the best of the best student, kunyakuwa zawadi zote na pia kupata fursa ya kwenda special school ya serikali, kwenda special school za serikali ndio kipindi hicho zimeanza kupoteza uimara nikakutana ufundishaji mmbovu sanaaa.
Hadi hii leo kuna namna maisha yangu yalikuwa postively affected kutokana na malezi bora niliopata pale EM. Ninachokumbuka kayumba ni mwalimu aji darasani ni kupiga stori mkisubiria kengele, kutoroka shule kwa kuruka madirishani na kuingia mtaani kutafuta maembe, kuogelewa mtoni, etc, wenginne ndio walitekwa na kuchunwa ngozi, kuanza kuvuta bangi/madawa, etc
So mtu anaeponda EMs namshangaa sanaaaaa!!!
SO TUFANYEJE!!!
Kutokana na ongezeko la uhitaji wa elimu bora, shule za EMs zimekuwa nyingi huku nyingi zikishusha bei ili uje tu for the sake of "ninasomesha mtoto EM" , kwa hio tafuta shule yenye record nzuri ya malezi na matokeo bila ya kujali ada.
Kwa issue ya employment: ni aibu sana elimu aliopata mtoto wako unaipimia pale tu atapopata ajira. Unemployment nj global issue. Ni aibu unakuta unakunywa bia kila jioni, umepangishia kahaba au una suka misuko ya 50k kila baada ya wiki 1 na nusu alafu unasema kusoma EM ni kupoteza muda kwa maana hatakuja kupata ajira.
Na wewe unatamani wanao wapitie njia hizo kutafuta elimu yao?.ulipata malezi ya kimayai mayai...Sisi tumesoma Kayumba schools from the scratch tumelelewa through the hardest ways possible. Tumefaulu mpk kumaliza elimu ya juu. School yetu walimu walikuwa hawaingii kabisa mwaka unaisha kwenye somo mmefundishwa topics 3 tu katika topics 14-15 mlizotakiwa kujifunza na bado tulifaulu ufaulu wa juu kabisa
Hapa ndipo kwenye hoja, achana na blah blah nyingine!Ifike wakati serikali iende na wakati na kubadili mfumo wa lugha ya kufundishia na kuwa Kiingereza toka mwanzo. Na wale wanaojimithilisha na China kusema kuwa Kiingereza hakina umuhimu basi pia wamithilishe na uchumi wao.
Nimeipenda hiiNa hii ligi wameingia Chaka vibaya mno, walianza na single mothers, wanasema hawafai kumbe hawajui hata mama zao waliolewa wakiwa single mothers, wakaenda kwa kataa ndoa wakakuta dada zao wanapigwa miti na washikaji zao, Leo wameingilia mambo ya taaluma kisa hawana pesa.
Wanapotosha watu ili wawafariji na uamuzi wao mgumu😂😂😂Nimeipenda hii
Ni kweli mkuu, Kayumba kuna watu wanaelewa vizuri jambo ila lugha inawapiga chenga.Bottom line is, usifanye chochote kilicho nje ya uwezo wako.
Ikiwa una uwezo wa kulipa private school, ni busara kumpeleka mtoto huko. Hakuna faraja kwenye ufukara. Kuna tofauti kubwa sana ya uelewa baina ya mtoto wa darasa la watoto 20 (private school) na watoto 120 (Kayumba).
Mimi nashukuru Mungu ni product ya English Medium (Olympio ya 90's, St. Mary's ya late 90's, Early 2000's na mwisho Uganda).
Ukiwa na chimbuko zuri la Primary, secondary unatoboa shule yeyote. Hili nililiona baada ya kuhamishwa toka St. Mary's na kupelekwa Uganda. Ilikuwa nikiliganisha baina yangu na wenzangu wa Tz waliotoka shule za kawaida, nilikuwa na advantage kubwa ya kuelewa ikizingatiwa mtaala wa Uganda ni wa kiingereza toka chekechea.
Mtoto wangu wa kwanza yupo Secondary (Form 2) toka nursery amesoma English medium na sekondari nimempeleka shule ya Serikali, so far hakuna gumu lolote analopitia kwa swala zima la uelewa.
Kiuhalisia kinachoangusha elimu ya Tz hasa primary ni lugha. Ni ngumu kwa mtoto kufundishwa kwa kiswahili toka chekechea halafu ghafla form 1 unabadili kila kitu kwenda kwa Kiingereza. Hatma ya huyo mtoto ni kukariri definitions kuliko kuelewa hasa kinachofundishwa. Na hii huendelea mpaka kwenye ajira.
Ni kawaida kukutana na mtu mwenye masters lakini uwezo wake wa kujielezea ni mdogo mno japo anajua kile anachopaswa kukielezea.
Ifike wakati serikali iende na wakati na kubadili mfumo wa lugha ya kufundishia na kuwa Kiingereza toka mwanzo. Na wale wanaojimithilisha na China kusema kuwa Kiingereza hakina umuhimu basi pia wamithilishe na uchumi wao.
For as long as sisi ni nchi maskini, kiingereza hakiepukiki katika kutafuta fursa za kidunia.
Huko unakoishi ama kufanya kazi huuoni utofauti kati ya wahitimu wa hizo shule?Mnavyojadili hizo shule zote mkae mjue Tanzania imerithi mtaala mbovu wa kikoloni.
Shule yoyote utayosoma utakuwa zao la mtaala wa kikoloni.
Kingine wa EM wanakutana na Kayumba vyuoni na kazini.
Wawekezaji wa EM walisahau kuwekeza Vyuo vyenye ubora wa juu ili huyo wa EM aende huko. Sasa unasoma EM halafu unaenda SUA mnakutana na kayumba, baadae mnaajiriwa halmashauri kama maafisa waandamizi( what is 5he essence of em).
EM graduate waanze kujitofautisha kwa vitendo sio kwa maneno ktk sekta zote kama
Michezo
Sanaa
Sayansi
Uchumi
Ujasiliamali
Muziki
Academic
Nk
Mpaka sasa shule zina miongo 2 ila zao la hao wahitimu halijajidhihirisha bayana.
Watu wa EM lazima muwe analytical mnapotetea hoja zenu.
Kayumba ipo wazi , ubora wao ni wa kuunga unga. Naona EM ni kwenye matokeo tu ya NECTA what about street life ?
Kumbe mnajua kuwa kuna biashara za kimataifa ambazo zinahitaji kutumia kingereza? Na bado mnabisha!Kingereza kinakusaidia nini, unafanya biashara za kimataifa ili utumie kingereza?
Mkuu,Sahihi kabisa mkuu. Halafu mtoa Mada hajui hata Nini maana ya private school.
What is private about EMS kama hawatumii mtaala wao wenyewe wana tumia mtaala wa NECTA?
Unaposema wewe ni private school maana Yake hata mtaala wako pia unapaswa kuwa private.
Sio unasema wewe ni private halafu mtaala unatumia wa public
The only private thing about shule za EMs za kibongo ni majengo Yao lakini everything about them is public
Hata English yenyewe hazifundishi isipokuwa kinacho fanyika ni just mentioning. Yani masomo kwenye shule za EMs yanakuwa mentioned in English na Sio kufundishwa in English.
Mtu ambae Sio mzungumzaji WA lugha ya kiingereza Kwa kuzaliwa hana uwezo WA kufundisha somo lolote lile Kwa lugha ya kiingereza but he can mention it in English.
Kama Kweli mzazi upo serious na hiyo unayoita elimu Kwa kiwango hicho Basi shule zinazo fundisha Kwa mtaala wa Cambridge ambazo ada zake ni walau kuanzia milioni 25 Kwa mwaka.
Lakini hizi za kumilikiwa na wakina Muggetta za kulipa milioni 2, 3 au 4 Kwa mwaka ni upuuzi mtupu
Daah.Wanywa komoni wanakwambia hii shule ambayo wanafunzi hawana vyoo wanajisaidia kwenye makuti huku wakiwa hatarini kudumbukia kwenye kinyesi, ni shule ya maana sana kuliko English Medium ambapo mazingira ya kujistri yanazingatiwa maana mzazi analipia huduma bora.
View attachment 3205711
Kisha wanadai hawa wanafunzi ambao hata madawati ya kukalia hawana, wana ufaulu sawa na wale wa English Medium.
Hapa kuna mayaya/mabeki tatu/wadada wa kazi za ndani wa kutosha hapa
View attachment 3205712Pia unaambiwa na hao wavivu kwamba shule kama hii ni sawa na EM na mwanafunzi wa hapa kiakili, kisaikolojia, kimaarifa anatoka sawaView attachment 3205714
Zaidi ya hao, unaambiwa na hao wanywa kimpumu kwamba wako radhi watoto wao wasomee mazingira kama haya kuliko walipie ada EMView attachment 3205715
Hao wazazi ni ukoo wa wale Waafrika ambao zamani babu zao walikuwa waganga na wachawi. Wamerithi akili za kichawi vizazi hadi vizazi na ndio haohao baba akiwa na biashara hataki kabisa watoto wake waziguse, hataki waendeshe gari lake wala walala vizuri kwake. Utasikia "kajenge ya kwako ulale na kuamka saa mbili; usiguse gari langu, nunua lako; sitaki kabisa mguse hiki, nawewe tafuta cha kwako".
Hawa wavivu wana ugonjwa kuamini shida na mateso ndio maisha halali, wako radhi wahonge malaya uko vilabuni ilhali watoto wao wanasoma shule ambazo wanafunzi wanajisaidia vichakani.
According to KingwenduBila kupepesa macho... Kama mtu una kipato kuanzia 200,000 kwa mwezi na unasomesha mtoto wako kayumba wewe ni mpumbavu na masikini wa akili na roho, wewe ni mbinafsi una roho mbaya ya kuua future ya mototo...
Hakuna namna unaweza kutoa hoja au sababu yoyote ile ya kumsomesha mtoto kayumba...
English medium hata ikiwa na walimu wa kubabaisha lakini haiwez kufanana kielimu na shule za kata...
WaTz mnapenda sana vya bure ndio maana mnakufa masikini na mnaishi maisha ya dhiki na tabu...
Milion 2 au laki 2?Bila kupepesa macho... Kama mtu una kipato kuanzia 200,000 kwa mwezi na unasomesha mtoto wako kayumba wewe ni mpumbavu na masikini wa akili na roho, wewe ni mbinafsi una roho mbaya ya kuua future ya mototo...
Hakuna namna unaweza kutoa hoja au sababu yoyote ile ya kumsomesha mtoto kayumba...
English medium hata ikiwa na walimu wa kubabaisha lakini haiwez kufanana kielimu na shule za kata...
WaTz mnapenda sana vya bure ndio maana mnakufa masikini na mnaishi maisha ya dhiki na tabu...
Almost mashoga wote wanaojiuza online wamesoma kayumba.Wajinga wengi walioshia kutumia Poda, Sodomalism, Usagajilism, kulana ndugu, na upumbavu mwingi ulikuwa ni matokeo makubwa ya wanafunzi wa hizi St Mary's enzi hizo.
- Baobab wamekuja kuweka tu mambo hadharani ila ni mbaya kuliko hivyo.