Kutuma nauli siyo tiketi ya kufanya siku hiyo hiyo

🤣🤣🤣🤣🤣bora ungebaki kwenu
 
Unapoteza muda Ili ugundue Nini[emoji4]
 
This is Africa [emoji28]
 
Tafsir Yake
Ke wengi hawajui nn wanataka[emoji4]
 
Nakazia[emoji4]
 
Sahii
 
Ulikuwa hujui? Wanaume anaomba mtoke dinner utashangaa anabeba pakti ya rough rider na vuzi kanyoa wenyewe wanaita “Just in case” [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mbavu Sina
 
Wanawake wa siku hizi uliniambia muonane ,utasikia eti tuma nauli yaan kuja kuonana utumiwe nauli ,mara vocha blabla nyingi Sana yaan
 
Tafsir Yake
Ke wengi hawajui nn wanataka[emoji4]
Hawajui kabisa bro, mi siwezi poteza muda wangu Kwa anayetaka kunipotezea muda.
Jibu iwe ndio au hapana.
End of the story.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…