Mzee Wa Republican
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 1,666
- 847
Sawa . . . Ila huwezi linganisha na Mkuu wa Usalama wa taifaNendeni mkajifunze historia mjue Dr Hassy Kitine na Mzena baada ya kutoka kuwa ma DG wa TISS walipelekwa wapi?
Katibu Mkuu Ikulu sio cheo cha mchezo mchezo Dunia nzima
hadhi ya Balozi ni ndogo kuliko hadhi ya Katibu Mkuu wa Foreign affairs
hadhi ya Katibu Ikulu ni kubwa kuliko Katibu wa Wizara yeyote
okAmepanda maana Diwani Athumani ki hadhi ni sawa tu na mkurugenzi wa idara wizarani...
Now ni katibu mkuu.
Khaa . . . Promotion ?Chief of staff (katibu wa Ikulu) ni nafasi nyeti sana and very senior kwenye serikali yeyote duniani.
Nchi nyingine hasa zenye unitary constitution kama muundo wa UK (ambao tume-copy) ni mkubwa kushinda katibu mkuu kiongozi ambae ni head of civil services (which includes idara za usalama).
In other words Diwani Athumani hiyo ni promotion.
Uongo, uongooooo uongo huoooo uongo bhanaaaa!Na blowing Katanga kaenda wapi jamani?he is very perfect
Kasogezwa karib ili ampe mbinu zoteWala hakuna tatizo lolote jamani , nimeuliza tu maana kutoka kuwa Mkurugenzi wa Tiss hadi kuwa Katibu Mkuu Ikulu , sijajua wapi ni juu .
Je sasa amepandishwa Cheo au Ameshushwa ?
Natanguliza shukrani .
Kapigwa SUGUNYO huyo!! DG ni Bonge La Cheo ni kama 2nd to Prezzo.Wala hakuna tatizo lolote jamani , nimeuliza tu maana kutoka kuwa Mkurugenzi wa Tiss hadi kuwa Katibu Mkuu Ikulu , sijajua wapi ni juu .
Je sasa amepandishwa Cheo au Ameshushwa ?
Natanguliza shukrani .
Sijabisha katibu mkuu kiongozi ni mtu mkubwa sana akiwa kama head of civil service makatibu wakuu wote yeye ndio boss wao na idara zote za serikali.Khaa . . . Promotion ?
Katibu Mkuu kiongozi ni mkubwa sana aisee. It's like the second vice president.
.Ni mkubwa mno
KagodorooooNadhani kashuka, kule alikuwa Boss,huku amekuja kuwa kiranja tu wa pale magogoni
All in All amepigwa NDOIGE aka SUGUNYO PELESO PELESO na MAZERI.Nendeni mkajifunze historia mjue Dr Hassy Kitine na Mzena baada ya kutoka kuwa ma DG wa TISS walipelekwa wapi?
Katibu Mkuu Ikulu sio cheo cha mchezo mchezo Dunia nzima
hadhi ya Balozi ni ndogo kuliko hadhi ya Katibu Mkuu wa Foreign affairs
hadhi ya Katibu Ikulu ni kubwa kuliko Katibu wa Wizara yeyote
Utapataje mabadiliko ya kitaasisi bila kufanya mabadiliko ya watu!?,in normal sense unaweza kuimbia taasisi badilika bila kudeal na staffs ambapo kimsingi inabidi uanze na shina kama hivyo ulivyofanyika kuanza na DG wengine watafuatia..Ubora wa taasisi unatokana na ubora wa kiutendaji hata CIA ilikuwa bora zaidi ya sasa kipindi cha Dulles kama FBI ilivyokuwa moto enzi za J.EDGAR HOOVERHivi kuondoka kwa Diwani ndio TISS itakua Bora ?
Tunataka mabadiliko ya sura ya mtu au mabadiliko ya kitaasisi ?
Tofautisha kati ya Katibu Mkuu Kiongozi KMK na Katibu Mkuu IkuluChief of staff (katibu wa Ikulu) ni nafasi nyeti sana and very senior kwenye serikali yeyote duniani.
Nchi nyingine hasa zenye unitary constitution kama muundo wa UK (ambao tume-copy) ni mkubwa kushinda katibu mkuu kiongozi ambae ni head of civil services (which includes idara za usalama).
In other words Diwani Athumani hiyo ni promotion.
Kwa kizungu mmoja ni chief of staff na mwingine ‘cabinet secretary’ hapo Ikulu.Tofautisha kati ya Katibu Mkuu Kiongozi KMK na Katibu Mkuu Ikulu
Diwani ni Katibu Mkuu Ikulu
Upo serious kweli? From mkurugenzi wa usalama wa taifa to Katibu wa ikulu afu unauliza swali kama hili? Ndo maana unamshabikia mbowe
[emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Sasa kutoka udiwani hadi ikulu si kama dodo chini ya mnazi
Wakati Dulles anakuwa Director wa CIA, kaka yake John Dulles alikuwa amestaafu kwa ugonjwa kuwa Secretary of State wa Marekani. Ni incident iliyotokea kaka wawili wako na vyeo nyeti serikalini, the Dulles BrothersUtapataje mabadiliko ya kitaasisi bila kufanya mabadiliko ya watu!?,in normal sense unaweza kuimbia taasisi badilika bila kudeal na staffs ambapo kimsingi inabidi uanze na shina kama hivyo ulivyofanyika kuanza na DG wengine watafuatia..Ubora wa taasisi unatokana na ubora wa kiutendaji hata CIA ilikuwa bora zaidi ya sasa kipindi cha Dulles kama FBI ilivyokuwa moto enzi za J.EDGAR HOOVER
wafuasi wengi wa mbowe ni wapumbavuPunguza chuki. Mbowe kaingiaje?.
Aliyeharibu Mwendazake.Wote hao mzena na kitine ni enzi za zamani kabla usalama haujawa taasisi imara kama miaka hii. Kwa miaka ya karibuni tumeona wakipelekwa nje kwenye balozi.
Hapo ukiangalia vizuri huyu Diwani ataanza kuwa chini ya aliyekuwa msaidizi wake kwenye masuala ya usalama. Sio afya sana kwa taifa.