- Thread starter
- #41
Lakini marekani akiungana na israeli hapo umekuwa uonevu [emoji23][emoji16]
Wanapowakamata waisrael wana proclaim maneno 'allah akbar' hapo tayari wanaingiza vita ya kimiungu.......sasa kwenye vita kati ya Mungu wa Israel na miungu mingine ya dunia huwa inajulikana mshindi ni nani.
Kwa sisi wajuvi tunajua hii ni ishara mbaya sana kwa dunia maana Mungu anapoinuka kulipiza kisasi kwa ajili ya Israel dunia nzima huwa inaingia kwenye msukosuko.
Kwa sisi wajuvi tunajua hii ni ishara mbaya sana kwa dunia maana Mungu anapoinuka kulipiza kisasi kwa ajili ya Israel dunia nzima huwa inaingia kwenye msukosuko.