Kuvamiwa kwa Mbowe: CHADEMA yacharuka, Mnyika amvaa IGP amuonya kuhusu uongo unaotengenezwa na Jeshi la Polisi

Mbowe anatetewa na walevi wenzake
 
Chama kimejaa walevi tupu yaani wahuni bin sawia waongo waongolezi mazimbwete maliwawaya
 
They cant prove ulevi... but cant prove kuvamiwa na kupigwa pia.
Kwanza, kwa hii lugha, hilo jina unalolitumia laweza kuwa ama ni lako au ni la ukoo. Kama ni lako...
Pili, hivi huyu Sirro anayetajwa hapa ndiye yule yule aliyewahi kutajwa na Bashite kwamba ana tuhuma ya kuhusika na biashara ya madawa? Kama ni yeye...
 
Nawewe jina kama ni lako .......
 


Kwani siasa ni kusema uongo au kuleta maigizo ya kupata kiki kisiasa?
 
Mbowe alilewa waache kumfichia aibu
Kila mtu anajua Mbowe ni mlevi wa kutupwa
Mwambieni huyo mseminari Mnyika aache kubwabwaja
Kila mtu yupi anajua mbowe alilewa? Usifikiri watanzania ni wajinga wanaamini propaganda za CCM kiwepesi hivyo.
 
RPC mroto alitishiwa kuhamishiwa lindi ama kwenda kusoma magazeti makao makuu ndiyo maana akabadili kauli zake lakini anaujua ukweli barabaraa.
 
Kwani wewe ulikuwepo?
IGP The Hague inambeep sana, Tundu lisu na wanasheria wa chadema pamoja na wanasheria wengine wa kimataifa wapo mbioni kumfungulia kesi kwenye mahakama ya uhalifu wa kimataifa The Hague.
 
IGP mahita anaishi kwa shida sasa hana kitu anategemea kinua mgongo tu laana za wapinzani zilimtafuna sana.
 
Nimejitahidi kusoma mara 2-3 lakini ata sijaona kauli ya maana zaidi ya taarabu tu!
Headline kubwa kweli lakini hyo stori sasa! Bora ata taarabu za Hayati Bi Kidude
Ukiwa umekariri zidumu fikra za mwenyekiti wa CCM ni vigumu kusoma vya wapinzani ukavielewa
 
Mbowe alipopiga kelele za kuomba msaada, majirani zake walijibu au wali mute ?
Aliyempiga mbowe ni lijuakali na Msukuma na mtu mmoja Asiyejulikana, walivaa mask asiwatambue haraka hata shambulio walifanya kwa haraka sana huku wakiogopa kuonekana na kukimbia wakatokomea mle mle kwenye nyumba zao. Wataumbuka tu kwani chadema wanaenda kusoma Albadiri kwa kila mwana CCM anayewahujumu kuwaonea.
 
Bro nitajie mmoja anayeweza kuthibitisha kama kapigwa..
Home kwake....
Asipige kelele majirani wasimsaidie..
Labda hakulewa but pia hakupigwa may be
Kila mtu yupi anajua mbowe alilewa? Usifikiri watanzania ni wajinga wanaamini propaganda za CCM kiwepesi hivyo.
 
Mnatetea lilevi kazi mnayo
 
Ndugai yule mgonjwa lini ameweza kufikiri sawasawa toka augue ugonjwa mbaya kuliko yote duniani hadi akatibiwa kwa dola milioni 12? Hivi toka akimbie seminari aliehuka tunajua.
 
Mbowe alipopiga kelele za kuomba msaada, majirani zake walijibu au wali mute ?
Umalaya wa kisiasa unawafanya kuwa wapumbavu sana. Kama risasi alizoshambuliwa Lisu hawakusikia mchana kweupe watasikia kelele za mbowe usiku?. Sisi mijitu meusi mizito hata kufikili kwetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…