Balvejmumt
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,224
- 2,938
Halafu siku nyingine usirudie kusema mkoa mzima umeenda kushuhudia mtungi wa changaa acha hiyo.......Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM ndugu Polepole leo anazindua Huduma ya usafiri wa treni kati ya Moshi na Arusha.
Mkoa mzima umetulia kimya na watu wote wameelekea stesheni kushuhudia treni ya kwanza ya TRC iliyobeba makada wa CCM ikianza safari ya kihistoria.
Chanzo: Channel ten.
Maendeleo hayana vyama!
Maigizo tupuNdio mana lisu anawaambia miundombinu kabla ya uhuru ilikuwa inajengwa na marais wastaafu nao wamejenga miundombinu sasa inakuwaje awamu hii ndo ionekane miundombinu imeanza kujengwa wananchi wananyanyaswa hawapewi stahiki zao
imekwama kwa sadalaIko wapi sasa hv maana tumekaa hapa masaa matatu sasa tunaisubiri arusha hapa.
Ndio maana nimepita maeneo ya ushirika na kwa mr price kinyaa watu hakuna. Jamaa a yangu yupo Uchira anasema wamekodi Coaster kwenda kuishangilia treni. Ccm hoyeeee
Polepole anazindua kama nani?, Je ni kiongozi wa serikali au mwakilishi?Uwe unaelewa bwashee..... Umeambiwa ni uzinduzi!
utopoloNdio maana nimepita maeneo ya ushirika na kwa mr price kinyaa watu hakuna. Jamaa a yangu yupo Uchira anasema wamekodi Coaster kwenda kuishangilia treni. Ccm hoyeeee
Akili zenu huwa hazina akili nyie vijana wa CHADEMA. Mashirika yote ya umma yanasimamiwa na Serikali na CCM kwa njia moja au nyingine ndiyo Serikali yenyewe. Sasa wewe unashangaa nini Polepole kuwa mgeni rasmi katika hilo tukio? Usikurupuke kuandika pasipo kufanya utafiti, unadhalilisha chama chako wewe nyani asiye na jinsia
Polepole kuzindua hii kitu wapi na wapi?Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM ndugu Polepole leo anazindua Huduma ya usafiri wa treni kati ya Moshi na Arusha.
Mkoa mzima umetulia kimya na watu wote wameelekea stesheni kushuhudia treni ya kwanza ya TRC iliyobeba makada wa CCM ikianza safari ya kihistoria.
Chanzo: Channel ten.
Maendeleo hayana vyama!
Mtu anayeitwa ana julikana VIP Bwasheee?Hawajaita watu ila nadhani kwa kinacho fanyika kwa mwananchi mwenye nafasi ya kufika ni lazima angelifika
Msikusanye wanafunzi wa Primary na Sec, wanachuo pamoja na wafanyakazi wa umma. tumesema hivi sababu hamkawiagi nyie ili muonekane mmejaza watu kwenye TBC yenu.
Ushamba tuKatibu wa itikadi na uenezi wa CCM ndugu Polepole leo anazindua Huduma ya usafiri wa treni kati ya Moshi na Arusha.
Mkoa mzima umetulia kimya na watu wote wameelekea stesheni kushuhudia treni ya kwanza ya TRC iliyobeba makada wa CCM ikianza safari ya kihistoria.
Chanzo: Channel ten.
Maendeleo hayana vyama!
nadhani amemaanisha kilimanjaro na Arusha zilikuwa hazipendwi na wajenzi wa treni
Hahahaaaa.......!Ushamba tu
Train haijatembea huko miaka 25 Sasa kijana wa miaka 30 lazima ashangae kwa hiyo kuzinduliwa ni sawa. Inazinduka baada ya miaka 25.Trein inazinduliwa leo how? trein imekuwepo kabla ya uhuru, CCM inahisi kila mtu ni mjinga
Wekeni picha acheni blahblahAmani kwako.
Leo jijini Arusha kwenye kituo cha gari moshi (train) kuna shuguli ya kipekee ambapo wananchi mbalimbali jwa wingi wamekusanyika ili kuipokea train ya abilia iliyotokea jijini Dar kupitia Tanga, Kilimanjaro na hatimaye jijini Arusha...
Wewe ni zuzu. Unashangilia kazi iliyofanywa kwa kodi yako?Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM ndugu Polepole leo anazindua Huduma ya usafiri wa treni kati ya Moshi na Arusha.
Mkoa mzima umetulia kimya na watu wote wameelekea stesheni kushuhudia treni ya kwanza ya TRC iliyobeba makada wa CCM ikianza safari ya kihistoria.
Chanzo: Channel ten.
Maendeleo hayana vyama!