Kuweni makini sana na hawa single mama, mimi yamenikuta mazito ila namwachia Mungu

Mr chakii umetisha bwashee
Kuna singo mama huwa nakula kiaina, juz kat kaniambia anaolewa, nikampa hongera, akajbu bad thng naolewa na mtu ambaye simpendi hata ila yy ananipenda kufa, nikamuuliza sasa kwa nn anakubali kuolewa na mtu asiyempenda? akajbu wanawake wote walio kwenye cycle yake wameolewa bado yy tu, kwa hyo inabdi aolewe hvo hvo tu.

namuonea huruma mwamba maana mwanamke mwenyewe ni kivuruge, na hv hampendi, hakuna rang ataacha ona.
 
Ivi inakuwaje unaanzisha mahusiano na single mother 😔😔..

Kuna jamaa naye alikurupuka akachukua Dem niliyezaa naye .ni vile amenikuta mm c fisi tu nazani Kwenye hyo ndoa asingepata mtt hata mmoja wake ,wt wangekuwa wangu .
 
Duuh pole sana jomba,
Mwanamke hapendwi ,anatakiwa akupende yeye ili uishi kwa raha,alafu single mothers ni mfupa uliomshinda fisi mbwa hawezi kuula
Shauri yenu msiosikia
 
Kata mti panda mti acha kulalamika mkuu, saivi tunateswa na utafutaji pesa sio mapenzi tena
 
Hivi mkuu Mwanaume kama mwanamke hakupendi kutambua ni ngumu?
 
Hivi mnavyotunga vitu kama hivi lengo huwa nini?

Unapojiandikia msg kama hizo Kisha unatunga li stori huwa unajiona mjanja au mjinga?
 
Acha kulia lia hata ambaye sio single mama anaweza kukipiga tukio pia
 
Binafsi nichukue nafasi hii kukupa hongera sana kwa yote yaliyokukuta, maana kawaida KENGE HUWA HASIKII MPAKA ATOKE DAMU MASIKIONI.
Hakika utakuwa Balozi mzuri wa kauli mbiu kuwa kwa single mother sio kwa kuwekeza hisia zako bali unaruhusiwa tu kumtatulia changamoto za genye zinazomkabili na kisha kuendelea na maisha yako na sio sehemu salama kwa uwekezaji wa aina yoyote ile
 
Wanasema help a woman when she is in need and she will surely remember you wheñ she is in need again.
Hapo mpaka apigwe kitu kizito atamkumbuka lofa wake arudi
 
Wanawake wapo wengi sana Mkuu! Kila siku form 4 kuna pisi kali zinatoka shule! Kamata moja piga mimba ishi nayo!
 
"Mtalaka hatongozwi" tuishi humu, itatusaidia physiologically!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…