Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Mkuu unajifariji, eti utanikumbuka Dolly. Hawezi kukumbuka maana wewe siyo baba wa taifa. Lia huku unaenda kama ambulance...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah, umekuwa mpole hadi herufi ya kwanza ya Mungu umeiandika kwa herufi ndogo.
Umenimiss wapi, mbona hata siku moja hunijaniita kwenye viti virefuDr. Mariposa mambo? Nimekumisi mno
Ni mwendo wa kuvuna tu chai.
Kumbe na wewe ni mwana chama?🤣🤣🤣🤣🤣Umenimiss wapi, mbona hata siku moja hunijaniita kwenye viti virefu
Hilo ndilo la muhimu afu kwann udate nae muda wote usimtie mimba ?Mwanamke mwenye mtoto yakupasa umkojolee chap then go your way 🏃🏃
Dolly=dorryWAMIKOANI MNAPIGWA KAMA NGOMA
wala hakuna ugumu wowote, sema demu mwenyewe ni gud pretender hvo kama we si mtu wa mademu utaingia king, halafu ana kinyongo balaa, kwa kwel namuonea mwamba hurumaHivi mkuu Mwanaume kama mwanamke hakupendi kutambua ni ngumu?
Halafu aende na vijana 4 wamfanye wamrikod kisha warushe baas ubbaya ubwelaKama vipi muombe mpige nae shoo ya mwisho mwisho halafu kandamiza kama yule mjeda mstaafu wa Tabora aliyekandamiza maQu hadi wakakata moto 🤣🤣
Hata mimi nimegundua hilo na wote wanachanganya L na RMiandiko inafanana, ni mtu anajitekenya na kucheka mwenyewe.
Mjinga mmoja hivi, miandiko inafanana kbsHiyo convo ameandika mtu mmoja. 😎
-Kaveli-
Hahahaha 😂😂😂🙌🏾
Pole sana kwa mkasa huu