Kuzaliwa mwanaume ni hatia

Kuzaliwa mwanaume ni hatia

Wakati tuliopo tujitahidi kutumia zaidi logic. Tufate nature pale ambapo hakuna namna nyingine.

Mfano, nature inataka nimuhudumie mwanamke lakini logic itakuja na maswali kwanini nimuhudumie? hana ndugu? ni mtoto yatima? ni mlemavu asiweza kufanya kazi?

Binadamu wamebuni mbinu nyingi za kufanya exploitation kupitia iyo nature, so you have to be very careful.
Hakika kila mtu ninayekutana naye ana kitu nisichokifahamu na hili linanifanya kuwa mwanafunzi asiyehitimu Duniani.
 
Duuh nimeamini wanaume wa siku hizi mnapenda sana kulialia na kuplay victims, pale jamii inapowatukana wanawake na inapowasifia wanaume kwa kufanya kitendo kimoja mnachokiita umalaya eti kisa jinsia zao na maumbile yao mbona huwa hamsemi, kwanza mnastahili hayo kila jinsia ina angle yake ambayo inaandamwa ila kiujumla wanawake ndio wanaandamwa sana ni vile tu siku hizi hawajali wameamua kujibu mapigo na kuacha kulalamika
Wanawake wanaandamwa kwa lipi na wanaume wanaandamwa kwa lipi. Unataka kusema brutal judgement anazozipata mwanamke kwa sababu ya umalaya(tabia ambayo anaweza kujilekebisha) ni mutualy relevant na anazozipa mwanaume kwa sababu ya mifumo kandamizi aliyowekewa?(mifumo ambayo haiwezi kuikwepa kwenye maisha yake).
 
Wanawake hawana tatizo lolote, tatizo ni sisi wanaume tutawalaumu bure ila mwisho wa yote tatizo ni sisi. Mwanamke anaishi kama kioo atakuonesha tu ujinga wako ulivyo utake usitake kwa kujua au kutojua. Amekuja kukusaidia wewe (Msaidizi) Kwa maana nyingine Mwanaume ndiye mwenye kazi haswaa..

Ni jukumu la Mwanaume kukubali kubadilika ukishaoneshwa ujinga wako badala ya kulaumu, unalaimu nini sasa kama ukioneshshwa tatizo? Mi nadhani ukishaoneshwa tatizo suala la msingi ni kukubali kuwajibika wewe kama wewe siyo kutafuta wa kumlaumu.

Mwanamke kama ukikaa naye kizembe atakuonesha tu uzembe wako utake usitake, kuna watu tulishapitia hayo maisha tukajifunza ila Kwa kuumia sana. Unaweza ukalaumu kila mtu ila ukikaa peke yako kimya mahali tulivu kabisa na kujichunguza utabaini shida siyo wanawake.

Mwanamke ameumbwa kufanya mambo yake kwa hisia sana yaani karibu kila jambo alifanyalo anaangalia anajisikiaje kwanza. Anatawaliwa sana na hisia lakini Mwanaume anapaswa kufanya mambo yake bila kuangalia anajisikiaje. Hata kama hali ni ngumu vipi hata utamaduni unatufundisha kutojisikiliziasikilizia.

Maana ya hakuna anyempenda Mwanaume ni ukweli kuwa Mwanaume hapaswi kujionea huruma katika hali zote. Ni kiumbe aliyeumbwa Kwa mfano wa Mungu. Jiulize ni nani anamuonea Mungu huruma licha ya yeye kutupa kila kitu na bado tunamwomba na wengine tunakufuru kabisa.

Kuzaliwa Mwanaume ni sifa ya kipekee na bahati Kwa sababu Mwanaume ni alama ya uwezekano wa chochote kile. Mwanaume ni mtoaji, Mwanaume ni mlinzi n.k. Mwanaume hakuumbwa kupokea ila kutoa hata maumbile yetu ya uzazi yamekaa mkao wa kutoka ndani kuja nje tofauti na wenzetu ambao maumbile yao ni ya kupokea (yanaingia ndani).

Hata ujauzito Mwanamke hupewa na kuutunza ndani miezi tisa kisha huja kuonesha alichokuwa amekitinza ni nini. Hii inaonesha kuwa wenzetu wameumbwa kutoneshea tulichowapa ni kitu gani? Wanawake wengi unaowaona wanaonesha walichowekewa na wanaume.

Kwa mtazamo wangu Mwanaume kutoa ndiyo sifa yake ya asili na jukumu lake kuliko kupokea. Tusiogope tunapoona kila upande unatuhitaji kutoa Kwa sababu ndilo jukumu letu na siyo laana au hatia.
Inaendelea........
Naturally, women like distructions and chaos, hata uwe mwema kwake kwa kiasi gani amani ikidumu kwa muda mrefu atatafuta sababu ya kuivuluga hata kama sababu iyo ni ya kipumbavu., ushawahi kusikia habari kuhusu mtalaka wa Ricardo Kaka, aliamua kuachana na Kaka kwa sababu jamaa ni mtu mwema sana. Just imagine mwanamke anadai talaka kwa sababu mumewe ni mwema sana, those are women it's just their nature to be chaotic.

Umeongea mambo mengi ambayo inawezekana yakawa ni mazuri tatizo yameshapitwa na wakati.
 
In natute women like distructions and chaos, hata uwe mwema kwake kwa kiasi gani amani ikidumu kwa muda mrefu atatafuta sababu ya kuivuluga hata kama sababu iyo ni ya kipumbavu., ushawahi kusikia habari kuhusu mtalaka wa Ricardo Kaka, aliamua kuachana na Kaka kwa sababu jamaa ni mtu mwema sana. Just imagine mwanamke anadai talaka kwa sababu mumewe ni mwema sana, those are women it's just their nature to be chaotic.
So it is better to choose to become an alpha male as advocated by Andrew Tate and his Brother Tristan Tate eeeh!..
 
So it is better to choose to become an alpha male as advocated by Andrew Tate and his Brother Tristan Tate eeeh!..
The women nature of attraction is very addictive to bad guys and this is because most bad guys possess high level of masculine qualities.

Qualities like confidence, assertiveness, toughness, physical strength, bravery and selfishness etc.

Bad guys may possess some dangerous characters that may be harmful to women like their violent nature, anger issues, stubbornness, addicted to smoking , womanizing and drugs and less kinder to people but then it doesn't concerns women.

What matter is that they possess these masculine traits that triggers their attraction button. It become worse when such bad boy possess money, power and fame.

Women will rather choose to go through the stress of trying and hoping to change a bad guy than to choose a Mr nice guy from the first place

The bad guys life is never boring, he is always engaged with adventurous activities and this are things that pricks women emotions.

The Mr nice guy life is very boring. A very predictable man, less dangerous, don't engaged in any interesting adventures, always pipe low, follow same routine everyday, don't correct woman, very agreeable etc.

At first women think they love the nice guy but with time, they will find his attitude boring and then they will go out to look for some who can bring live to them.

The only time the nice man will ever have a chance with woman is when she has been damaged beyond repair, women only need the Mr nice guys as a rehabilitation centre and nothing more.

DONT BE A NICE GUY.
 
The women nature of attraction is very addictive to bad guys and this is because most bad guys possess high level of masculine qualities.

Qualities like confidence, assertiveness, toughness, physical strength, bravery and selfishness etc.

Bad guys may possess some dangerous characters that may be harmful to women like their violent nature, anger issues, stubbornness, addicted to smoking , womanizing and drugs and less kinder to people but then it doesn't concerns women.

What matter is that they possess these masculine traits that triggers their attraction button. It become worse when such bad boy possess money, power and fame.

Women will rather choose to go through the stress of trying and hoping to change a bad guy than to choose a Mr nice guy from the first place

The bad guys life is never boring, he is always engaged with adventurous activities and this are things that pricks women emotions.

The Mr nice guy life is very boring. A very predictable man, less dangerous, don't engaged in any interesting adventures, always pipe low, follow same routine everyday, don't correct woman, very agreeable etc.

At first women think they love the nice guy but with time, they will find his attitude boring and then they will go out to look for some who can bring live to them.

The only time the nice man will ever have a chance with woman is when she has been damaged beyond repair, women only need the Mr nice guys as a rehabilitation centre and nothing more.

DONT BE A NICE GUY.
I think the way I see my world has changed because I see it as the same energy at different levels. To me love is also hate when it is at its lowest limit.

When I am at low energy level I feel and see things in a negative way but when I am at high energy level I also feel ecstasy and vibrant in a way that I see the positivity of any thing.

I also firmly affirm that I am the master of my destiny so I can chose to be in any extreme of life (-ve or +ve). I am the gardener of my mind I can choose what to think and what to deny.

I think so therefore I am.
 
The women nature of attraction is very addictive to bad guys and this is because most bad guys possess high level of masculine qualities.

Qualities like confidence, assertiveness, toughness, physical strength, bravery and selfishness etc.

Bad guys may possess some dangerous characters that may be harmful to women like their violent nature, anger issues, stubbornness, addicted to smoking , womanizing and drugs and less kinder to people but then it doesn't concerns women.

What matter is that they possess these masculine traits that triggers their attraction button. It become worse when such bad boy possess money, power and fame.

Women will rather choose to go through the stress of trying and hoping to change a bad guy than to choose a Mr nice guy from the first place

The bad guys life is never boring, he is always engaged with adventurous activities and this are things that pricks women emotions.

The Mr nice guy life is very boring. A very predictable man, less dangerous, don't engaged in any interesting adventures, always pipe low, follow same routine everyday, don't correct woman, very agreeable etc.

At first women think they love the nice guy but with time, they will find his attitude boring and then they will go out to look for some who can bring live to them.

The only time the nice man will ever have a chance with woman is when she has been damaged beyond repair, women only need the Mr nice guys as a rehabilitation centre and nothing more.

DONT BE A NICE GUY.
Mkuu uko smart sana upstairs
 
The women nature of attraction is very addictive to bad guys and this is because most bad guys possess high level of masculine qualities.

Qualities like confidence, assertiveness, toughness, physical strength, bravery and selfishness etc.

Bad guys may possess some dangerous characters that may be harmful to women like their violent nature, anger issues, stubbornness, addicted to smoking , womanizing and drugs and less kinder to people but then it doesn't concerns women.

What matter is that they possess these masculine traits that triggers their attraction button. It become worse when such bad boy possess money, power and fame.

Women will rather choose to go through the stress of trying and hoping to change a bad guy than to choose a Mr nice guy from the first place

The bad guys life is never boring, he is always engaged with adventurous activities and this are things that pricks women emotions.

The Mr nice guy life is very boring. A very predictable man, less dangerous, don't engaged in any interesting adventures, always pipe low, follow same routine everyday, don't correct woman, very agreeable etc.

At first women think they love the nice guy but with time, they will find his attitude boring and then they will go out to look for some who can bring live to them.

The only time the nice man will ever have a chance with woman is when she has been damaged beyond repair, women only need the Mr nice guys as a rehabilitation centre and nothing more.

DONT BE A NICE GUY.
Those are purely qualities of an Alpha male
 
Sasa kichapo cha mwanamke mwenzie nacho unakiita kichapo, si wataishia kuvuana mawigi na kuchaniana nguo tu.
Wee acha kabisa usiseme hivo Kuna wanawake walimkalisha mwanamke mwenzao juu ya mdomo wa chupa ya bia mwengine alikalishwa juu ya ncha upanga wa kukatia miti na wanawake wenzake Huku kichapo kikiendelea.

Adui ya mwanamke ni mwanamke.
 
Wanawake wanaandamwa kwa lipi na wanaume wanaandamwa kwa lipi. Unataka kusema brutal judgement anazozipata mwanamke kwa sababu ya umalaya(tabia ambayo anaweza kujilekebisha) ni mutualy relevant na anazozipa mwanaume kwa sababu ya mifumo kandamizi aliyowekewa?(mifumo ambayo haiwezi kuikwepa kwenye maisha yake).
Duuh kwahiyo mwanaume kuwa mwizi ni mfumo ambao hawezi kuukwepa au ni mifumo gani hiyo ambayo unaongelea, sasa tendo linalohusisha jinsia mbili linawezaje kuwa sawa kwa jinsia moja halafu liwe kosa kwa jinsia nyingine wewe unaona kuna logic hapo, hivi hata tukija kwenye uhalisia tu kati ya mwanaume na mwanamke ni nani amewekewa mifumo kandamizi inayomtesa
 
Nimekumbuka mtani kwetu miaka ya nyuma, alitokea mwizi mwanamke, alikamatwa bila kupigwa hata kibao tu walitokea watu wakazuia asipigwe.

Baada ya yule dada kuhojiwa alitoa story ya simanzi pale akachangiwa sembe, mchele, sukari na vyakula vingine vingi akale na familia yake, akapewa na nauli ya kurudi nyumbani.

Miezi imeenda akakamatwa mwizi mwanaume raia walikuwa wakali wakataka apigwe kukomesha wizi, ikabidi washkaji tufanye maarifa kumuokoa kijana mwenzetu.

Umejifunza nini? Mwizi wa kwanza alionewa huruma na kusaidiwa kwa sababu ni mwanamke, mwizi wa pili raia walitaka apigwe kwa sababu ni mwanaume.

Wote kosa lao moja lakini treatments tofauti kwa sababu ya jinsia zao.

Umenielewa sasa? Wewe kama mwanaume elewa kwamba ukizaliwa mwanaume basi upo peke yako. Ni hatia kuwa mwanaume katika hii dunia. Pressure na expectations za jamii kwako ni kubwa sana na hakuna excuse utaitoa ukaeleweka.

Wanawake hawatajali chochote kuhusu wewe, wanaume wenzako hawatajali chochote kuhusu wewe, ulimwengu hautajali chochote kuhusu wewe.

Ukijidanganya kwamba unaweza kupata favor kama mwanamke utapata tabu sana. Hata hao marafiki zako wengi tu wanaweza kukutosa na kumsaidia mwanamke just because of pussy.

Nini ufanye kuondokana na hii hatia ya kuzaliwa mwanaume? Pambania mafanikio, mafanikio yako pekee ndio yatakuondolea hatia yako ya kuwa mwanaume hapa duniani. Upendo wa bure utaupata nyumbani kwako kutoka kwa mama, baba, kaka na dada, ukiingia huku mtaani utapendwa kutokana na unacho-provide.

Ndio maana nawasisitiza vijana wenzangu, wakati wa kujitafuta usipoteze muda, pesa au nguvu kumsaidia mwanamke au kutengeneza mahusiano yako na mwanamke. Katika hiyo age yako mwanamke awe ni kwa ajili ya pipe and swipe tu, baaaasi.

Huyo demu wako hatokuwa mkeo, huyo ni mke au mchepuko mtarajiwa wa wanaume wengine ambao kwa sasa wapo 30's au 40's, kajiweka tu kwako kwa sababu rain maker bado hajajitokeza.

Mwanamke ameshafanikiwa kimaisha kukuzidi wewe mwanaume kwa sababu tu ya jinsia yake. Wapo wanaume wengi ambao tayari wameshajipata wanaweza kumuokoa cheaply, lakini wewe kama mwanaume hakuna wa kukuokoa.

Usipoteze pesa, nguvu, rasilimali au muda wako kwa ajili ya mwanamke, sio mwenzako huyo, ukiishiwa atahamia kwa mwanaume mwingine mwenye nazo, wewe utabaki na umasikini wako.

My brothers, don't go broke, you will be a criminal in this world.
unfortunately mwanaume asiyewekeza nguvu ,rasilimali na muda wake kwetu hatuna time nae atabaki single and bitter kama wewe......kwa hio unachoshauri hapa ni wanaume wakazane kutafuta pesa wasiwe na mahusiano at all,jambo ambalo hata wanaume wenzako hawatakubaliana nalo...namaanisha wataendelea kutoa pesa wapate mahusiano. It is what it is...hutaki kunywa sumu.
 
unfortunately mwanaume asiyewekeza nguvu ,rasilimali na muda wake kwetu hatuna time nae atabaki single and bitter kama wewe......kwa hio unachoshauri hapa ni wanaume wakazane kutafuta pesa wasiwe na mahusiano at all,jambo ambalo hata wanaume wenzako hawatakubaliana nalo...namaanisha wataendelea kutoa pesa wapate mahusiano. It is what it is...hutaki kunywa sumu.
The topic is beyond of your thinking capacity by far.
 
Back
Top Bottom