Nimeshangaa sana unakuta mtuHivi kutoa maagizo na kusisitiza ufuatiliaji nayo ni zero brain??
Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Makonda ni nani ndani ya inchi hii? Mnampa sifa asizo stahili mda ni mwalim, Yajayo yanafurahisha cha msingi ni kwamba kabla yake taifa lilikuepo na chama chake kilikuepo, hakuna jipya chini ya DuniaIdara ya Itikadi na Uenezi ya CCM kwa sasa inaongozwa na aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.
Majukumu ya Idara hiyo kama yaliyovyoanishwa kwenye Tovuti ya CCM ni pamoja na;
- Kushughulikia masuala ya msingi ya Itikadi na Sera za Chama Cha Mapinduzi.
- Kueneza na kufafanua Itikadi na Sera za CCM.
- Kupanga na kusimamia Mafunzo na Maandalizi ya Makada na Wanachama.
- Kusimamia Vyombo vya Habari vya Chama, Mawasiliano na Uhamasishaji wa Umma kwa Jumla.
- Kuongoza na kusimamia maandalizi ya Sera, Programu na Ilani za Uchaguzi za CCM.
- Kusimamia Utafiti, Maktaba na Nyaraka za Chama
@julaibibi Mimi sijui kiingereza ila hichi chako nimeelewa. Ni chepesi mno. Asante.Nashaur kama upo serous mkuu jarib kusoma soma japo unapopata muda politics zinafanyaje kaz.unless if ur facebook oriented
Kwa tume ipi?CCM kweli ni chama imara na kinachojua propaganda. Leo kimemteua Makonda, hakuna tena cha Waraka wa TEC, wala DP WORLD, wala sijui maandamano ya Mwambukusi, wala Dk. Sla. Kila mtu sasa hivi Makonda na CCM. Kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mkishindwa eti mmeibiwa kura!!!
Anakumbushwa na mjumbe mwenzakeWaziri Mkuu ni mjumbe wa vikao vyote vya CCM hivyo maagizo yote ya CCM anayapata live na si kupitia kwa Makonda!
Sasa anatutangazia sisi ili iweje?Anakumbushwa na mjumbe mwenzake
Anawatangazia wanachama wenzake wa CCMSasa anatutangazia sisi ili iweje?
Bashite ataweza kweli kufanya hata kimoja hapo?Idara ya Itikadi na Uenezi ya CCM kwa sasa inaongozwa na aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.
Majukumu ya Idara hiyo kama yaliyovyoanishwa kwenye Tovuti ya CCM ni pamoja na;
- Kushughulikia masuala ya msingi ya Itikadi na Sera za Chama Cha Mapinduzi.
- Kueneza na kufafanua Itikadi na Sera za CCM.
- Kupanga na kusimamia Mafunzo na Maandalizi ya Makada na Wanachama.
- Kusimamia Vyombo vya Habari vya Chama, Mawasiliano na Uhamasishaji wa Umma kwa Jumla.
- Kuongoza na kusimamia maandalizi ya Sera, Programu na Ilani za Uchaguzi za CCM.
- Kusimamia Utafiti, Maktaba na Nyaraka za Chama
Maybe!! But that is suicidalUsikute Majaliwa mwenyewe ndiye aliyeshauri na kuomba aongezewe msaidizi kutokana na kazi iliyokuwa ipo mbele yake
8. Kumwagiza waziri mkuu.Idara ya Itikadi na Uenezi ya CCM kwa sasa inaongozwa na aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.
Majukumu ya Idara hiyo kama yaliyovyoanishwa kwenye Tovuti ya CCM ni pamoja na;
- Kushughulikia masuala ya msingi ya Itikadi na Sera za Chama Cha Mapinduzi.
- Kueneza na kufafanua Itikadi na Sera za CCM.
- Kupanga na kusimamia Mafunzo na Maandalizi ya Makada na Wanachama.
- Kusimamia Vyombo vya Habari vya Chama, Mawasiliano na Uhamasishaji wa Umma kwa Jumla.
- Kuongoza na kusimamia maandalizi ya Sera, Programu na Ilani za Uchaguzi za CCM.
- Kusimamia Utafiti, Maktaba na Nyaraka za Chama
Wanajua kufanya Proper ganda ,wanaenda na wakatiCCM kweli ni chama imara na kinachojua propaganda. Leo kimemteua Makonda, hakuna tena cha Waraka wa TEC, wala DP WORLD, wala sijui maandamano ya Mwambukusi, wala Dk. Sla. Kila mtu sasa hivi Makonda na CCM. Kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mkishindwa eti mmeibiwa kura!!!
Tena wengine bado wanalipwa mishahara yao na mamaWanajua kufanya Proper ganda ,wanaenda na wakati
Magu alifanya mengi lakini alikuwa hayuko endelevu, hana mipango wala maono, alikuwa akiamini miujiza itendeke. Alikuwa amejifungia ndani kama kisiwa bila kujua fedha angeendelea kuipata wapi na atauza wapi bidhaa zake za viwanda na mazao. Mazao yalikuwa hayapiti kenya wala Zambia, korosho zilikosa wanunuzi, misaada ilikata, wafanyabiashara walikimbia, mabenki yalifilisika, watumishi walikuwa wakidai, makandarasi walikuwa wakidai, watoa huduma walikuwa wakidai, wanajeshi walikuwa hoi, ofisi za serikali zilikuwa hoi. Kweli Mungu ni fundi sana, hali ingekuwa mbaya mno mno mno mno. Nadhani stressess zilichangia kumuondoa mapema baba yetu.Ni walewale waliopumbazwa, hao wote wako sawa. Magu alikuwa hajui hata anaenda wapi
Makonda kaletwa maalumu kwaajili ya kazi maalumu tu, hasa kule kanda ya kati na ziwa. Hii inakwenda sambamba na uteuzi wa Mh. Dotto kuwa Naibu waziri Mkuu na kupitishwa bungeni kwa mafao ya wenza wa marais ili Mama Magufuli apate haki yake retrospectively.Atakipasua chama faster
Ni chama cha hovyo snMakonda kaletwa maalumu kwaajili ya kazi maalumu tu, hasa kule kanda ya kati na ziwa. Hii inakwenda sambamba na uteuzi wa Mh. Dotto kuwa Naibu waziri Mkuu na kupitishwa bungeni kwa mafao ya wenza wa marais ili Mama Magufuli apate haki yake retrospectively.
Huenda Kuna jambo kubwa sana nyuma ya pazia kuhusu Waziri Mkuu; baada ya Mh. JPM kuondoka sarakasi zilikuwa nyingi sana ndani na nje ya CCM.Usikute Majaliwa mwenyewe ndiye aliyeshauri na kuomba aongezewe msaidizi kutokana na kazi iliyokuwa ipo mbele yake
Wala hakuna kitu kama hicho...Makonda kaletwa maalumu kwaajili ya kazi maalumu tu, hasa kule kanda ya kati na ziwa. Hii inakwenda sambamba na uteuzi wa Mh. Dotto kuwa Naibu waziri Mkuu na kupitishwa bungeni kwa mafao ya wenza wa marais ili Mama Magufuli apate haki yake retrospectively.
sio cha hovyo bali walijifanyia self assessment na kukundua SWOC (strengths, weaknesses, Opportunities na challenges) zao kabla ya uchaguzi. Kazi hii ya kujifanyia tathimini ndiyo inayowaleta akina Makonda, Dotto na kuwanyooshea kidole akina Majaliwa Kasimu Majaliwa. Kazi hii ya Makonda kwa vyovyote vile ina baraka za mwenyekiti wa CCM ambae kwa vyovyote vile Majaliwa hakuwa chaguo lake.Ni chama cha hovyo sn