Kwa ambao hawajui, hizi ndizo kazi za Mwenezi wa CCM Taifa. Makonda anajua ana mtu nyuma yake aliyempa maelekezo maalum

Kwa ambao hawajui, hizi ndizo kazi za Mwenezi wa CCM Taifa. Makonda anajua ana mtu nyuma yake aliyempa maelekezo maalum

Hivi kutoa maagizo na kusisitiza ufuatiliaji nayo ni zero brain??

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Nimeshangaa sana unakuta mtu
Unapomuita mwenzio zero brain yan nashangaa.maana hata ukipita barabaran chiz pia huwa ana mahesab yake na inahitaji rocket science ya aina gani kusema unataka ufuatiliaji?
 
Idara ya Itikadi na Uenezi ya CCM kwa sasa inaongozwa na aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Majukumu ya Idara hiyo kama yaliyovyoanishwa kwenye Tovuti ya CCM ni pamoja na;
  • Kushughulikia masuala ya msingi ya Itikadi na Sera za Chama Cha Mapinduzi.
  • Kueneza na kufafanua Itikadi na Sera za CCM.
  • Kupanga na kusimamia Mafunzo na Maandalizi ya Makada na Wanachama.
  • Kusimamia Vyombo vya Habari vya Chama, Mawasiliano na Uhamasishaji wa Umma kwa Jumla.
  • Kuongoza na kusimamia maandalizi ya Sera, Programu na Ilani za Uchaguzi za CCM.
  • Kusimamia Utafiti, Maktaba na Nyaraka za Chama
Makonda ni nani ndani ya inchi hii? Mnampa sifa asizo stahili mda ni mwalim, Yajayo yanafurahisha cha msingi ni kwamba kabla yake taifa lilikuepo na chama chake kilikuepo, hakuna jipya chini ya Dunia
 
CCM kweli ni chama imara na kinachojua propaganda. Leo kimemteua Makonda, hakuna tena cha Waraka wa TEC, wala DP WORLD, wala sijui maandamano ya Mwambukusi, wala Dk. Sla. Kila mtu sasa hivi Makonda na CCM. Kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mkishindwa eti mmeibiwa kura!!!
Kwa tume ipi?
Uchaguzi wa serikali za mitaa unasimamiwa na nani??
 
Idara ya Itikadi na Uenezi ya CCM kwa sasa inaongozwa na aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Majukumu ya Idara hiyo kama yaliyovyoanishwa kwenye Tovuti ya CCM ni pamoja na;
  • Kushughulikia masuala ya msingi ya Itikadi na Sera za Chama Cha Mapinduzi.
  • Kueneza na kufafanua Itikadi na Sera za CCM.
  • Kupanga na kusimamia Mafunzo na Maandalizi ya Makada na Wanachama.
  • Kusimamia Vyombo vya Habari vya Chama, Mawasiliano na Uhamasishaji wa Umma kwa Jumla.
  • Kuongoza na kusimamia maandalizi ya Sera, Programu na Ilani za Uchaguzi za CCM.
  • Kusimamia Utafiti, Maktaba na Nyaraka za Chama
Bashite ataweza kweli kufanya hata kimoja hapo?
 
Idara ya Itikadi na Uenezi ya CCM kwa sasa inaongozwa na aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Majukumu ya Idara hiyo kama yaliyovyoanishwa kwenye Tovuti ya CCM ni pamoja na;
  • Kushughulikia masuala ya msingi ya Itikadi na Sera za Chama Cha Mapinduzi.
  • Kueneza na kufafanua Itikadi na Sera za CCM.
  • Kupanga na kusimamia Mafunzo na Maandalizi ya Makada na Wanachama.
  • Kusimamia Vyombo vya Habari vya Chama, Mawasiliano na Uhamasishaji wa Umma kwa Jumla.
  • Kuongoza na kusimamia maandalizi ya Sera, Programu na Ilani za Uchaguzi za CCM.
  • Kusimamia Utafiti, Maktaba na Nyaraka za Chama
8. Kumwagiza waziri mkuu.
9. Kuwakaripia wastaafu , wasiongee wala kubenua midomo yao.
 
CCM kweli ni chama imara na kinachojua propaganda. Leo kimemteua Makonda, hakuna tena cha Waraka wa TEC, wala DP WORLD, wala sijui maandamano ya Mwambukusi, wala Dk. Sla. Kila mtu sasa hivi Makonda na CCM. Kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mkishindwa eti mmeibiwa kura!!!
Wanajua kufanya Proper ganda ,wanaenda na wakati
 
Ni walewale waliopumbazwa, hao wote wako sawa. Magu alikuwa hajui hata anaenda wapi
Magu alifanya mengi lakini alikuwa hayuko endelevu, hana mipango wala maono, alikuwa akiamini miujiza itendeke. Alikuwa amejifungia ndani kama kisiwa bila kujua fedha angeendelea kuipata wapi na atauza wapi bidhaa zake za viwanda na mazao. Mazao yalikuwa hayapiti kenya wala Zambia, korosho zilikosa wanunuzi, misaada ilikata, wafanyabiashara walikimbia, mabenki yalifilisika, watumishi walikuwa wakidai, makandarasi walikuwa wakidai, watoa huduma walikuwa wakidai, wanajeshi walikuwa hoi, ofisi za serikali zilikuwa hoi. Kweli Mungu ni fundi sana, hali ingekuwa mbaya mno mno mno mno. Nadhani stressess zilichangia kumuondoa mapema baba yetu.
 
Makonda kaletwa maalumu kwaajili ya kazi maalumu tu, hasa kule kanda ya kati na ziwa. Hii inakwenda sambamba na uteuzi wa Mh. Dotto kuwa Naibu waziri Mkuu na kupitishwa bungeni kwa mafao ya wenza wa marais ili Mama Magufuli apate haki yake retrospectively.
Ni chama cha hovyo sn
 
Yule jamaa ni kama vile viledio vya kichina!!! Vina sauti mpaka mtaa wa tatu!!!
 
Usikute Majaliwa mwenyewe ndiye aliyeshauri na kuomba aongezewe msaidizi kutokana na kazi iliyokuwa ipo mbele yake
Huenda Kuna jambo kubwa sana nyuma ya pazia kuhusu Waziri Mkuu; baada ya Mh. JPM kuondoka sarakasi zilikuwa nyingi sana ndani na nje ya CCM.
 
Makonda kaletwa maalumu kwaajili ya kazi maalumu tu, hasa kule kanda ya kati na ziwa. Hii inakwenda sambamba na uteuzi wa Mh. Dotto kuwa Naibu waziri Mkuu na kupitishwa bungeni kwa mafao ya wenza wa marais ili Mama Magufuli apate haki yake retrospectively.
Wala hakuna kitu kama hicho...
 
Ni chama cha hovyo sn
sio cha hovyo bali walijifanyia self assessment na kukundua SWOC (strengths, weaknesses, Opportunities na challenges) zao kabla ya uchaguzi. Kazi hii ya kujifanyia tathimini ndiyo inayowaleta akina Makonda, Dotto na kuwanyooshea kidole akina Majaliwa Kasimu Majaliwa. Kazi hii ya Makonda kwa vyovyote vile ina baraka za mwenyekiti wa CCM ambae kwa vyovyote vile Majaliwa hakuwa chaguo lake.
 
Back
Top Bottom