Pre GE2025 Kwa anayoyaongea Lissu kuhusu uchaguzi, vyombo vya ulinzi na usalama vina machaguo matatu tu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Usisahau huko kwenyewe kumejaa makada na wanachama watiifu wa ccm hakuna chochote watafanya zaidi ya kufuata maagizo ya kulinda maslahi ya chama chao
 
Umeandika uharo, sidhani kama haya ni maandishi yako!. Upo sawa mkuu?
 
Tanzania kwanza.
Tanzania kwanza.
Tanzania kwanza.
Watu watapita, Tanzania itaendelea kuwepo.
Mungu Ibarki Tanzania.
 
..jeshi la wananchi, sio jeshi la serikali.

..wanapaswa kuwalinda na kuwatetea wananchi.
Kimsingi ndivyo inapaswa kuwa hivyo ila kwa sasa jeshi linaongozwa na kupokea maelekezo ya wanasiasa.

Amiri jeshi mkuu ni mwenyekiti wa chama, anamteua mkuu wa majeshi CDF anampa maelekezo na amri moja tu HAKIKISHA WALIO CHINI YAKO WANAKIPIGIA KURA CHAMA TAWALA.

Hapo ni wazi jeshi litakuwa upande wa chama tawala na sio wananchi kwa sababu wanalipwa na kula kutoka kwa serikali ya CCM.

Jeshini ukiwa mtu wa kuhoji au ujuaji mwingi wanakubambikia kesi kuwa umeasi kwa kusapoti upinzani.

Vijana wengi sasa jeshini wanapenda na kutamani mabadiliko na hawafurahii upumbavu unaofanywa na wanasiasa waovu wa nchi hii.

Hakika Anguko la CCM limeanza kuonekana wazi.
 
Watathubutu? Wakienda tu baada ya masaa 24 watakuwa under house arrest na hiyo Asali kupewa wanaotii amri. Wewe umezaliwa lini huwajui CCM?
 
Huna unalolijua nyamaza mwana walioko kwenye medani wamekaa kimya halafu lisu sio kamati ya vyombo vya uliznzi hana cha kuishauri wanafanya wanavyoona inafaa kwa msaada tu tafuta clip ya msemaji wahilo jeshi unalosema unaimani nalo kwa kumezeshwa na watu bila kuna na toungable evidences (JW) jamaa banality Ilonda alikua anahojiwa na EA radio akafafanua majukumu mama ya JW na ile dhana ya kua jeshi sio ajira halafu baada ya uchaguzi uzrudi hapa jamvini utakua umepata maana ya jeshi la wananchi mkishashiba miguu ya kuku mnambukizana ujinga
 
Umekubali hapo hapo umekaþaa jeshini hawakumbatii ahadi hewa wanaishi na hali joto iliopo
 
Hapa Kuna kesi nzuri ya uchochezi unaoelekea kwenye uhaini!

Vyombo vya dola viache kulinda serikali iliyopo vigeuke upinzani kudai kinachoitwa katiba! Huu ni uhaini!

BTW, katiba mpya haina faida yeyote kwa wananchi wa kawaida zaidi ya wanasiasa wanaotamani kupata madaraka na ajira kwa ndugu na marafiki zao!
 
  1. Vyombo vya ulinzi na usalama viungane na Tundu Lisu kudai mabadiliko ya Katiba yatakayoruhusu chaguzi zetu kuwa huru na haki ili kuepusha machafuko.
Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vikifanya haya, vitajenga imani kwa wananch
Sio tu imani kwa wananchi.

Vitakuwa vimeliokoa Taifa kutoka kwenye kuharibika na kupotea kabisa. Maana CCM wameshalinajisi hili taifa kutokana na kukithiri kwa Rushwa, Ujinga na Uchawa.
 
Amiri jeshi mkuu ni mwenyekiti wa chama, anamteua mkuu wa majeshi CDF anampa maelekezo na amri moja tu HAKIKISHA WALIO CHINI YAKO WANAKIPIGIA KURA CHAMA TAWALA.

Hapo ni wazi jeshi litakuwa upande wa chama
Chadema mna vitu vya kijinga vingi mno taja nchi moja tu duniani ambayo mkuu wa majeshi huwa hateuliwi na Raisi
 
Mbona unaharisha badala ya kujibu hoja ? Unaonekana umechanganyikiwa wewe naamua kukupuuza kwani hoja imekuzidi kimo.
 
Hujui kuwa Mamlaka ya uongozi yanatakiwa kutoka kwa wananchi? Kwa Hali ya sasa mamlaka hayo yanatoka kwa mwenyekiti wa ccm, akiamua nani awe kiongozi anakuwa, na akiamua nani asiwe kiongozi hupati uongozi hata kama wananchi watakuchagua. Huoni hili ni tatizo?
 
Muda utasema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…