Kwa bandiko la Joti Twitter na maoni ya raia, hii ndiyo nyimbo iliyotamba Tanzania ya muda wote

Kwa bandiko la Joti Twitter na maoni ya raia, hii ndiyo nyimbo iliyotamba Tanzania ya muda wote

Wimbo ulio hit kuliko wote Tanzania..

Ni number 1 remix - Diamond plutnumz ft Davido.

Huu wimbo ulipendwa na kila mtu na umebadilisha maisha ya watu wengi sana Tanzania. Wa kwanza akiwa Diamond plutnumz mwenyewe..

bila huu wimbo watu kibao wasingepata ajira.

Bila huu wimbo Zuchu angekuwa anauza duka na kumsaidia mama yake kuimba taarabu

Ruge mutahaba na mapromota kibao wa bongo fleva wasingenyooosha mikono kwa wasanii ..

Bila huu wimbo Harmonize angekuwa mtwara analima korosho

Bila huo wimbo Rey vanny angekuwa stand uyole anauza maparachichi

Bila huo wimbo Babu tale asingeenda bungeni.. angekuwa manzese anakimbizana na kina tunda na madee wapi wakapige show za kiingilio bia


Number 1 remix ni wimbo ulioigusa industry ya bongo fleva yoteee
Nilijua ni sinza pazuri 🤣🤣🤣
 
Wimbo ku hit maana yake ni kutengeneza pesa .

Pesa ambazo wimbo umeingiza kwa jumla ndio kipimo cha hit song

Niambie wimbo gani Tanzania umeingiza hela nyingi ghafla na kubadilisha maisha ya game la bongo fleva.

Number one remix imegusa kila upande wa bongo fleva.. na kuleta changes kwa industry nzima..

Huu wimbo uliwafanya mabingwa wa fitna wa game la bongo fleva clouds fm wanyooshe mikono juu ..
Sahihi...Number one
 
Kuku kapanda Baiskeli - Mr nice

Kikulacho - Mr Nice

Mikasi - Mangwair

Nikusaidieje - Professor Jay

Hizi nyimbo Kama hujazitaja nakuomba kabisa futa hiyo orodha haraka Sana
 
Kiufupi Joti amesema nyimbo zilizotesa sana B.Fleva Tanzania ni Kwangaru, Hakunaga, Starehe, Sinderela etc, bila mpangilio maalumu.

Ila kiukweli kabisa wimbo uliotamba Tanzania namba moja kabisa ni Starehe wa Feruzi akiwa na Prof Jay. Zipo nyingine zilitamba lakini hapa tunafunga mjadala.

The Greatest Hit Song of all time in TANZANIA is STAREHE by Feruzi.
List imekosa credibility kwa kukosekana wimbo wa MZIKI

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Yaani hakuna wimbo wowote wa MB Dog, Mr Nice wala Saida Karoli (Huyu mama wimbo wake upo kama background track ktk movie ya Hollywood)?
 
Wimbo ku hit maana yake ni kutengeneza pesa .

Pesa ambazo wimbo umeingiza kwa jumla ndio kipimo cha hit song

Niambie wimbo gani Tanzania umeingiza hela nyingi ghafla na kubadilisha maisha ya game la bongo fleva.

Number one remix imegusa kila upande wa bongo fleva.. na kuleta changes kwa industry nzima..

Huu wimbo uliwafanya mabingwa wa fitna wa game la bongo fleva clouds fm wanyooshe mikono juu ..
Mkuu samahani, ni Bange au akili zako timamu.?

Yaani wimbo kuhit maana yake ni kutengeneza ela.???

Unaelewa maana ya neno hit.?

Alafu mbona huo Number one rmx sio hit song kwa nyimbo za Mondi.?

Unaukumbuka Mbagala.? Ule ndiyo ulihit, si watoto, si vijana, si wababa, si wamama, si wazee wote waliuimba na kuupenda,.. Ulikuwa yeboyebo, hiyo ndiyo maana ya hit song...

Wimbo wa Mikasi wa Ngwair haujaingiza ela pesa zaidi ya wimbo wowote pale WCB lakini ulihit kuliko Nyimbo zote za WCB tena enzi hizo hamna Insta, Tiktok, Fb, Jf, Snapchat na Youtube...

Nenda hata kijijini leo hii tafuta watu waambie wakuimbie huo Number one Rmx au hizi hapa chini uone...

1.STAREHE
2.MUGAMBO
3.KIDALI POO + FAGILIA(MR.NICE)
4.MUZIKI(DARASA)
5.MIKASI
6.HABARI NDO HIYO(FA & AY)
7.DHAHABU
8.MBAGALA
9.CINDERELA
10.HAKUNAGA
11.HAKUNA KULALA
12.NYUMBANI NI NYUMBANI(T.M.K)
13.KWANGWARUU
14.LEO(EAST COST)
15.NIITE BASI
16.NA WEWE TU(2 BERRY)
17.SI ULINAMBIA(MB DOG)
18.VAILET(MATONYA)
19.CHAMBUA KAMA KARANGA
20.JINI(Z ANTO)
21.DINGI (MAN DOJO & DOMO KAYA)
22.USIULIZE(RADO) + AUGUST 13(FID Q)..


> The list goes on, lakini Number one rmx haiingii hapo hata kidogo..
 
Taja wimbo gani umegusa industry yote.

Diamond ana pesa kuliko wasanii wote mnaowataja taja.. sababu kubwa ilianzia kwa huu wimbo.

Alianza kualikwa show kubwa kubwa za nje ya nchi sababu ya wimbo wa number 1 remix ( enzi hizo diamond kwenye show za nje anaimba wimbo huo mmoja peke yake , haimbi mbagala wala ukimuona maana nje watu hawazijui..

Nakuwekea link ya video uone anavyowachezesha kwenye MTV awards

Kwa miaka hiyo hakuna msanii wa bongo alietoa wimbo ulioweza kufanya hivyo toka bongo fleva inaanzishwa.. nyimbo zilikuwa zinaishia mikoani tu kidogoo na kenya

Niwekee video ya wimbo wowote wa bongo fleva uliowahi kuimbwa kwenye show kubwa nje ya nchi kama MTV awards na mashabiki wakawa wanaimba na ku vibe kama hivyo.

Hizo mikasi, starehe hazikufika kuhit hata nchi jirani kama uganda na rwanda . ( weka ushahidi watu waki vibe cheza na kuimba mikasi nje ya nchi)

Ndio maana kina ngwea kafa mali alizoacha ni kitanda na vitu kazaa vya gheto.

Utoe hit song kubwaa halafu ishindwe kukuingizia helaaa ya kubadilisha maisha yako.. hiyo ni hit song ama magumashi..

Mziki ni hela. Wimbo unaoleta hela nyingi ndio hit song
Tunazungumzia nyakati tofauti mkuu, starehe umetoka 2004, huo mwingine nadhani ni 2014 au 2015 sina uhakika.

Ila bado kwa nyakati zile starehe ilibamba sana kulinganisha na hiyo number one kwa nyakati hizi
 
Wimbo ulio hit kuliko wote Tanzania..

Ni number 1 remix - Diamond plutnumz ft Davido.

Huu wimbo ulipendwa na kila mtu na umebadilisha maisha ya watu wengi sana Tanzania. Wa kwanza akiwa Diamond plutnumz mwenyewe..

bila huu wimbo watu kibao wasingepata ajira.

Bila huu wimbo Zuchu angekuwa anauza duka na kumsaidia mama yake kuimba taarabu

Ruge mutahaba na mapromota kibao wa bongo fleva wasingenyooosha mikono kwa wasanii ..

Bila huu wimbo Harmonize angekuwa mtwara analima korosho

Bila huo wimbo Rey vanny angekuwa stand uyole anauza maparachichi

Bila huo wimbo Babu tale asingekanyaga kabisa bungeni.. angekuwa manzese anakimbizana na kina tundaman na madee na mipango mingiii wapi wakapige show za kiingilio bia


Number 1 remix ni wimbo ulioigusa industry ya bongo fleva yoteee
Kwanza inabidi uelewe pindi hizo nyimbo zoote zinatoka hapakuwa na platform kubwa kama sasa hivi.Mitandao ya kijamii na matumizi ya smartphone yangekuwepo kama sasa hivi, amini hao wasanii wetu wangekuwa mbali sana. By the way kila zama na zama zake. Sisi wakongwe hutuambii kitu kuhusu old bongo flavour.
 
Mkuu samahani, ni Bange au akili zako timamu.?

Yaani wimbo kuhit maana yake ni kutengeneza ela.???

Unaelewa maana ya neno hit.?

Alafu mbona huo Number one rmx sio hit song kwa nyimbo za Mondi.?

Unaukumbuka Mbagala.? Ule ndiyo ulihit, si watoto, si vijana, si wababa, si wamama, si wazee wote waliuimba na kuupenda,.. Ulikuwa yeboyebo, hiyo ndiyo maana ya hit song...

Wimbo wa Mikasi wa Ngwair haujaingiza ela pesa zaidi ya wimbo wowote pale WCB lakini ulihit kuliko Nyimbo zote za WCB tena enzi hizo hamna Insta, Tiktok, Fb, Jf, Snapchat na Youtube...

Nenda hata kijijini leo hii tafuta watu waambie wakuimbie huo Number one Rmx au hizi hapa chini uone...

1.STAREHE
2.MUGAMBO
3.KIDALI POO + FAGILIA(MR.NICE)
4.MUZIKI(DARASA)
5.MIKASI
6.HABARI NDO HIYO(FA & AY)
7.DHAHABU
8.MBAGALA
9.CINDERELA
10.HAKUNAGA
11.HAKUNA KULALA
12.NYUMBANI NI NYUMBANI(T.M.K)
13.KWANGWARUU
14.LEO(EAST COST)
15.NIITE BASI
16.NA WEWE TU(2 BERRY)
17.SI ULINAMBIA(MB DOG)
18.VAILET(MATONYA)
19.CHAMBUA KAMA KARANGA
20.JINI(Z ANTO)
21.DINGI (MAN DOJO & DOMO KAYA)
22.USIULIZE(RADO) + AUGUST 13(FID Q)..


The list goes on, lakini Number one rmx haiingii hapo hata kidogo..
Umeua
 
Back
Top Bottom