Kwa bandiko la Joti Twitter na maoni ya raia, hii ndiyo nyimbo iliyotamba Tanzania ya muda wote

Kwa bandiko la Joti Twitter na maoni ya raia, hii ndiyo nyimbo iliyotamba Tanzania ya muda wote

Ukuongelea mada hii hakuna wimbo hata mmoja wa wcb unakuwepo kwenye 3 all time greatest song, mi pia wcb
Hayo ni mawazo yako binafsi ambayo hayaakisi uhalisia,majority ndiyo ishara ya kitu kukubalika.
Angalia likes za post unayoipinga na likes za post yako, usilazimishe ukipendacho wewe kuwa ndiyo kinapendwa/kinakubalika na wengi.
Kila mtu ana choices zake lakini choices za wengi ndiyo zinakuwa na uzito zaidi.
Umetajiwa wimbo uliokuwa na impact na ukaleta mapinduzi makubwa katika industry ya Bongo Flavor bado unalazimisha kuwa unazidiwa na nyimbo ambazo most of them literally hazijaweka alama, hazina impact katika industry na wala hazikufanya mageuzi yoyote tangible unayoweza kuyaelezea hapa zaidi ya kuzisifia tu, too much blah blahs.
 
Kiufupi Joti amesema nyimbo zilizotesa sana B.Fleva Tanzania ni Kwangaru, Hakunaga, Starehe, Sinderela etc, bila mpangilio maalumu.

Ila kiukweli kabisa wimbo uliotamba Tanzania namba moja kabisa ni Starehe wa Feruzi akiwa na Prof Jay. Zipo nyingine zilitamba lakini hapa tunafunga mjadala.

The Greatest Hit Song of all time in TANZANIA is STAREHE by Feruzi.
Na ndiyo bongo fleva iliyo na ujumbe kwa dunia njema......hebu waza wimbo wa UKIMWI uliopigwa baani na guest...
 
Kiufupi Joti amesema nyimbo zilizotesa sana B.Fleva Tanzania ni Kwangaru, Hakunaga, Starehe, Sinderela etc, bila mpangilio maalumu.

Ila kiukweli kabisa wimbo uliotamba Tanzania namba moja kabisa ni Starehe wa Feruzi akiwa na Prof Jay. Zipo nyingine zilitamba lakini hapa tunafunga mjadala.

The Greatest Hit Song of all time in TANZANIA is STAREHE by Feruzi.
Mume bwenge ile ya bushoke nayo ilitamba. Pia Cinderella ilitamba saana.
 
Yale ni maoni yake binafsi mwenyewe Joti,unaweka ukashagaa kesho mpoki akasema Mapepe- Kingwendu ndio nyimbo kali ya mda wote, so huwezi mbishia kwani ni maoni yake binafsi.

Kwangu mimi binafsi nyimbo bora kwa mda wote.
1.Ferooz-Starehe.
2.Bongo Dar-es-Salaam-Prof.
3.Nikusaidieje-Prof.
4.Hakuna Kulala-Juma Nature.
5.Chid Benzi- Dar-es-Salaam Stand up.

Ila ukija kwenye level za International, nyimbo zilizo fanikiwa ktk level za international,mpaka kukompete kwenye nafasi za juu MTV,Sportfy, Apple nk.

1.Number 1 rmx-Mond.
2.Navy ft Mdee-Game.
3.Nana-Mondi.
4.Mondi-Inama ft Fally Ipupa.
5.Navy-Kamatia Chini.

Japo nyimbo ya kwanza kushika nafasi ya kwanza ktk chati ya kila wiki za MTV ilikuwa ni Nusu nusu ya Joh Makini.
Hizo ngoma ulizowweka hapo juu kina nature ni hakuna Spotify, hakun. A YouTube wala nini, haziwezi kuhit kimataifa.

Tuangalie hapa ndani mapokezi yake yalikuwaje.
 
Ngoma za zamani nyingi saana zilikuwa balaa, ngoma ikipigwa leo mzuka wake bado uko juu, ngoma za sasa yamechagizwa saana na maendeleo ya kiteknolojia.
YouTube, apple, sijui Spotify na bado msanii anaweza kufanyia ngoma yake promotion, analipia YouTube inakuwa kwenye matangazo.
Tuheshimu kizazi kilichopita kwwa burudani waliyotupa.
Na kizazi hiki kipongezwe kivyake.

Ukilinganisha kisa wimbo kuingiza hela iyena iyena ya diamon unaweza kuwa umeingiza pesa kuliko mikasi sasa utasema mikasi ngoma mbovu?

Au ngoma ya rayvanny imeingiza mpunga kuliko dance wit me au hakuna kulala..

Vijana wanatumia fursa pongezi kwao, ngoma za zamani nyingi zinaishi kuliko sasa, siku hizi ni ngoma chhache saana ambazo ni za muda mrefu.
 
Back
Top Bottom