List kama haina Mwana Fa inakuwa haijakamilika.kwangu mm
1.kidato kimoja wa Ji
2.marlaw pipii song
3.sinderela -alikiba
4.hakunaga-sumalee
5.mr nice -fagilia bongo
6.zali la mentali-profesa j
7.Tid-zeze
Nilijua ni sinza pazuri 🤣🤣🤣Wimbo ulio hit kuliko wote Tanzania..
Ni number 1 remix - Diamond plutnumz ft Davido.
Huu wimbo ulipendwa na kila mtu na umebadilisha maisha ya watu wengi sana Tanzania. Wa kwanza akiwa Diamond plutnumz mwenyewe..
bila huu wimbo watu kibao wasingepata ajira.
Bila huu wimbo Zuchu angekuwa anauza duka na kumsaidia mama yake kuimba taarabu
Ruge mutahaba na mapromota kibao wa bongo fleva wasingenyooosha mikono kwa wasanii ..
Bila huu wimbo Harmonize angekuwa mtwara analima korosho
Bila huo wimbo Rey vanny angekuwa stand uyole anauza maparachichi
Bila huo wimbo Babu tale asingeenda bungeni.. angekuwa manzese anakimbizana na kina tunda na madee wapi wakapige show za kiingilio bia
Number 1 remix ni wimbo ulioigusa industry ya bongo fleva yoteee
Profesa jay yu hali gani wakuu?1. Starehe
2.muziki
3.hakunaga
4.kwangaru
5. Ndio mzee
6. Mtoto idi
Sahihi...Number oneWimbo ku hit maana yake ni kutengeneza pesa .
Pesa ambazo wimbo umeingiza kwa jumla ndio kipimo cha hit song
Niambie wimbo gani Tanzania umeingiza hela nyingi ghafla na kubadilisha maisha ya game la bongo fleva.
Number one remix imegusa kila upande wa bongo fleva.. na kuleta changes kwa industry nzima..
Huu wimbo uliwafanya mabingwa wa fitna wa game la bongo fleva clouds fm wanyooshe mikono juu ..
Kama hakuna wimbo wowote WA Mr nice hiyo orodha ni feki tena feki haswaa1. Starehe
2.muziki
3.hakunaga
4.kwangaru
5. Ndio mzee
6. Mtoto idi
Naaaaaaaaaaaaamkwangu mm
1.kidato kimoja wa Ji
2.marlaw pipii song
3.sinderela -alikiba
4.hakunaga-sumalee
5.mr nice -fagilia bongo
6.zali la mentali-profesa j
7.Tid-zeze
Naaaaaaaaaaaaam
List imekosa credibility kwa kukosekana wimbo wa MZIKIKiufupi Joti amesema nyimbo zilizotesa sana B.Fleva Tanzania ni Kwangaru, Hakunaga, Starehe, Sinderela etc, bila mpangilio maalumu.
Ila kiukweli kabisa wimbo uliotamba Tanzania namba moja kabisa ni Starehe wa Feruzi akiwa na Prof Jay. Zipo nyingine zilitamba lakini hapa tunafunga mjadala.
The Greatest Hit Song of all time in TANZANIA is STAREHE by Feruzi.
Mkuu samahani, ni Bange au akili zako timamu.?Wimbo ku hit maana yake ni kutengeneza pesa .
Pesa ambazo wimbo umeingiza kwa jumla ndio kipimo cha hit song
Niambie wimbo gani Tanzania umeingiza hela nyingi ghafla na kubadilisha maisha ya game la bongo fleva.
Number one remix imegusa kila upande wa bongo fleva.. na kuleta changes kwa industry nzima..
Huu wimbo uliwafanya mabingwa wa fitna wa game la bongo fleva clouds fm wanyooshe mikono juu ..
Tunazungumzia nyakati tofauti mkuu, starehe umetoka 2004, huo mwingine nadhani ni 2014 au 2015 sina uhakika.Taja wimbo gani umegusa industry yote.
Diamond ana pesa kuliko wasanii wote mnaowataja taja.. sababu kubwa ilianzia kwa huu wimbo.
Alianza kualikwa show kubwa kubwa za nje ya nchi sababu ya wimbo wa number 1 remix ( enzi hizo diamond kwenye show za nje anaimba wimbo huo mmoja peke yake , haimbi mbagala wala ukimuona maana nje watu hawazijui..
Nakuwekea link ya video uone anavyowachezesha kwenye MTV awards
Kwa miaka hiyo hakuna msanii wa bongo alietoa wimbo ulioweza kufanya hivyo toka bongo fleva inaanzishwa.. nyimbo zilikuwa zinaishia mikoani tu kidogoo na kenya
Niwekee video ya wimbo wowote wa bongo fleva uliowahi kuimbwa kwenye show kubwa nje ya nchi kama MTV awards na mashabiki wakawa wanaimba na ku vibe kama hivyo.
Hizo mikasi, starehe hazikufika kuhit hata nchi jirani kama uganda na rwanda . ( weka ushahidi watu waki vibe cheza na kuimba mikasi nje ya nchi)
Ndio maana kina ngwea kafa mali alizoacha ni kitanda na vitu kazaa vya gheto.
Utoe hit song kubwaa halafu ishindwe kukuingizia helaaa ya kubadilisha maisha yako.. hiyo ni hit song ama magumashi..
Mziki ni hela. Wimbo unaoleta hela nyingi ndio hit song
Kwenye hii listi yako sijaona wimbo wa Vanessa Mdee mkuu whilst she had a lot of hits songs those days.1.Number 1 rmx-Mond.
2.Navy ft Mdee-Game.
3.Nana-Mondi.
4.Mondi-Inama ft Fally Ipupa.
5.Navy-Kamatia Chini.
Pia hakuna ngoma hata moja ya Juma nature aka Kiroboto. hii list ya joti ni ya kijinga sana.Yaani hakuna wimbo wowote wa MB Dog, Mr Nice wala Saida Karoli (Huyu mama wimbo wake upo kama background track ktk movie ya Hollywood)?
Anazo ila hizo zilikiwa zinapewa rotation kubwa sana na MTV.Kwenye hii listi yako sijaona wimbo wa Vanessa Mdee mkuu whilst she had a lot of hits songs those days.
Kwanza inabidi uelewe pindi hizo nyimbo zoote zinatoka hapakuwa na platform kubwa kama sasa hivi.Mitandao ya kijamii na matumizi ya smartphone yangekuwepo kama sasa hivi, amini hao wasanii wetu wangekuwa mbali sana. By the way kila zama na zama zake. Sisi wakongwe hutuambii kitu kuhusu old bongo flavour.Wimbo ulio hit kuliko wote Tanzania..
Ni number 1 remix - Diamond plutnumz ft Davido.
Huu wimbo ulipendwa na kila mtu na umebadilisha maisha ya watu wengi sana Tanzania. Wa kwanza akiwa Diamond plutnumz mwenyewe..
bila huu wimbo watu kibao wasingepata ajira.
Bila huu wimbo Zuchu angekuwa anauza duka na kumsaidia mama yake kuimba taarabu
Ruge mutahaba na mapromota kibao wa bongo fleva wasingenyooosha mikono kwa wasanii ..
Bila huu wimbo Harmonize angekuwa mtwara analima korosho
Bila huo wimbo Rey vanny angekuwa stand uyole anauza maparachichi
Bila huo wimbo Babu tale asingekanyaga kabisa bungeni.. angekuwa manzese anakimbizana na kina tundaman na madee na mipango mingiii wapi wakapige show za kiingilio bia
Number 1 remix ni wimbo ulioigusa industry ya bongo fleva yoteee
Mkuu samahani, ni Bange au akili zako timamu.?
Yaani wimbo kuhit maana yake ni kutengeneza ela.???
Unaelewa maana ya neno hit.?
Alafu mbona huo Number one rmx sio hit song kwa nyimbo za Mondi.?
Unaukumbuka Mbagala.? Ule ndiyo ulihit, si watoto, si vijana, si wababa, si wamama, si wazee wote waliuimba na kuupenda,.. Ulikuwa yeboyebo, hiyo ndiyo maana ya hit song...
Wimbo wa Mikasi wa Ngwair haujaingiza ela pesa zaidi ya wimbo wowote pale WCB lakini ulihit kuliko Nyimbo zote za WCB tena enzi hizo hamna Insta, Tiktok, Fb, Jf, Snapchat na Youtube...
Nenda hata kijijini leo hii tafuta watu waambie wakuimbie huo Number one Rmx au hizi hapa chini uone...
1.STAREHE
2.MUGAMBO
3.KIDALI POO + FAGILIA(MR.NICE)
4.MUZIKI(DARASA)
5.MIKASI
6.HABARI NDO HIYO(FA & AY)
7.DHAHABU
8.MBAGALA
9.CINDERELA
10.HAKUNAGA
11.HAKUNA KULALA
12.NYUMBANI NI NYUMBANI(T.M.K)
13.KWANGWARUU
14.LEO(EAST COST)
15.NIITE BASI
16.NA WEWE TU(2 BERRY)
17.SI ULINAMBIA(MB DOG)
18.VAILET(MATONYA)
19.CHAMBUA KAMA KARANGA
20.JINI(Z ANTO)
21.DINGI (MAN DOJO & DOMO KAYA)
22.USIULIZE(RADO) + AUGUST 13(FID Q)..
UmeuaThe list goes on, lakini Number one rmx haiingii hapo hata kidogo..