Kwa CCM kuingiza siasa kwenye taifa stars, dua langu ni kesho tuaibishwe na Morocco

Kesho tunakula nyingi tu zisizopungua Tano
 
Hata Mungu anakaa mbali na haya maombi.... Hatuna timu ya kumfunga Morroco.....
 
Mpira sio mchezo wa kukariri hata siku moja.
Utaumia Bure kama Simba walivyoingia na matokeo Yao.... Hatuna timu ya kumfunga Morroco labda tuzuie tu kama Algeria.....na tushukuru tu Algeria naye alikuwa ameshapita ....Hawa ndio tunaanza nao mbio .... Tutagongeshwa hutoamini....
 
Btw hiyo dua unaomba kwa nani?
dua unaomba kwa nani
 
Tunapigwa kama Ngoma kesho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…