Michezo ni burudani tu hata hiyo kesho wataoenda wataenda km kuangalia burudani tu ila sio kwenda kushinda hatuwezi kuwafunga hata kusuluhu na hao Morocco viwango vyao ni vikubwa sana.Inabidi viongozi wa CCM wajue kuwa Tanzania ni nchi yenye vyama vingi vya siasa, iache kuvamia kila tukio la kitaifa kuwa la CCM.
Kitendo cha kuingiza kampeni za uchaguzi 2025 kwenye kutafuta nafasi ya Kombe la Dunia 2026, sisi tusioiunga mkono CCM tutaanza kufunga na kuomba dua ili tufungwe katika michezo iliyobaki kuanzia kesho, amina.
Hukumsikia Msigwa?Michezo ni burudani tu hata hiyo kesho wataoenda wataenda km kuangalia burudani tu ila sio kwenda kushinda hatuwezi kuwafunga hata kusuluhu na hao Morocco viwango vyao ni vikubwa sana.
Kila sekta serikali Inapambana kuleta hali bora zaidi kuanzia maji mpaka afya.Hizo story ilikuwa zamani, kwenye chaguzi tunaona kinachoendelea Wala sio Siri tena. Ccm inaigiza kufanya siasa kwa sababu kinapata upendeleo wa Dola kufanya siasa. Lakini uhayawani unaoendelea kwenye chaguzi zetu, haukipi jeuri ccm kuwa inakubalika hivyo. Na kadiri uchaguzi unavyotokea kuheshimiwa, ndio ccm inavyopoteza uwakilishi wake.
Ndio maana tunataka tume huru ya uchaguzi, ambayo itaweka uhalisia wa ccm kukubalika kwake. Na kwakuwa ccm inajua ukweli huo haiko tayari kwa tume huru ya uchaguzi, Wala katiba halisi ya wananchi. Machafuko tu ama mapinduzi ya kijeshi ndio yataionyesha ccm Iko mazingira gani hapa nchini.
Kwenye wajinga uzalendo unahitajika zaidi kuliko kwenye Taifa la werevu. Negativity haiwasaidii chochote.Uzalendo kwenye taifa la wajinga
Mpira ni mbinu kaka. Ni mchezo unaofundishwa na makocha wanaosomea kazi zao.Ni kombe la Dunia Hilo sio la Shafii Dauda.....
😊🤣 Wewe unacheza namba ngapi??Angola walicheza kombe la dunia mwaka 2006 waliweza kwanini na sisi tushindwe kwanini.
Hawa kina Objective football..... Si ni Leo tu kaka .....Mpira ni mbinu kaka. Ni mchezo unaofundishwa na makocha wanaosomea kazi zao.
Sisi mashabiki wao tunafurahia sana namna wanavyoshindana wakiwa humu ndani.Hao huwa wanajigawa wenyewe hakuna mtanzania anayehusika hapo.
Namba 12 nyuma ya kipa.😊🤣 Wewe unacheza namba ngapi??
Simba tumezingua na siku zote tunazingua sana makocha. Stars ipo tofauti kabisa na Simba.Hawa kina Objective football..... Si ni Leo tu kaka .....
Tuwemo ....... Tutakumbushana hapa ....Simba tumezingua na siku zote tunazingua sana makocha. Stars ipo tofauti kabisa na Simba.
Mkuu bare in mind,Namba 12 nyuma ya kipa.
Walitoka Zanzibar na Basi mpaka Uganda??ccm ndio zao ndio yale ya madogo wa Zanzibar u15 kukamatishwa mabango ya chama baada ya kuchukua kombe na wakati wa kwenda uganda waliwapeleka kwa mabasi
Huo ni wajibu wa serekali yoyote sio hisani. Tusichotataka ni kutawaliwa na ccm kwa shuruti. Kwani lazima mkae nyie madarakani wakati watu tumewachoka?Kila sekta serikali Inapambana kuleta hali bora zaidi kuanzia maji mpaka afya.
Zahanati zinajengwa Kila mahali viwanja vya ndege vinajengwa kila mahali elimu unashughulikiwa kila mkoa,
Umeme unasambaa kwa kasi ya radi, madaraja na reli zinaendelea kujengwa kila kanda ya Tanzania.
Chungeni sana, mnazeeka na vinyongo pamoja na chuki vitu ambavyo haviwasaidii.
Chawa mkubwaKwenye wajinga uzalendo unahitajika zaidi kuliko kwenye Taifa la werevu. Negativity haiwasaidii chochote
Pambaneni mpate ridhaa halali ya wananchi sio kulialia humu JF. Na uongozi wa CDM hauna usafi wowote na pia mwenyekiti Mbowe ni tawi la usalama wa taifa hivyo hao mnaowaamini kuwa ni viongozi wa kuiondoa CCM ikulu ni matawi tu ya chama kinachodaiwa kuchokwa na wananchi. Ni masuala magumu kuliko tunavyoyachukulia.Huo ni wajibu wa serekali yoyote sio hisani. Tusichotataka ni kutawaliwa na ccm kwa shuruti. Kwani lazima mkae nyie madarakani wakati watu tumewachoka?
MATAGA na wao walikuwa vyawa wakubwa, bahati mbaya boss akaaga dunia. Siasa za hasira haziwasaidii.Chawa mkubwa