Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Mpira unaochezwa uwanjani sio sawa na ule wa playstation, pia punguzeni kujidharau mnaifanya kazi ya kutawaliwa na wazungu inakuwa nyepesi sana.Mkuu bare in mind,
hauna timu ya kuisumbua morocco Kwa stars ipi๐๐
2013 ulikuwa na miaka mingapi?, tuliwafunga Morocco 3-1 hapa hapa uwanja wa taifa team ya kina Sure Boy, Amri Kiemba, Samatta na Mwinyi Kazimoto.Tuwemo ....... Tutakumbushana hapa ....
Nani amekuambia ana Imani na Mbowe? Hiyo ya kupambana kupata uhalali wa wananchi tulishavuka, Sasa hivi tuko kwenye hatua ya jinsi ya kupambana na majizi yajiitayo system, huku yakiwa yanashirikiana na ccm kubaki madarakani kwa shuruti.Pambaneni mpate ridhaa halali ya wananchi sio kulialia humu JF. Na uongozi wa CDM hauna usafi wowote na pia mwenyekiti Mbowe ni tawi la usalama wa taifa hivyo hao mnaowaamini kuwa ni viongozi wa kuiondoa CCM ikulu ni matawi tu ya chama kinachodaiwa kuchokwa na wananchi. Ni masuala magumu kuliko tunavyoyachukulia.
.... Nilikuwa kazini .... kazini mwaka wa 5 ...jiongeze Sasa ...... Sasa nina early 40's....2013 ulikuwa na miaka mingapi?, tuliwafunga Morocco 3-1 hapa hapa uwanja wa taifa team ya kina Sure Boy, Amri Kiemba, Samatta na Mwinyi Kazimoto.
Morocco wamebadilika sana kumbuka mpira wao upo juu sana na wanakwenda kucheza ulaya kama sisi tunavyokwenda sokoni pale kinondoni kununua vitunguu na nyanya.
Kumbe maafisa wa usalama wa taifa hawaheshimiwi.Yaani huyo Mbowe licha ya kuwa usalama wa taifa bado akasingiziwa kesi ya ugaidi kwamba amepanga kukata miti kuanzia Dar mpaka Mbeya ili kuzuia barabara magari yasipite!Nchi hii kuna vitukoPambaneni mpate ridhaa halali ya wananchi sio kulialia humu JF. Na uongozi wa CDM hauna usafi wowote na pia mwenyekiti Mbowe ni tawi la usalama wa taifa hivyo hao mnaowaamini kuwa ni viongozi wa kuiondoa CCM ikulu ni matawi tu ya chama kinachodaiwa kuchokwa na wananchi. Ni masuala magumu kuliko tunavyoyachukulia.
Ni kheri tutawaliwe na hao wenye bidii ya kuboresha maendeleo kuliko kutawaliwa na hawa wana ccm wenye bidii ya kuotesha vitambi na kupasiana madaraka huku wakijilimbikizia mali na kuzihifadhi huko huko kwa wazungu.mnaifanya kazi ya kutawaliwa na wazungu inakuwa nyepesi sana.
Naomba matokeo....muachage ubishi wa uccm na Chadema katika SOKA ..Soka ni mchezo wa wazi....naomba matokeo....Mpira unaochezwa uwanjani sio sawa na ule wa playstation, pia punguzeni kujidharau mnaifanya kazi ya kutawaliwa na wazungu inakuwa nyepesi sana.
Mkuu;Mpira unaochezwa uwanjani sio sawa na ule wa playstation, pia punguzeni kujidharau mnaifanya kazi ya kutawaliwa na wazungu inakuwa nyepesi sana.
Kila la heri WazalendoInabidi viongozi wa CCM wajue kuwa Tanzania ni nchi yenye vyama vingi vya siasa, iache kuvamia kila tukio la kitaifa kuwa la CCM.
Kitendo cha kuingiza kampeni za uchaguzi 2025 kwenye kutafuta nafasi ya Kombe la Dunia 2026, sisi tusioiunga mkono CCM tutaanza kufunga na kuomba dua ili tufungwe katika michezo iliyobaki kuanzia kesho, amina.
Fuatilia kwenye runinga kijana, matokeo yapo. Ni mechi iliyokuwa sawa na mazoezi kwa Taifa Stars inayojiandaa kucheza AFCON mwakani kule Ivory Coast.Naomba matokeo....muachage ubishi wa uccm na Chadema katika SOKA ..Soka ni mchezo wa wazi....naomba matokeo....
Tumekufa 2-0 wala siwezi kutembea kichwa chini eti kwa sababu tumefungwa.Mkuu;
Usije usikimbie Uzi ubaoni ngapi ngapi huko mpaka muda huu.....??
Kombe alikuwa boss wa usalama wa taifa akapigwa risasi na kuuawa sembuse Mbowe ambaye hakuheshimiwa!.Kumbe maafisa wa usalama wa taifa hawaheshimiwi.Yaani huyo Mbowe licha ya kuwa usalama wa taifa bado akasingiziwa kesi ya ugaidi kwamba amepanga kukata miti kuanzia Dar mpaka Mbeya ili kuzuia barabara magari yasipite!Nchi hii kuna vituko
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Utazeeka na malalamiko yako mengi hapa JF, pole sana mkuu.Nani amekuambia ana Imani na Mbowe? Hiyo ya kupambana kupata uhalali wa wananchi tulishavuka, Sasa hivi tuko kwenye hatua ya jinsi ya kupambana na majizi yajiitayo system, huku yakiwa yanashirikiana na ccm kubaki madarakani kwa shuruti.