Kwa changamoto hizi naamini Makonda atakuwa liability zaidi kwa Rais Samia kuliko asset

Kwa changamoto hizi naamini Makonda atakuwa liability zaidi kwa Rais Samia kuliko asset

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Niliwahi sikia kuwa vyombo vya dola vilimwambia Magufuli amuondoe Makonda ila yeye tu aligomaga kutokana na kumpenda sana.

Kwa nafasi mpya aliyoteuliwa na Chama chake nina uhakika mwenyekiti wake ajipange kuletewa kila siku taarifa zinazotokana na mapungufu yake.

kwa niliyowahi kusikia huko nyuma haya ndo mapungufu ya makonda yaliyofanya vyombo vya dola kupendekeza kwa Magufuli amuondoe

1. Ana tamaa kubwa sana ya pesa na mali kiasi anaweza kumfanya mtu chochote kile ile apate pesa au mali.

2. Ana hulka ya ubabe na kupenda kutumia nguvu kiasi anaweza kumuumiza mtu ili tu afanikishe lengo lake.

3. Hana nidhamu wala adabu. Anaamini katika nguvu za aliye juu yake tu anayemlinda. Mtu kama huyu hafai kufanya kazi katika mifumo thabiti ya uwajibikaji na utendaji.

4. Ni mtu anayeamini kutengeneza mifumo nje ya mifumo halali ya nchi katika kutimiza malengo yake. Amewahi kutengeneza vikundi vilivyokuwa vikifanya kazi chafu hadi kusababisha Rais wa nchi kukosana na vyombo vya dola


Swali langu
Je waliomteua Makonda kuwa Katibu Mwenezi wanajua hizi changamoto zake? Hawakuuliza hata kwenye vyombo vya dola?

Wakati utaongea!
 
Makonda atakua amejifunza mengi kwa hiyo miaka 3 ya kukaa bench, siku ukipata tatizo la kukosa kazi au kesi mahakani au kuenda jela, au kulazwa kwa mda mrefu ndo mda wakujifunza na kujua binaadamu walivyo.

Utakuja kuona ragi zote za hao viumbe hasa ndugu zako na marafiki zako au unao waita comrades. Nina wakika makonda this time atakua best politician kwasbb amesahisha makosa yake na kujua nyoyo za watu, ule ushamba ubabe ulimbukeni tamaa za mali ameziacha anaanza upya maisha ya kisiasa.
 
Kwa niliyoyasikia kwa wahusika waliokutana na dhahama ya Makonda, upo sahihi kabisa.

Alipokuwa RC, watu waliokuwa wanataka kumwona Magufuli kwa yeye kuwafanyia appointment aluwatoza milioni 200 mpaka 400. Baba yake akihitaji hela au yeye akihisi anataka kumpa hela, aliwaamrisha baadhi ya wafanyabiashara wampe pesa baba yake. Na mara nyingi ilikuwa kati ya milioni 20 mpaka 40.

Kwa ujumla, ni kwa sababu tu katika nchi, waovu ndiyo wanaongoza nchi. Ingekuwa ni zile nchi ambazo mtu kuwa kiongozi ni lazima awe mwadilifu, Makonda asingeweza kuwa hata mtendaji wa kijiji.
 
..hata mimi nimeshangaa.

..hivi Maza kafukuza kazi watu wote wa kitendo cha vetting?

..anamteuaje Makonda? Nani kamshauri?
Wakati utaongea

Samia kafanya kazi kubwa sana kurudisha trust kwa wawekezaji ambao walikata tamaa kwa kuporwa fedha zao na kuteswa na vikundi visivyo rasmi ikiwemo alivyoviongoza huyu huyu Makonda.

Kwa kumrudisha Makonda inaweza zua hofu kubwa sana kwa hawa watu kiasi wakaanza kufikiria kutoa fedha zao ambazo wameziachia sana kwenye uchumi wa nchi.

Tuone itakuwaje
 
Wakati utaongea

Samia kafanya kazi kubwa sana kurudisha trust kwa wawekezaji ambao walikata tamaa kwa kuporwa fedha zao na kuteswa na vikundi visivyo rasmi ikiwemo alivyoviongoza huyu huyu Makonda.

Kwa kumrudisha Makonda inaweza zua hofu kubwa sana kwa hawa watu kiasi wakaanza kufikiria kutoa fedha zao ambazo wameziachia sana kwenye uchumi wa nchi.

Tuone itakuwaje

..kuna wanaodai eti amerudishwa ili kujibu hoja / makombora ya upinzani.

..sasa mimi najiuliza, kwa akili zipi alizonazo Makonda kiasi ategemewe kupambana na wapinzani kwa hoja?
 
Wa
Niliwahi sikia kuwa vyombo vya dola vilimwambia Magufuli amuondoe Makonda ila yeye tu aligomaga kutokana na kumpenda sana.

Kwa nafasi mpya aliyoteuliwa na Chama chake nina uhakika mwenyekiti wake ajipange kuletewa kila siku taarifa zinazotokana na mapungufu yake.

kwa niliyowahi kusikia huko nyuma haya ndo mapungufu ya makonda yaliyofanya vyombo vya dola kupendekeza kwa Magufuli amuondoe


1. Ana tamaa kubwa sana ya pesa na mali kiasi anaweza kumfanya mtu chochote kile ile apate pesa au mali.

2. Ana hulka ya ubabe na kupenda kutumia nguvu kiasi anaweza kumuumiza mtu ili tu afanikishe lengo lake.

3. Hana nidhamu wala adabu. Anaamini katika nguvu za aliye juu yake tu anayemlinda. Mtu kama huyu hafai kufanya kazi katika mifumo thabiti ya uwajibikaji na utendaji.

4. Ni mtu anayeamini kutengeneza mifumo nje ya mifumo halali ya nchi katika kutimiza malengo yake. Amewahi kutengeneza vikundi vilivyokuwa vikifanya kazi chafu hadi kusababisha Rais wa nchi kukosana na vyombo vya dola


Swali langu.

Je waliomteua Makonda kuwa Katibu Mwenezi wanajua hizi changamoto zake? Hawakuuliza hata kwenye vyombo vya dola?


Wakati utaongea!
Waliomteua hawana akili
 
Si Kila mtu anaweza kutekeleza mambo ya kikatili, lakini Makonda anaweza. Hivyo amerudishwa ili awe eneo la kitengo Cha ukatili. Ccm wanajua fika hawana uwezo wa kushinda kwa njia halali tu, hivyo mtu mwenye uthubutu wa kufanya ukatili ni muhimu sana kwao.

Kuna ushahidi mwingi wa wazi hasa wakati wa chaguzi, ccm hutumia sana wahalifu kudhuru wapinzani, na mambo haya hufanywa kwa uratibu wa vyombo vya Dola. Makonda atakuwa sehemu ya kitengo hiki Cha uhalifu wakati wa uchaguzi, na Sabaya naye atarudishwa maana wao huona sifa sana kutumiwa katika uovu.
 
..kuna wanaodai eti amerudishwa ili kujibu hoja / makombora ya upinzani.

..sasa mimi najiuliza, kwa akili zipi alizonazo Makonda kiasi ategemewe kupambana na wapinzani kwa hoja?
Hapana kwenye hoja wapo bora zaidi kumzidi.

CCM ina vijana wazuri wamemaliza vyuo na nawajua wapo vizuri sana. Ni wao kupewa nafasi na kuwa groomed vizuri tu.
 
Niliwahi sikia kuwa vyombo vya dola vilimwambia Magufuli amuondoe Makonda ila yeye tu aligomaga kutokana na kumpenda sana.

Kwa nafasi mpya aliyoteuliwa na Chama chake nina uhakika mwenyekiti wake ajipange kuletewa kila siku taarifa zinazotokana na mapungufu yake.

kwa niliyowahi kusikia huko nyuma haya ndo mapungufu ya makonda yaliyofanya vyombo vya dola kupendekeza kwa Magufuli amuondoe


1. Ana tamaa kubwa sana ya pesa na mali kiasi anaweza kumfanya mtu chochote kile ile apate pesa au mali.

2. Ana hulka ya ubabe na kupenda kutumia nguvu kiasi anaweza kumuumiza mtu ili tu afanikishe lengo lake.

3. Hana nidhamu wala adabu. Anaamini katika nguvu za aliye juu yake tu anayemlinda. Mtu kama huyu hafai kufanya kazi katika mifumo thabiti ya uwajibikaji na utendaji.

4. Ni mtu anayeamini kutengeneza mifumo nje ya mifumo halali ya nchi katika kutimiza malengo yake. Amewahi kutengeneza vikundi vilivyokuwa vikifanya kazi chafu hadi kusababisha Rais wa nchi kukosana na vyombo vya dola


Swali langu.

Je waliomteua Makonda kuwa Katibu Mwenezi wanajua hizi changamoto zake? Hawakuuliza hata kwenye vyombo vya dola?


Wakati utaongea!
Acha wivu wa kike wewe mjakazi wa waarabu
 
Niliwahi sikia kuwa vyombo vya dola vilimwambia Magufuli amuondoe Makonda ila yeye tu aligomaga kutokana na kumpenda sana.

Kwa nafasi mpya aliyoteuliwa na Chama chake nina uhakika mwenyekiti wake ajipange kuletewa kila siku taarifa zinazotokana na mapungufu yake.

kwa niliyowahi kusikia huko nyuma haya ndo mapungufu ya makonda yaliyofanya vyombo vya dola kupendekeza kwa Magufuli amuondoe

1. Ana tamaa kubwa sana ya pesa na mali kiasi anaweza kumfanya mtu chochote kile ile apate pesa au mali.

2. Ana hulka ya ubabe na kupenda kutumia nguvu kiasi anaweza kumuumiza mtu ili tu afanikishe lengo lake.

3. Hana nidhamu wala adabu. Anaamini katika nguvu za aliye juu yake tu anayemlinda. Mtu kama huyu hafai kufanya kazi katika mifumo thabiti ya uwajibikaji na utendaji.

4. Ni mtu anayeamini kutengeneza mifumo nje ya mifumo halali ya nchi katika kutimiza malengo yake. Amewahi kutengeneza vikundi vilivyokuwa vikifanya kazi chafu hadi kusababisha Rais wa nchi kukosana na vyombo vya dola


Swali langu
Je waliomteua Makonda kuwa Katibu Mwenezi wanajua hizi changamoto zake? Hawakuuliza hata kwenye vyombo vya dola?

Wakati utaongea!
Kuna mahali anaelekea, huo uenezi ni cover tu. Mungu awe naye.
 
Makonda atakua amejifunza mengi kwa hiyo miaka 3 ya kukaa bench, siku ukipata tatizo la kukosa kazi au kesi mahakani au kuenda jela, au kulazwa kwa mda mrefu ndo mda wakujifunza na kujua binaadamu walivyo.

Utakuja kuona ragi zote za hao viumbe hasa ndugu zako na marafiki zako au unao waita comrades. Nina wakika makonda this time atakua best politician kwasbb amesahisha makosa yake na kujua nyoyo za watu, ule ushamba ubabe ulimbukeni tamaa za mali ameziacha anaanza upya maisha ya kisiasa.
Kama kichwa kitakuwa kuna ubongo! Tatizo hilo jamaa halina akili!
 
Niliwahi sikia kuwa vyombo vya dola vilimwambia Magufuli amuondoe Makonda ila yeye tu aligomaga kutokana na kumpenda sana.

Kwa nafasi mpya aliyoteuliwa na Chama chake nina uhakika mwenyekiti wake ajipange kuletewa kila siku taarifa zinazotokana na mapungufu yake.

kwa niliyowahi kusikia huko nyuma haya ndo mapungufu ya makonda yaliyofanya vyombo vya dola kupendekeza kwa Magufuli amuondoe

1. Ana tamaa kubwa sana ya pesa na mali kiasi anaweza kumfanya mtu chochote kile ile apate pesa au mali.

2. Ana hulka ya ubabe na kupenda kutumia nguvu kiasi anaweza kumuumiza mtu ili tu afanikishe lengo lake.

3. Hana nidhamu wala adabu. Anaamini katika nguvu za aliye juu yake tu anayemlinda. Mtu kama huyu hafai kufanya kazi katika mifumo thabiti ya uwajibikaji na utendaji.

4. Ni mtu anayeamini kutengeneza mifumo nje ya mifumo halali ya nchi katika kutimiza malengo yake. Amewahi kutengeneza vikundi vilivyokuwa vikifanya kazi chafu hadi kusababisha Rais wa nchi kukosana na vyombo vya dola

Swali langu
Je waliomteua Makonda kuwa Katibu Mwenezi wanajua hizi changamoto zake? Hawakuuliza hata kwenye vyombo vya dola?

Wakati utaongea!
Mkuu Lord denning , you might be right kwenye yote hayo, no one is perfect, na human beings are not static, they are dynamics and hence, they change with time. Kwa mapito aliyoyapitia amejifunza humility, he will be the best of the best!.

Ili kumjua vizuri, anzia hapa Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni

Kisha Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam

Akawa RC wa DSM na akafanya makubwa ikiwa ni pamoja na kupitishwa kwenye tanuri la moto kupikwa akaiva kisawasawa

Kwa wale mnaopenda kujua mapito aliyo yapita karibuni pande hizi
Najua kuna watu bado hawaamini hili linawezekana, naomba kuwathibitishia, lisilo wezekana kwa binadamu, kwa Mungu linawezekana!.
P
 
Back
Top Bottom