Kwa changamoto hizi naamini Makonda atakuwa liability zaidi kwa Rais Samia kuliko asset

Kwa changamoto hizi naamini Makonda atakuwa liability zaidi kwa Rais Samia kuliko asset

Mkuu Lord denning , you might be right kwenye yote hayo, ila human beings are not static, they are dynamics and hence, they change with time. Kwa mapito aliyoyapitia amejifunza humility, he will be the best of the best!.

Ili kumjua vizuri, anzia hapa Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni

Kisha Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam

Akawa RC wa DSM na akafanya makubwa ikiwa ni pamoja na kupitishwa kwenye tanuri la moto kupikwa akaiva kisawasawa hivyo sasa bado kuna uwezekano Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...

Najua kuna watu bado hawaamini hili linawezekana, naomba kuwathitishia, lisilo wezekana kwa binadamu, kwa Mungu linawezekana!.
P
Mkuu Pascal nakuelewa sawa ila waswahili husema tabia ni kama ngozi. Sijui kama huyu mtu amebadilika kama inavyosemwa. Muda utaongea
 
Makonda atakua amejifunza mengi kwa hiyo miaka 3 ya kukaa bench, siku ukipata tatizo la kukosa kazi au kesi mahakani au kuenda jela, au kulazwa kwa mda mrefu ndo mda wakujifunza na kujua binaadamu walivyo.

Utakuja kuona ragi zote za hao viumbe hasa ndugu zako na marafiki zako au unao waita comrades. Nina wakika makonda this time atakua best politician kwasbb amesahisha makosa yake na kujua nyoyo za watu, ule ushamba ubabe ulimbukeni tamaa za mali ameziacha anaanza upya maisha ya kisiasa.
Hajawahi kuwa asset by anyhow
 
Niliwahi sikia kuwa vyombo vya dola vilimwambia Magufuli amuondoe Makonda ila yeye tu aligomaga kutokana na kumpenda sana.

Kwa nafasi mpya aliyoteuliwa na Chama chake nina uhakika mwenyekiti wake ajipange kuletewa kila siku taarifa zinazotokana na mapungufu yake.

kwa niliyowahi kusikia huko nyuma haya ndo mapungufu ya makonda yaliyofanya vyombo vya dola kupendekeza kwa Magufuli amuondoe

1. Ana tamaa kubwa sana ya pesa na mali kiasi anaweza kumfanya mtu chochote kile ile apate pesa au mali.

2. Ana hulka ya ubabe na kupenda kutumia nguvu kiasi anaweza kumuumiza mtu ili tu afanikishe lengo lake.

3. Hana nidhamu wala adabu. Anaamini katika nguvu za aliye juu yake tu anayemlinda. Mtu kama huyu hafai kufanya kazi katika mifumo thabiti ya uwajibikaji na utendaji.

4. Ni mtu anayeamini kutengeneza mifumo nje ya mifumo halali ya nchi katika kutimiza malengo yake. Amewahi kutengeneza vikundi vilivyokuwa vikifanya kazi chafu hadi kusababisha Rais wa nchi kukosana na vyombo vya dola


Swali langu
Je waliomteua Makonda kuwa Katibu Mwenezi wanajua hizi changamoto zake? Hawakuuliza hata kwenye vyombo vya dola?

Wakati utaongea!
Ogopa kitu mapenzi
 
Niliwahi sikia kuwa vyombo vya dola vilimwambia Magufuli amuondoe Makonda ila yeye tu aligomaga kutokana na kumpenda sana.

Kwa nafasi mpya aliyoteuliwa na Chama chake nina uhakika mwenyekiti wake ajipange kuletewa kila siku taarifa zinazotokana na mapungufu yake.

kwa niliyowahi kusikia huko nyuma haya ndo mapungufu ya makonda yaliyofanya vyombo vya dola kupendekeza kwa Magufuli amuondoe

1. Ana tamaa kubwa sana ya pesa na mali kiasi anaweza kumfanya mtu chochote kile ile apate pesa au mali.

2. Ana hulka ya ubabe na kupenda kutumia nguvu kiasi anaweza kumuumiza mtu ili tu afanikishe lengo lake.

3. Hana nidhamu wala adabu. Anaamini katika nguvu za aliye juu yake tu anayemlinda. Mtu kama huyu hafai kufanya kazi katika mifumo thabiti ya uwajibikaji na utendaji.

4. Ni mtu anayeamini kutengeneza mifumo nje ya mifumo halali ya nchi katika kutimiza malengo yake. Amewahi kutengeneza vikundi vilivyokuwa vikifanya kazi chafu hadi kusababisha Rais wa nchi kukosana na vyombo vya dola


Swali langu
Je waliomteua Makonda kuwa Katibu Mwenezi wanajua hizi changamoto zake? Hawakuuliza hata kwenye vyombo vya dola?

Wakati utaongea!
"Uliwahi kusikia vyombo vya dola vilimwambia amtoe Makonda akagoma kwa sababu anampenda "


"Unadhani Makonda kwa atakuwa Liability kwa Rais Samia"

Wewe ni IDIOT,acha majungu watakugomola au kuku sodomize ukiendelea na hii tabia
 
Kwa niliyoyasikia kwa wahusika waliokutana na dhahama ya Makonda, upo sahihi kabisa.

Alipokuwa RC, watu waliokuwa wanataka kumwona Magufuli kwa yeye kuwafanyia appointment aluwatoza milioni 200 mpaka 400. Baba yake akihitaji hela au yeye akihisi anataka kumpa hela, aliwaamrisha baadhi ya wafanyabiashara wampe pesa baba yake. Na mara nyingi ilikuwa kati ya milioni 20 mpaka 40.

Kwa ujumla, ni kwa sababu tu katika nchi, waovu ndiyo wanaongoza nchi. Ingekuwa ni zile nchi ambazo mtu kuwa kiongozi ni lazima awe mwadilifu, Makonda asingeweza kuwa hata mtendaji wa kijiji.
Zinabaki kuwa rumors tu,kati ya waliotendwa wameshindwa kwenda mahakamani ,na makonda akiwa hana nafasi yoyote serikalini,hana Godfather,hebu fikiri mara mbili kabla ya kuleta upuuzi wako hadharani
 
Niliwahi sikia kuwa vyombo vya dola vilimwambia Magufuli amuondoe Makonda ila yeye tu aligomaga kutokana na kumpenda sana.

Kwa nafasi mpya aliyoteuliwa na Chama chake nina uhakika mwenyekiti wake ajipange kuletewa kila siku taarifa zinazotokana na mapungufu yake.

kwa niliyowahi kusikia huko nyuma haya ndo mapungufu ya makonda yaliyofanya vyombo vya dola kupendekeza kwa Magufuli amuondoe

1. Ana tamaa kubwa sana ya pesa na mali kiasi anaweza kumfanya mtu chochote kile ile apate pesa au mali.

2. Ana hulka ya ubabe na kupenda kutumia nguvu kiasi anaweza kumuumiza mtu ili tu afanikishe lengo lake.

3. Hana nidhamu wala adabu. Anaamini katika nguvu za aliye juu yake tu anayemlinda. Mtu kama huyu hafai kufanya kazi katika mifumo thabiti ya uwajibikaji na utendaji.

4. Ni mtu anayeamini kutengeneza mifumo nje ya mifumo halali ya nchi katika kutimiza malengo yake. Amewahi kutengeneza vikundi vilivyokuwa vikifanya kazi chafu hadi kusababisha Rais wa nchi kukosana na vyombo vya dola


Swali langu
Je waliomteua Makonda kuwa Katibu Mwenezi wanajua hizi changamoto zake? Hawakuuliza hata kwenye vyombo vya dola?

Wakati utaongea!
Naona mantiki na ushabihiano mkubwa sana wa hizo sifa na matendo yake ya swali, na namna alivyopokea uteuzi huko Twitter ngoja tusubiri jua likiwaka mwanga utaongea yote
 
Ndege wanao fanana huruka pamoja na hutua kwenye mti mmoja
Hata shetani anajua walio wake hawezi kuwaacha hata siku moja
 
Sijawahi kukuelewa kwenye nyuzi zako lakini uzi huu uneonyesha utu uzima.
Tegemeeni madudu makubwa toka Makonda.
Tabia ni ngozi kamwe haiwezi kumalizwa na shida, akitulia miezi 3 ataanza tena ile tabia yake.

Ninapenda mtu msema kweli bila kujali itamfurahisha nani na kumuumiza nani
Wakati utaongea

Samia kafanya kazi kubwa sana kurudisha trust kwa wawekezaji ambao walikata tamaa kwa kuporwa fedha zao na kuteswa na vikundi visivyo rasmi ikiwemo alivyoviongoza huyu huyu Makonda.

Kwa kumrudisha Makonda inaweza zua hofu kubwa sana kwa hawa watu kiasi wakaanza kufikiria kutoa fedha zao ambazo wameziachia sana kwenye uchumi wa nchi.

Tuone itakuwaje
 
Niliwahi sikia kuwa vyombo vya dola vilimwambia Magufuli amuondoe Makonda ila yeye tu aligomaga kutokana na kumpenda sana.

Kwa nafasi mpya aliyoteuliwa na Chama chake nina uhakika mwenyekiti wake ajipange kuletewa kila siku taarifa zinazotokana na mapungufu yake.

kwa niliyowahi kusikia huko nyuma haya ndo mapungufu ya makonda yaliyofanya vyombo vya dola kupendekeza kwa Magufuli amuondoe

1. Ana tamaa kubwa sana ya pesa na mali kiasi anaweza kumfanya mtu chochote kile ile apate pesa au mali.

2. Ana hulka ya ubabe na kupenda kutumia nguvu kiasi anaweza kumuumiza mtu ili tu afanikishe lengo lake.

3. Hana nidhamu wala adabu. Anaamini katika nguvu za aliye juu yake tu anayemlinda. Mtu kama huyu hafai kufanya kazi katika mifumo thabiti ya uwajibikaji na utendaji.

4. Ni mtu anayeamini kutengeneza mifumo nje ya mifumo halali ya nchi katika kutimiza malengo yake. Amewahi kutengeneza vikundi vilivyokuwa vikifanya kazi chafu hadi kusababisha Rais wa nchi kukosana na vyombo vya dola


Swali langu
Je waliomteua Makonda kuwa Katibu Mwenezi wanajua hizi changamoto zake? Hawakuuliza hata kwenye vyombo vya dola?

Wakati utaongea!
Hana nidhamu wala adabu. Anaamini katika nguvu za aliye juu yake tu anayemlinda. Mtu kama huyu hafai kufanya kazi katika mifumo thabiti ya uwajibikaji na utendaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi sikia kuwa vyombo vya dola vilimwambia Magufuli amuondoe Makonda ila yeye tu aligomaga kutokana na kumpenda sana.

Kwa nafasi mpya aliyoteuliwa na Chama chake nina uhakika mwenyekiti wake ajipange kuletewa kila siku taarifa zinazotokana na mapungufu yake.

kwa niliyowahi kusikia huko nyuma haya ndo mapungufu ya makonda yaliyofanya vyombo vya dola kupendekeza kwa Magufuli amuondoe

1. Ana tamaa kubwa sana ya pesa na mali kiasi anaweza kumfanya mtu chochote kile ile apate pesa au mali.

2. Ana hulka ya ubabe na kupenda kutumia nguvu kiasi anaweza kumuumiza mtu ili tu afanikishe lengo lake.

3. Hana nidhamu wala adabu. Anaamini katika nguvu za aliye juu yake tu anayemlinda. Mtu kama huyu hafai kufanya kazi katika mifumo thabiti ya uwajibikaji na utendaji.

4. Ni mtu anayeamini kutengeneza mifumo nje ya mifumo halali ya nchi katika kutimiza malengo yake. Amewahi kutengeneza vikundi vilivyokuwa vikifanya kazi chafu hadi kusababisha Rais wa nchi kukosana na vyombo vya dola


Swali langu
Je waliomteua Makonda kuwa Katibu Mwenezi wanajua hizi changamoto zake? Hawakuuliza hata kwenye vyombo vya dola?

Wakati utaongea!
Andika kiswahili, haipendezi kuchanganya kwenye kichwa cha habari yako! "Liability "
 
Niliwahi sikia kuwa vyombo vya dola vilimwambia Magufuli amuondoe Makonda ila yeye tu aligomaga kutokana na kumpenda sana.

Kwa nafasi mpya aliyoteuliwa na Chama chake nina uhakika mwenyekiti wake ajipange kuletewa kila siku taarifa zinazotokana na mapungufu yake.

kwa niliyowahi kusikia huko nyuma haya ndo mapungufu ya makonda yaliyofanya vyombo vya dola kupendekeza kwa Magufuli amuondoe

1. Ana tamaa kubwa sana ya pesa na mali kiasi anaweza kumfanya mtu chochote kile ile apate pesa au mali.

2. Ana hulka ya ubabe na kupenda kutumia nguvu kiasi anaweza kumuumiza mtu ili tu afanikishe lengo lake.

3. Hana nidhamu wala adabu. Anaamini katika nguvu za aliye juu yake tu anayemlinda. Mtu kama huyu hafai kufanya kazi katika mifumo thabiti ya uwajibikaji na utendaji.

4. Ni mtu anayeamini kutengeneza mifumo nje ya mifumo halali ya nchi katika kutimiza malengo yake. Amewahi kutengeneza vikundi vilivyokuwa vikifanya kazi chafu hadi kusababisha Rais wa nchi kukosana na vyombo vya dola


Swali langu
Je waliomteua Makonda kuwa Katibu Mwenezi wanajua hizi changamoto zake? Hawakuuliza hata kwenye vyombo vya dola?

Wakati utaongea!
Wamemteua Kwa Ajili ya kupata kura za Kanda ya Ziwa sambamba na Biteeko na hizo unazosema mapungufu ndio sifa za watu wa huko Wasukuma Bado wanazihusudu ukitoa Kagera.

Kwa hiyo Kwa muda huu wa kupelekea kwenye uchaguzi hue da zikawapa nafasi but naona is too early yaani angeteuliwa mwakani.

Mwisho Kwa tamaa ya upigaji huyo ni namba Moja.
 
Back
Top Bottom