Uhakiki
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 7,288
- 7,704
Kama anakubalika huko kanda ya ziwa kwanini 2020 hakwenda kugombea ubunge huko?Wamemteua Kwa Ajili ya kupata kura za Kanda ya Ziwa sambamba na Biteeko na hizo unazosema mapungufu ndio sifa za watu wa huko Wasukuma Bado wanazihusudu ukitoa Kagera.
Kwa hiyo Kwa muda huu wa kupelekea kwenye uchaguzi hue da zikawapa nafasi but naona is too early yaani angeteuliwa mwakani.
Mwisho Kwa tamaa ya upigaji huyo ni namba Moja.
Vijana wa Bashed bhana!